Kuhusu mahakama ya kadhi

Kuhusu mahakama ya kadhi

Shame on you kukatalia kitu msichokijua wala hakiwahusu wala hakigusi maisha yenu ya kila siku !
Mna post ujinga tu kwa jambo msilolijua. Wala hamtaki kujua kuwa Kadhi Law imekuwepo wakati wa Tanganyika na currently ipo Zanzibar.
Sasa nini kinawasumbua nyie !?

You are too low for me. You must be mixing me with some madrassatians who can't even spell Versace.
 
You are too low for me. You must be mixing me with some madrassatians who can't even spell Versace.

.......madrasa ni sehemu ya kujifunza, tena unafundishwa Mungu hazai kama mama yako alivyokuzaa wewe, bali Mungu anaumba. Tena anaumba kwa kusema tu 'Kun faya kun' ....yaani 'kuwa na mara inakuwa !
Sasa cha ajabu ni wewe na Madigirii yako unaenda kununua picha ya mungu Duka la Stationary na unaitundika sebuleni !
'Who is too low !?'............:A S 109:


"Hakika amri yake anapotaka kitu ni kukiambia tu: Kuwa ! Na kikawa.
Qur'an:36:82
 
Young man, we are talking about Tanzania and not Kenya.

Tunazungumzia Kenya kama mfano, au Kenya si Nchi !?
Nyie wanasheria mkitetea watu huwa mnatafuta 'authority' hata kwa kesi zilizo amuliwa India 19 hundred hukoo !
sasa cha ajabu nini kutajwa Kenya kuwa wao Katiba yao ina kipengele cha Mahakama ya kadhi. Na katika Kenya Wakiristu wanakimbilia 80% !
 
Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution of Tanzania

Kwanini unatapotosha watu. Unapindisha tafsiri ya Qur-an ili uwapoteze watu! Laana itashukia usipojirekibisha. TAFRSIRI SAHIHI NI HII HAPA. ACHA KUPOTOSHA WATU.

Sahih International
2: 228. Divorced women remain in waiting for three periods, and it is not lawful for them to conceal what Allah has created in their wombs if they believe in Allah and the Last Day. And their husbands have more right to take them back in this [period] if they want reconciliation. And due to the wives is similar to what is expected of them, according to what is reasonable. But the men have a degree over them [in responsibility and authority]. And Allah is Exalted in Might and Wise.

[SIZE=+1][SIZE=+1][SIZE=+1][SIZE=+1]2:229. The divorce is twice, after that, either you retain her on reasonable terms or release her with kindness. And it is not lawful for you (men) to take back (from your wives) any of your Mahr (bridal money given by the husband to his wife at the time of marriage) which you have given them, except when both parties fear that they would be unable to keep the limits ordained by Allah (e.g. to deal with each other on a fair basis). Then if you fear that they would not be able to keep the limits ordained by Allah, then there is no sin on either of them if she gives back (the Mahr or a part of it) for her Al-Khul' (divorce). These are the limits ordained by Allah, so do not transgress them. And whoever transgresses the limits ordained by Allah, then such are the Zalimun (wrong-doers, etc.).

[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][SIZE=+1][SIZE=+1][SIZE=+1][SIZE=+1]2:230. And if he has divorced her (the third time), then she is not lawful unto him thereafter until she has married another husband. Then, if the other husband divorces her, it is no sin on both of them that they reunite, provided they feel that they can keep the limits ordained by Allah. These are the limits of Allah, which He makes plain for the people who have knowledge.[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE]


[SIZE=+1][SIZE=+1][SIZE=+1][SIZE=+1]2:231. And when you have divorced women and they have fulfilled the term of their prescribed period, either take them back on reasonable basis or set them free on reasonable basis. But do not take them back to hurt them, and whoever does that, then he has wronged himself. And treat not the Verses (Laws) of Allah as a jest, but remember Allah's Favours on you (i.e. Islam), and that which He has sent down to you of the Book (i.e. the Qur'an) and Al-Hikmah (the Prophet's Sunnah - legal ways - Islamic jurisprudence, etc.) whereby He instructs you. And fear Allah, and know that Allah is All-Aware of everything.[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE]


