Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Inakubalika kote kuwa GDP siyo kipimo kamilifu cha hali ya uchumi wa nchi. Kwa mfano mapato yanayotokana na dhahabu yetu yatahesabiwa katika GDP yetu wakati ukweli ni kuwa sehemu kubwa inahamishwa na kupelekwa katika nchi ambako Barrick wana makao yao makuu. Kwa upande mwingine, sehemu kubwa sana ya biashara katika nchi zinazoelendelea sio formal kwa hiyo haziwi reflected katika GDP yake. Kingine ni kuwa remittances ambazo zinaingia nchini kutoka kwa raia wake wanaoishi humo ni nadra kuonekana katika hesabu za GDP. Ndio maana wakaja na GNP ( Gross National Product) kama kipimo sahihi zaidi ya hali ya uchumi wa cnhi. Lakini pamoja na haya, wachumi wakasema takwimu hizi hazireflect ubora wa maisha ya wananchi wanaoishi humo kwa sababu haionyeshi tofauti ya kipato baina ya wakati. K.m. Equatorial Guinea ni zaidi ya dola 34,000.00 lakini sehemu kubwa ya GDP imehodhiwa na watu wachache na sehemu kubwa ya raia wake wana hali duni sana. Mfano kama huo unaonekana Gabon ( Usd 19,266). Raia wa Equatorial Guinea wengi hawana access ya maji safi wakati Rais na ndugu zake wana majumba ya kifahari Marekani na kwengine. GDP per capita imekosolewa kwa kuto reflect thamani ya pesa nchini. Kwa mfano, sarafu inayotumika ni dola lakini kuna tofauti kubwa baina ya nchi ya thamani ya dola moja (vitu na huduma zinazoweza kununuliwa na dola moja) ndio maana kipimo kinachotumika sasa ni GDP PPP ( Purchasing Power Parity). Kwa sababu hiyo dhana ya kusema GDP per Capita ndio kipimo sahihi cha hali ya uchumi katika nchi haikubaliki tena. Inatumika tuu kwa sababu ya urahisi wake na mazoea.

Mimi sikatai kuwa JMT ni masikini. Ninachokipinga ni pale mnapoilaumu JMT kwa umasikini wa pemba na Unguja.

Anachozungumza Bharwani ni kuwa waliopindua ni Afro Shirazi dhidi ya waarabu wa chama cha Hizbu. Hajaeleza kwa nini Afro Shirazi walikuwa na chuki na Hizbu. Anawalaumu Waingereza kwa kuto kutoa ulinzi kwa serikali yao. Hizi ndio chuki ninazozizungumzia. Waarabu mpaka leo hawajawasamehe Afro Shirazi na Afro Shirazi wanahofia makaburi kufufuliwa.. Zanzibar wanatakiwa kuwa na Truth and Reconciliation Commission kuzungumzia historia yao na kuombana msamaha wa dhati badala ya kushinda kuwalalamikia machogo. Bharwani anasema wafuasi wa Afro Shirazi walitumia mishale kuteka arsenal ambayo ilikuwa na silaha. Ninachojiuliza ni kuwa kama walikuwa na silaha kutoka Algeria zilizopitia Dar, kwa nini walitumia mishale?

Amandla...
GDP per capita ni kipimo kimoja cha uchumi. Siyo kipimo pekee. Na ni kipimo ambacho benki ya dunia inakitumia. Sasa wewe na benki ya dunia ambayo ina wachumi walioshinda tuzo ya Nobel ni nani mtaalamu zaidi wa uchumi?

Kama ni serikali ya JMT ndiyo inasimamia uchumi na umasikini umezidi, nani mwingine alaumiwe? Wanzanzibari wangekuwa raia wa Oman, wangefaidi matunda ya uchumi wa Oman kama raia wengine wa Oman.

Pointi ya video ya Sheikh Barwani ni kwamba mapinduzi yalipangwa au yalichochewa na watu ambao si Wazanzibari. Wazanzibari walivyo na baadaye wajiunge na Oman badala ya kujiunga na Tanganyika, leo wasingekuwa masikini kama walivyo.
 
