Kuhusu mahakama ya kadhi

Kuhusu mahakama ya kadhi

Nawaaminia kwa kupigania maiti, mtu akiwa hai hamumusaidii akifa midomojuu alikuwa ndugu yetu undugu gani kwenye maiti
 
Mahakama zote, kuanzia mahakama za mwanzo hadi makahama kuu, kesi zote au mashauri karibu yote yanayosikilizwa na mahakama hizo yanahusu familia za kiislam.

Nimekwambia 'Mahakama ya Biashara' !........kwani sote tunaendesha Biashara !? Hii ni Mahakama kwa ajili ya watu wenye Biashara, si suala la Ukiristu na Uislaam.
Mahakama ya Kadhi ni kwa ajili ya Waislaam, kusaidia kutoa hukumu ya mambo yao ya kijamii kwa 'taratibu za Kiislaam'
Kama ilivyo katika Katiba ya Kenya, na kama Mkoloni wa Kiingereza alivyowahi kuiweka wakati wake wa kuitawala Tanganyika !
 
mbona mmeshindwa kuianzisha?. au mpaka tuwakubarie sisi makafiri?

Kwani kuna Kafiri gani aliyeizuia !.........utakuja kushuhudia kama hiyo Katiba mpya itasimama bila Mahakama ya Kadhi.
Kikuwapi kile mlichokuwa mnakazania kuchinjaa kuchinjaa !??...........mbona hamchinji tena !? Mapolomoko
 
Last edited by a moderator:
Wewe na Wagalatia wenzio ndio mnahangaika kuzuia Nuru ya Allah SWT !........taratibu tu mtapatikana !
Kiko wapi kile mlichokuwa mnajishaua, kuchinjaaa kuchinjaa !?

images


Kisu munacho nyie wenyewe, hivi Ally Kombo baada ya kuchinja huwa munasomea dua kiganja cha mkono!!!
 
Last edited by a moderator:
Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution of Tanzania

Haaa....haaa..haaa ! Huwezi kuzisherehesha sheria za Kiislaam wakati kuna watu wanasoma mpaka kupata Ph.D !
Nikuulize....mwanamke ni sawa na mwanaume !? yaani mapungufu ya mwanamke ni sawa na mapungufu ya mwanamke !?
Kwa nini Magereza yote yamejaa Wanaume na si Wanawake !?
Ni nani ameumbwa (by nature) kufanya uamuzi kwa hisia na emotion kati ya mwanaume na mwanamke !?
Ukiyajibu hayo maswali kwa haki, ndio utaelewa maana ya ushahidi wa wanawake wawili ni sawa na mwanaume mmoja!
Mwanamke hata akiwa na power na uwezo vipi lazima atategemea guidance ya Mwanaume. TanzaniaLaw
 
Last edited by a moderator:
Unaogopa nini mtoa mada, kwani kuna katiba hapa??!!! Watu si wanajilia hela ya bure tu?
 
images


Kisu munacho nyie wenyewe, hivi Ally Kombo baada ya kuchinja huwa munasomea dua kiganja cha mkono!!!

Hizi zimeletwa sana, na hii si Kazi ya Mahakama ya Kadhi. Lete na picha za vibaka wa Manzese wanaochomwa moto kwa kuiba Nokia !
Nimekuomba picha za Albino waliokatwa mikono kwa kutafuta utajiri mbona huleti !??
kahtaani tuletee picha za Albino na wale vibaka wanaochomwa Manzese
 
Last edited by a moderator:
Unaogopa nini mtoa mada, kwani kuna katiba hapa??!!! Watu si wanajilia hela ya bure tu?

...namshaangaa mie ! Leo kasimama Mchungaji mmoja bungeni anasema kutokana na nchi kuwa na gesi na mafuta, ndio maana kunaletwa hoja ya Mahakama ya Kadhi ili inchi iingie matatani.
Akajibiwa na mjumbe mwingine kuwa Mahakama ya Kadhi haiji kusimamia Gesi na mafuta, bali masuala ya Waislaam !
 
Pelekeni Ufisadi wenu huko kwa kutumia mgongo wa taasisi zenu !.........kama serikali ina Mabilioni ya kuwahongo kwa nini isijenge Taasisi zake na badala yake ijaze Mbailioni kwenye Makanisa !?..............Hiyo Hospitali kama KCMC au Seliani ina nafuu gani inayomuwezesha mtu wa kawaida akatibiwa hapo !? Ufisadi nyinyi kwenu ni sehemu ya Ibada. Swat

Mkuu haukuwa na haja ya kukuza na ku bold maandishi yako. Unaonekana ume panic!. Nilichoeleza ni kwamba,Rais Kikwete ambae ni islam mwenzenu,alishafafanua kuhusu MOU na aliwaasa taasisi za waislamu pia ziingie MOU na serikali zikitaka. Si jambo la siri. Sasa acha ku panic,tujuze mmefikia wapi?
 
Hii Nchi si ya Kidini Oneoeni Upuuzi wenu...