[SIZE=+1][SIZE=+1][SIZE=+1][SIZE=+1]2:232. And when you have divorced women and they have fulfilled the term of their prescribed period, do not prevent them from marrying their (former) husbands, if they mutually agree on reasonable basis. This (instruction) is an admonition for him among you who believes in Allah and the Last Day. That is more virtuous and purer for you. Allah knows and you know not.[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE]

Sahih International
65: 1 O Prophet, when you [Muslims] divorce women, divorce them for [the commencement of] their waiting period and keep count of the waiting period, and fear Allah , your Lord. Do not turn them out of their [husbands'] houses, nor should they [themselves] leave [during that period] unless they are committing a clear immorality. And those are the limits [set by] Allah . And whoever transgresses the limits of Allah has certainly wronged himself. You know not; perhaps Allah will bring about after that a [different] matter.




Sahih International
65:2And when they have [nearly] fulfilled their term, either retain them according to acceptable terms or part with them according to acceptable terms. And bring to witness two just men from among you and establish the testimony for [the acceptance of] Allah . That is instructed to whoever should believe in Allah and the Last day. And whoever fears Allah - He will make for him a way out




Sahih International
65:3 And will provide for him from where he does not expect. And whoever relies upon Allah - then He is sufficient for him. Indeed, Allah will accomplish His purpose. Allah has already set for everything a [decreed] extent.

Sahih International
65:4 And those who no longer expect menstruation among your women - if you doubt, then their period is three months, and [also for] those who have not menstruated. And for those who are pregnant, their term is until they give birth. And whoever fears Allah - He will make for him of his matter ease.


Sahih International
65:5 That is the command of Allah , which He has sent down to you; and whoever fears Allah - He will remove for him his misdeeds and make great for him his reward.


Sahih International
65:6 Lodge them [in a section] of where you dwell out of your means and do not harm them in order to oppress them. And if they should be pregnant, then spend on them until they give birth. And if they breastfeed for you, then give them their payment and confer among yourselves in the acceptable way; but if you are in discord, then there may breastfeed for the father another woman.



Sahih International
65:7 Let a man of wealth spend from his wealth, and he whose provision is restricted - let him spend from what Allah has given him. Allah does not charge a soul except [according to] what He has given it. Allah will bring about, after hardship, ease.



 
Mtoa mada hebu fikiria kua isipowekwa waislam watapiga kura ya hapana,je unadhani nani atakua mshindi?

Usiogope haitawekwa,bunge hilo naona waislam ni wengi ila uzuri wao hawana sauti,ni watu wa kulalamika na kutusihi na kutuomba wakristo wachache waliopo ndani ya bunge wawaruhusu wawe na mahakama ya kadhi.

Kwa ufupi ni kua jambo lolote waislam wakitaka kufanya ni lazima watuombe ruhusa sisi wakristo bila kujali idadi yetu hata kama sisi ni wachache kuliko wao. Ni jambo zuri kwa kweli.

MNAHANGAIKA BUREEEE.... Yaani imeshindikana kupatikana kwa kipindi hiki cha KIONGOZI MUISLAM sembuse ikubaliwe kipindi kijacho cha MGALATIA? waislam kwa hili la KADHI mujipange jinsi ya kupata ufumbuzi ikiwemo kwa kuangalia nani mnaona ATAFAA atawatendea na kutekeleza mahitaji yenu muhimu MUMCHAGUE HUYO. Ila kwa ccm msahau kabsaa.. hii ya KADHI ni kiini macho.
UGANDA Wanayo KADHI japo wagalatia ni wegi zaidi ya waislam. KENYA vivyo hivyo.. inakuwaje hapa tanganyika mnasuasua??!!! au ndio wanatekeleza ule mpango wa memorandum OF UNDERSTANDING
 
Kama mambo ya kadhi ni IBADA, kuna sababu gani ya kuhitaji polisi amlazimishe muumini kufanya mambo ya ibada?
Mbona polisi hawalazimishi watu kwenda kuswali? mbona polisi hawalazimishi watoto kwenda madrasa? Mbona ndoa zinafungwa kiislam lakini kwa hiari? Iweje sasa maamuzi ya kadhi (Ibada) yalazimishwe na polisi? Na hao polisi na taasisi zingine zitakazotumika ku-enforce maamuzi ya kadhi watakuwa waislam au wagalatia?
Niasidie haya machache bwana Ally Kombo