Mimi binafsi naona kuna tatizo mahali tunahitaji kupitia upya muungano huu kwani upande mmoja wa muungano inaona unaonewa. Hili lipo wazi, nahisi muungano ulifanyika kwa haraka bila kuangalia mambo yote vizuri, na sasa inapaswa kuupitia upya uli kuaddress mengi yaliyojitokeza na kuangangalia je tunahitaji muungano wa aina ile ile au uboreshwe kama kuna haja ya muungano kuwepo.

Wakati wa kuandaa rasimu ya kikatiba kulikuwa na dhana ya serikali tatu ili Tanganyika iwe na serikali yake na Zanzibar wawe na yao kama ilivyo sasa na juu kuwe na serikali ya shirikisho.

Au kuwe na majimbo na federal government ingawa hili laweza kuwa gumu kwa Wazanzibar. Kulifumbia macho hili haileti afya yoyote kwa upande wowote. kwa dunia hii na utandawazi huu na technolojia hii Zanzibar sio threat kwa Tanganyika kwa vyovyote vile hali kadhalika kwa Zanzibar, issue za kiusalama hazina tena mashiko tuliangalie willingness na muungano wenye win win situation.
 
GDP per capita ni kipimo kimoja cha uchumi. Siyo kipimo pekee. Na ni kipimo ambacho benki ya dunia inakitumia. Sasa wewe na benki ya dunia ambayo ina wachumi walioshinda tuzo ya Nobel ni nani mtaalamu zaidi wa uchumi?

Kama ni serikali ya JMT ndiyo inasimamia uchumi na umasikini umezidi, nani mwingine alaumiwe? Wanzanzibari wangekuwa raia wa Oman, wangefaidi matunda ya uchumi wa Oman kama raia wengine wa Oman.

Pointi ya video ya Sheikh Barwani ni kwamba mapinduzi yalipangwa au yalichochewa na watu ambao si Wazanzibari. Wazanzibari walivyo na baadaye wajiunge na Oman badala ya kujiunga na Tanganyika, leo wasingekuwa masikini kama walivyo.
Makubwa bado kuna watu wanawazo kujiunga na Oman hii ni ndoto za mchana. Kweli Zanzibar mna shida kubwa.
 
GDP per capita ni kipimo kimoja cha uchumi. Siyo kipimo pekee. Na ni kipimo ambacho benki ya dunia inakitumia. Sasa wewe na benki ya dunia ambayo ina wachumi walioshinda tuzo ya Nobel ni nani mtaalamu zaidi wa uchumi?

Kama ni serikali ya JMT ndiyo inasimamia uchumi na umasikini umezidi, nani mwingine alaumiwe? Wanzanzibari wangekuwa raia wa Oman, wangefaidi matunda ya uchumi wa Oman kama raia wengine wa Oman.

Pointi ya video ya Sheikh Barwani ni kwamba mapinduzi yalipangwa au yalichochewa na watu ambao si Wazanzibari. Wazanzibari walivyo na baadaye wajiunge na Oman badala ya kujiunga na Tanganyika, leo wasingekuwa masikini kama walivyo.
Amesema bayana kuwa alionywa kuwa Afro Shirazi walikuwa wanapanga kufanya fujo. Afro Shirazi ni chama cha watanganyika? Vurugu za 1961 zilichochewa na watanganyika? Ni nani alizisababisha? Tatizo kubwa ni kuwa hawataki kukubali kuwa wale waliokuwa wanawaona kama watwana walikuwa na genuine grievances.

Wazanzibari wengi waliokuwa wanachama wa Afro Shirazi na Umma wasingekubali kuungana na Oman kwa sababu waliwaona sehemu ya utawala dhalimu dhidi yao. Na haujiulizi kama Oman ingekubali wajiunge nao hasa ukiangalia kuwa Sultan wa Zanzibar angeweza kutaka awe sawa na binamu zake? Hamjiulizi kwa nini kama Oman waliipenda sana Zanzibar kwa nini hawakumpokea na kumpa hifadhi ndugu yao? Badala yake walimuacha aishi maisha duni Uingereza.

