Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Status
Not open for further replies.

Ok! sio kwamba nimepona ila ile hali ya kujisikia vibaya imepungua; naendelea vizuri
 
shehe nina wasi wasi huyu kijana mtiifu amekula mali za watu au alikuwa anamendea mali za wapemba, wamemu alert tu
 
You are seconded by me and I myself.

Unaona sasa..kumbe wanaleta stori za chit chat huku aisee...this is so stupid...wewe NAHUJA nawe sikukudhania upo namna hii

Ahsante sana mkuu! wengine wakachangamkia fursa ya kuomba namba za mtoa taarifaa! Futeni namba hiyo! nipo bado jamani.
 
Acha kuzua taharuki za kitoto,
Ushakuwa mtu mzima wewe,
Acha kudekadekaa,
Jinga kweli
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…