Wahindi nao watake Mahakama yao,Mabuddha,Wayahudi,Wakristo nini maana yake... Nyerere alishaliona hili kitambo akaliweka Pembeni... Tatizo Waislam wanavutia upande wao tu... Shuka... Litapingwa hadi kiama... Asiyelitaka akaishi Somalia... huko atakutana nalo..

Hii nchi haina mikataba na Majini yabaki huko huko Mecca
 
Wewe na Wagalatia wenzio ndio mnahangaika kuzuia Nuru ya Allah SWT !........taratibu tu mtapatikana !
Kiko wapi kile mlichokuwa mnajishaua, kuchinjaaa kuchinjaa !?
Hilo lijamaa ni Giza na kamwe haliwezi kuwa Nuru... ndio maana alama yake ni Mwezi idol kwenye kila Msikiti Nuru ni kwa YHWH

 
Haaa....haaa..haaa ! Huwezi kuzisherehesha sheria za Kiislaam wakati kuna watu wanasoma mpaka kupata Ph.D !
Nikuulize....mwanamke ni sawa na mwanaume !? yaani mapungufu ya mwanamke ni sawa na mapungufu ya mwanamke !?
Kwa nini Magereza yote yamejaa Wanaume na si Wanawake !?
Ni nani ameumbwa (by nature) kufanya uamuzi kwa hisia na emotion kati ya mwanaume na mwanamke !?
Ukiyajibu hayo maswali kwa haki, ndio utaelewa maana ya ushahidi wa wanawake wawili ni sawa na mwanaume mmoja!
Mwanamke hata akiwa na power na uwezo vipi lazima atategemea guidance ya Mwanaume. TanzaniaLaw
You are not addressing the issue. That is why Kadhi court is not compatible with mankind. Females have the same ability you have and even more. So, stop profiling women as less humans.
 
Kila binaadam ana kiwango chake cha uvumilivu,na ipo siku manyanyaso haya yatazidi na uvumilivu utakua mwisho wake hapo basi ndipo zitakapo ibuka twigahalal. Na baada ya twigahalal ndipo itakapo patikana heshima na amani ya kudumu.
 
Nimekwambia 'Mahakama ya Biashara' !........kwani sote tunaendesha Biashara !? Hii ni Mahakama kwa ajili ya watu wenye Biashara, si suala la Ukiristu na Uislaam.
Mahakama ya Kadhi ni kwa ajili ya Waislaam, kusaidia kutoa hukumu ya mambo yao ya kijamii kwa 'taratibu za Kiislaam'
Kama ilivyo katika Katiba ya Kenya, na kama Mkoloni wa Kiingereza alivyowahi kuiweka wakati wake wa kuitawala Tanganyika !

Je Mahakama ya Biashara Imeandikwa kwenye katiba? pia ikitokea wanandoa wawili wanatengana na mmoja anataka shauri lake lisikilizwe na mahakama ya kadhi na mwingine anataka shauri lake lisikilizwe na mahakama ya kawaida hapo hamuoni italeta migogoro katika jamii
 
Lete na zile picha za ndugu zako wanawakata mikono Albino ili wapate utajiri ! Asante
Na hii si shughuli ya Mahakama ya Kadhi, na hakuna Mahakama yeyote katika Uislaam wala katika Qur'an hakuna amri ya kukata pua !

Hiyo picha hao jamaa ni Al Shabab, unajuaje kama huyo ni informer amekamatwa na anapewa adhabu !?.............hata Wapelestina hivi karibuni wamewauwa watu karibia 7 ambao walikuwa ni ma-informer wa Wayahudi.

6a00d8341c630a53ef014e8879cb9b970d-800wi


This form of qisas, or retributive justice, is allowed in the Islamic Criminal Code in Iran, under Islamc sharia law. It calls for the infliction of equal bodily harm on an aggressor.
 
Hii Nchi si ya Kidini Oneoeni Upuuzi wenu...

Wahindi nao watake Mahakama yao,Mabuddha,Wayahudi,Wakristo nini maana yake... Nyerere alishaliona hili kitambo akaliweka Pembeni... Tatizo Waislam wanavutia upande wao tu... Shuka... Litapingwa hadi kiama... Asiyelitaka akaishi Somalia... huko atakutana nalo..

Hii nchi haina mikataba na Majini yabaki huko huko Mecca

Upuuzi mliufanya pale msalabani, kumbebesha dhambi mtu ambaye hazimuhusu ! Mahakama ya Kadhi hatuiombi Vatikani, na moto tuliouanzisha hautazimika.
Hayatuhusu hayo ya Mabudha na wengineo mnaofanana !
 
6a00d8341c630a53ef014e8879cb9b970d-800wi


This form of qisas, or retributive justice, is allowed in the Islamic Criminal Code in Iran, under Islamc sharia law. It calls for the infliction of equal bodily harm on an aggressor.

Ndio umeposti Albino !? Tuletee na picha ya kumsulubu mungu wenu msalabani illi mfutiwe dhambi !
Dhambi mfanye nyie ilhali kichapo ale mwingine. Wagonjwa sana nyei !
 
Back
Top Bottom