Maendeleo ya Zanzibar hayataletwa na nchi nyingine yeyote, Tanganyika au Oman, bali wazanzibari wenyewe. Singapore ilipokataliwa kujiunga na Malaysia Federation kutokana na umasikini wao na idadi kubwa ya raia wao wenye asili ya China, hawakujikunja na kulalamika kuwa hawapendwi. Walijipinda wakafanya kazi mpaka sasa ni tajiri kuliko Malaysia.

GDP per Capita inatumika kwa ajili ya convenience na world class economists wanajua kuwa haitoi picha kamili ya hali ya uchumi wa nchi. Bila shaka hata Stiglitz atakuambia hilo.

Amandla...
 
Adui wa Zanzibar ni machogo na vibaraka wao ,hilo halitaki kiona mbali wala microscope au darubini., hakuna cha mwarabu wala mreno ,Zanzibar imeanza kudidimia pale walipozidi kuunganisha vyama ndio ikamezwa kabisa ,imebakia mkia tu ndio wanaouchezea waTanganyika wapinga maendeleo.
 
Makubwa bado kuna watu wanawazo kujiunga na Oman hii ni ndoto za mchana. Kweli Zanzibar mna shida kubwa.

Hapa ndiyo mnapokwenda mchomo. Zanzibar kuungana hata Na Shetani ni haki Yao , mradi wanaona atawaletea maendeleo. Nyinyi Na nchi yenu Tanganyika Pia hamkatazwi kuungana Na malaika mradi ndio uamuzi wenu.
Pili pili msiyoila inawawashia nini ?
 
Hapa ndiyo mnapokwenda mchomo. Zanzibar kuungana hata Na Shetani ni haki Yao , mrsdi wanaona atawaletea maendeleo. Nyinyi Na nchi yenu Tanganyika Pia hamkatazwi kuungana Na malaika mradi ndio uamuzi wenu.
Pili pili msiyoila inawawashia nini ?
Sipendi kubishana na wewe kwani uchungu wenu mnaujua zaidi kuliko sisi wa Tanganyika. Endeleeni kupambana ili muirudi nchi yenu kwa Sultani. Hongera Zanzibar.
 
Sipendi kubishana na wewe kwani uchungu wenu mnaujua zaidi kuliko sisi wa Tanganyika. Endeleeni kupambana ili muirudi nchi yenu kwa Sultani. Hongera Zanzibar.
Mapambano yanaendelea , kuku wanasubiri mtama umwagwe by THE way Lukuvi alishaanza kuumwaga kule kanisani kwa upande wa wakristo
 
Kwa Leo namuuliza Pascal. Jee umeona umuhimu was kubadilisha kichwa cha habari Leo au Mods ndio wamefanya wao.

Nilitathmini busara zako kama maneno Yale " kusema uongo" unaweza kumwambia hats mbunge tu seize makamo was Rais. Tulijaribu kukustua ukaacha tu ndio tukasema punguza chuki kwa huyo Mh.
Leo kumebadilika jee ukweli umejona au ni mods tu.
 
Kwanza rekebisha. Jee in makamo was kwanza au wa Pili. Kwenye mada.
Mtoa mada wewe ni mkereketwa ulie na chuki zilizojificha dhidi ya Zanzibar.

Kujificha nyuma ya kiini macho cha Tanzania wakati unajua fika by practice na reality kilichoondoka ni neno Tanganyika tu.

Hakuna Muungano huu. Wizara za Tanganyika kwa mambo ya Tanganyika zinaitwa za Tanzania.

Kibaya zaidi kumezaliwa matatizo kibao ya Muungano Leo zinaitwa kero. Lkna shida ni mfumo na muundo. Linapokuja suala LA haki za Zanzibar, wasomi wote wa Bara na wachambuzi wanakuwa wanafiki.

Nini kimejificha nyuma ya chuki hii?

Hana ujemedari huo wa uandishi ni bahati tu ilimkuta,ameshakosa dira alikua na chuki na zanzibar tangu miaka hiyo, ila achunguze vizuri hakuna aliefanya chuki na zanzibar akapata salama, hafi kabla ya kulipwa mabaya ya chuki zake
 
Adui wa Zanzibar ni machogo na vibaraka wao ,hilo halitaki kiona mbali wala microscope au darubini., hakuna cha mwarabu wala mreno ,Zanzibar imeanza kudidimia pale walipozidi kuunganisha vyama ndio ikamezwa kabisa ,imebakia mkia tu ndio wanaouchezea waTanganyika wapinga maendeleo.