.....ndio maana tunawaeleza uelewa wenu ni mdogo ! Watu wakiamua kupelekana Mahakamani kuna hiari tena !?
Mbona kesi za Mke na mume kuachana zinapelekwa Mahakamani na wakati wa kuoana ilikuwa vigelegele na manywaji !?
Mahakama itakapo amua kutengua ambayo watu waliokuwa mke na mume wameshtakiana na mali kuamua igaiwe sawa kwa sawa, mwanaume akakataa au kuficha mali, hatua gani itachukuliwa kuhakikisha haki inatendeka !?
Au Mahakama ina amua nyumba iuzwe, mmoja wapo hataki, Je, hatua gani zichukuliwa ikiwa hukumu tayari imetoka !?
Je, Polisi na Madalali hawatahusika !?? Nanren
 
Last edited by a moderator:
You are too low for me. You must be mixing me with some madrassatians who can't even spell Versace.
mkuu wanajificha kwa kuiogopa mahakama ya kadhi kisingizio eti itatumia kodi ya wananchi. sasa kwani waislam sio wananchi? wacha kodi itumike kama inavotumika kwenye bunge la katiba.
 
..niseme kitu kimoja tu. Ni rahisi sana ngamia kupenya kwenye ... Kuliko mgalatia kuelewa umuhimu wa kuwepo kwa kadhi.
 
MNAHANGAIKA BUREEEE.... Yaani imeshindikana kupatikana kwa kipindi hiki cha KIONGOZI MUISLAM sembuse ikubaliwe kipindi kijacho cha MGALATIA? waislam kwa hili la KADHI mujipange jinsi ya kupata ufumbuzi ikiwemo kwa kuangalia nani mnaona ATAFAA atawatendea na kutekeleza mahitaji yenu muhimu MUMCHAGUE HUYO. Ila kwa ccm msahau kabsaa.. hii ya KADHI ni kiini macho.
UGANDA Wanayo KADHI japo wagalatia ni wegi zaidi ya waislam. KENYA vivyo hivyo.. inakuwaje hapa tanganyika mnasuasua??!!! au ndio wanatekeleza ule mpango wa memorandum OF UNDERSTANDING

Hilo ndilo linalo wadanganya Wagalatia !........mnajiona hatimiliki ya Tanzania mnayo nyie !
Hayo majibu yakuwa Uganda ipo na Kenya ipo, iweje Tanzania bado yatapatikana tu muda ukifika. Tunaenda hatua kwa hatua ili tusilaumiane !
 
We ndugu haueleweki. Sasa hapa kwani unamuomba nani au unamdai nani hiyo mahakama ya kadhi. Mmesharuhusiwa muanzishe huko kwenye misikiti na taasisi zenu. Hamjakatazwa! Ila kwa kuwa katiba inaongelea watu wa dini,kabila,rangi na jinsia zote,mahakama ya kadhi haitoingizwa. Anzisheni kama wakristo,wahindu,mabudha,wapagani,machifu,wapagani nk walivyoanzisha mahakama yao na wanaiendesha wenyewe bila kugombana na yeyote. Hata wakristo hawapingi ninyi kuwa na mahakama ya kadhi. Bali muianzishe wenyewe,muiendeshe na muigharamie wenyewe. Hatuitaji kodi za wakristo,wapagani,wahindu,mabohora,mabudha,masingasinga nk ambao hata hawamjui kadhi,eti zilipie mahakama ya kadhi.Musiifanye ni jambo la watanzania wote mpaka eti liwekwe kwenye katiba.Mfano: Kwa wakatoliki na madhehebu mengi ya kikristo mwanamme akimuacha mkewe wa ndoa na kuchukua mwanamke mwingine,mwanamke akishtaki kanisani na mwanamme akionekana ana makosa,huwa anafungiwa kushiriki huduma zote za kanisa. Mwanaume huyu hata aende mahakama za serikali hatosikilizwa kwa hiyo hukumu. Sasa ninyi mnashindwa nini kuanzisha hiyo kitu mradi tu msikinzane na sheria za nchi? Au mnataka kuja kuwa juu ya sheria za nchi?.Kipi haujaelewa hapo?

