Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,792
Mtoa mada hebu fikiria kua isipowekwa waislam watapiga kura ya hapana,je unadhani nani atakua mshindi?
Usiogope haitawekwa,bunge hilo naona waislam ni wengi ila uzuri wao hawana sauti,ni watu wa kulalamika na kutusihi na kutuomba wakristo wachache waliopo ndani ya bunge wawaruhusu wawe na mahakama ya kadhi.
Kwa ufupi ni kua jambo lolote waislam wakitaka kufanya ni lazima watuombe ruhusa sisi wakristo bila kujali idadi yetu hata kama sisi ni wachache kuliko wao. Ni jambo zuri kwa kweli.
Hizo takwinu umezitoa wapi? Jua kuwa watanzania wengi hawana dini za kikristu au kiislam sasa kama mtaweka mahakama zenu za jadi nasisi tinataka utawala wa machifu uwekwe kwenye katiba ikiwemo na mahakama za kimila/jadi/ za kikabila/ kiukoo hafu tuone kama hizo mahakama zenu za mwazo zitapata watu