Ulisahau na Makanisa hasa hili la Kikatoliki. Tunaona wanavyogombea kujenga makanisa sehemu zisizo na mkristo hata mmoja. Mradi tu wa provoke waislamu waanzishe fujo .


Vitabu vya kanisa vinasema waziwazi

 
Amesema bayana kuwa alionywa kuwa Afro Shirazi walikuwa wanapanga kufanya fujo. Afro Shirazi ni chama cha watanganyika? Vurugu za 1961 zilichochewa na watanganyika? Ni nani alizisababisha? Tatizo kubwa ni kuwa hawataki kukubali kuwa wale waliokuwa wanawaona kama watwana walikuwa na genuine grievances.

Wazanzibari wengi waliokuwa wanachama wa Afro Shirazi na Umma wasingekubali kuungana na Oman kwa sababu waliwaona sehemu ya utawala dhalimu dhidi yao. Na haujiulizi kama Oman ingekubali wajiunge nao hasa ukiangalia kuwa Sultan wa Zanzibar angeweza kutaka awe sawa na binamu zake? Hamjiulizi kwa nini kama Oman waliipenda sana Zanzibar kwa nini hawakumpokea na kumpa hifadhi ndugu yao? Badala yake walimuacha aishi maisha duni Uingereza.

Maendeleo ya Zanzibar hayataletwa na nchi nyingine yeyote, Tanganyika au Oman, bali wazanzibari wenyewe. Singapore ilipokataliwa kujiunga na Malaysia Federation kutokana na umasikini wao na idadi kubwa ya raia wao wenye asili ya China, hawakujikunja na kulalamika kuwa hawapendwi. Walijipinda wakafanya kazi mpaka sasa ni tajiri kuliko Malaysia.

GDP per Capita inatumika kwa ajili ya convenience na world class economists wanajua kuwa haitoi picha kamili ya hali ya uchumi wa nchi. Bila shaka hata Stiglitz atakuambia hilo.

Amandla...
Soma historia utaona grievances za watu zinaweza kutumiwa na watu wengine, nchi nyingine kuleta mapinduzi.

Nilishakujibu kuwa ugomvi wa familia ya Al Said siyo ugomvi wa Wanzanzibari wote na Waomani wote. Hata mke na watoto wa Jamshid walihamia Oman mapema kuliko baba yao.

Muungano faida yake nini sasa? Ulisema kuhakikisha uchumi kitu ambacho Muungano umeshindwa na umasikini umezidi Zanzibar.

Kwa nini nimuulize Stiglitz wakati najua kusoma takwimu na documents za Benki ya dunia? GDP per capita ni kipimo kimoja cha uchumi, siyo kipimo pekee. Benki ya dunia inakitumia.
 
Soma historia utaona grievances za watu zinaweza kutumiwa na watu wengine, nchi nyingine kuleta mapinduzi.

Nilishakujibu kuwa ugomvi wa familia ya Al Said siyo ugomvi wa Wanzanzibari wote na Waomani wote. Hata mke na watoto wa Jamshid walihamia Oman mapema kuliko baba yao.

Muungano faida yake nini sasa? Ulisema kuhakikisha uchumi kitu ambacho Muungano umeshindwa na umasikini umezidi Zanzibar.

Kwa nini nimuulize Stiglitz wakati najua kusoma takwimu na documents za Benki ya dunia? GDP per capita ni kipimo kimoja cha uchumi, siyo kipimo pekee. Benki ya dunia inakitumia.
Sawa. Hamjachelewa bado. Vunjeni tu Muungano. Baada ya kuuvunja mtaweza kuungana na Oman ambao watawamwagia mafedha na umaskini utaisha Zanzibar.
Stiglitz ndio economist wa World Bank aliyepata Nobel Prize.

Kwangu mimi mjadala umeisha hapa. Nakutakia siku njema na mafanikio katika jitihada zenu za kuungana na Oman.

Amandla...
 
Sawa. Hamjachelewa bado. Vunjeni tu Muungano. Baada ya kuuvunja mtaweza kuungana na Oman ambao watawamwagia mafedha na umaskini utaisha Zanzibar.
Stiglitz ndio economist wa World Bank aliyepata Nobel Prize.

Kwangu mimi mjadala umeisha hapa. Nakutakia siku njema na mafanikio katika jitihada zenu za kuungana na Oman.

Amandla...
Hapo utakuwa umekasirika jee ulitaka tukwambie Na nyinyi endeleeni Tu Na uvamizi mkiupa jina la muungano huku mkituletea umasikini zaidi Na kuwabambikizia watu kesi Za gaidi Na kuwaweka magerezani?
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Andiko maridhawa.... Kongole Pascal
 
Karume aliutaka Muungano kuliko Nyerere. Alikuwa anawahofia waarabu wa nje na ndani ya nchi. Aidha, hakuwa na imani na vijana wenye itikadi ya kikomunisti waliokuwa wanachama wa chama cha Umma ndio maana aliwanyonga wakina Mdungi Ussi, Kassim Hanga, wakina Bharwani na wengine wengi. Kama kweli Karume alitaka kuvunja Muungano ni kwa sababu aliona Nyerere anamuwekea breki kwenye vitendo vyake vya kikatili. Waulize ndugu zako walioishi chini ya utawala wake wakueleze hali ilivyokuwa.

Hamna nchi yenye marais wawili. Kwa sababu hiyo Rais wa Zanzibar siku zote atawajibika kwa Rais wa JMT. Ndivyo ilivyo. Msipotaka awajibike vunjeni Muungano. Semeni wazi kupitia Baraza lenu la Mapinduzi, Serikali yenu na wabunge wenu kuwa hamuutaki Muungano. Acheni unafik wa kujifanya mnataka serikali tatu ( lazima Rais wa JMT atakuwa bosi wa Rais wa Tanganyika na Rais wa Zanzibar) au ya mkataba ( mfano wa E.U hauna mantik kwa sababu E.U sio nchi). Tangazeni kuwa mnataka kuwa nchi kamili iliyo huru. Mnaogopa nini?

Amandla...
Kama Karume ndiye aliutaka Muungano zaidi kuliko Nyerere kwanini Willium Lukuvi aliongea maneno haya miaka kadhaa iliyopita? 👇👇



Nyinyi Wadanganyika ni watu ambao mukishalishwa maneno mnakuwa wavivu hamtaki akili zenu kuzituma kutafuta kulikoni, sasa nimekutumia clip ya Mtanganyika mwenzako anatapika kila kitu kwanini Tanzania Bara inaitawala zanzibar kimabavu, nione kama utainua mdomo wako tena.
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Wanabodi,
Leo sikukuu ya Muungano, nafanya mapitio ya baadhi ya mabandiko ya muungano.

Japo waasisi wa muungano wetu huu adhimu ni Nyerere na Karume, muungano ni kama ndoa, kuna mtu ana proposes, mwingine anakubali, ndoa inafungwa. Kwenye muungano wetu huu adhimu, aliye proposes ni Nyerere, Karume akakubali. Nia ya Nyerere ni kwenda kwenye serikali moja. Wito kwa viongozi wetu, kama nia ya kweli ni kudumisha muungano, twende kwenye serikali moja. Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kuyaishi maono yake!. Nawatakia Muungano Mwema.

Paskali
 
Kwani Sasa kuna serikali ngapi?
Wanabodi,
Leo sikukuu ya Muungano, nafanya mapitio ya baadhi ya mabandiko ya muungano.

Japo waasisi wa muungano wetu huu adhimu ni Nyerere na Karume, muungano ni kama ndoa, kuna mtu ana proposes, mwingine anakubali, ndoa inafungwa. Kwenye muungano wetu huu adhimu, aliye proposes ni Nyerere, Karume akakubali. Nia ya Nyerere ni kwenda kwenye serikali moja. Wito kwa viongozi wetu, kama nia ya kweli ni kudumisha muungano, twende kwenye serikali moja. Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kuyaishi maono yake!. Nawatakia Muungano Mwema.

Paskali
 
Back
Top Bottom