Tunataka iingizwe katika Katiba period ! ........hatuombi mtu bali tunataka !
Kwani waliotoa maoni ya Serikali tatu, walikuwa wanamuomba nani !??
 
Hicho kipengele hata kama kitapita Bunge la katiba wananchi wataikataa katiba nzima, nchi hii haina dini kitendo cha kurasimisha dini moja sharia zake ziwepo kwenye katiba hakikubaliki

Kukataliwa na wananchi ni hatua ya pili !..........tutaipigia debe kama vile CCM wanavyoipigia debe serikali mbili !
Mtakalishwa chini mfundishwe nini Mahakama ya kadhi na kazi zake, na maswali yanajibiwa.
 
Tunazungumzia Kenya kama mfano, au Kenya si Nchi !?Nyie wanasheria mkitetea watu huwa mnatafuta 'authority' hata kwa kesi zilizo amuliwa India 19 hundred hukoo ! sasa cha ajabu nini kutajwa Kenya kuwa wao Katiba yao ina kipengele cha Mahakama ya kadhi. Na katika Kenya Wakiristu wanakimbilia 80% !
Ukianza kuwafuatisha Kenya utataka pia mpinzani wako akuorodheshee nchi zisizo na mahakama ya Kadhi
 
Kukataliwa na wananchi ni hatua ya pili !..........tutaipigia debe kama vile CCM wanavyoipigia debe serikali mbili !
Mtakalishwa chini mfundishwe nini Mahakama ya kadhi na kazi zake, na maswali yanajibiwa.

Utueleweshe nini?
Hayatuhusu
 
Kukata mzizi wa fitina ni kufundisha mahakimu hizo sheria za mirathi then mkiachana mnakwenda mahakamani unakutana hakimu awe Ally au John anatoa hukumu
Mnatuchosha sana nyinyi na malalamiko yenu
Badala tukadili mambo muhimu eti tunajadili mkiachana katiba iwape mahakama
 
Serkali haifungamani na dini yoyote na haina sababu ya kuingiza vipengele vya dini katika katiba yake. Mwisho wa maelezo. Inallaah mswabrina wabilaghi taawfiq. Wabarakatu

Serikali ya Kenya inafungamana na dini...? Hivi nyie makristo ya bongo mbona mimburula hivi...?

UK,Rwanda, Kenya, Uganda, SA...igeni basi hata kwa makafiri wenzenu wa nchi tajwa hapo juu
 
wewe kichwa chako kibovu kweli! Kwani hizo biashara zinafanywa na wakristo tu au watu wa imani fulani tu!? Kwa kuwa mahakama ya biashara haihusiani na dini yoyote ila iko huru kwa watu wa imani zote na wasioamini hivyo si vibaya kutumia kodi zetu! si ajabu unaweza ukasema hata hizi mahakama za jinai nazo huzitaki kwa kuwa sio wote wanaofanya jinai! Wewe wa ajabu sana!

Mbona mi sio mfanyabiashara lakini kodi yangu inatumika kuendesha mahakama ya biashara...? Punguza upu...mbavu basi arifu
 
Dogo,

Hii nchi si yako ni yetu kwahiyo koma kama ulivyokoma na kuwa mtu mzima. Kama hautaki mahakama ya kadhi kalie huko au hamia kusiko na mahakama ya kadhi. Huwezi kututisha kwa kudai tuamue moja tushaamua mbona hujui hilo?

Povu linakutoka mkuu, anzisheni kisela ila kuiweka kwenye katiba ndo hatutaki, fuatilia takweimu ujue kati ya wakristo na waislam wapi idadi yao ni kubwa, ukishajua hilo utaelewa kwamba hiyo mahakama yenu itakuepo au mnapoteza muda.
 
Serikali ya Kenya inafungamana na dini...? Hivi nyie makristo ya bongo mbona mimburula hivi...?

UK,Rwanda, Kenya, Uganda, SA...igeni basi hata kwa makafiri wenzenu wa nchi tajwa hapo juu

Issue sio nchi gani wanafanya nini
Mwisho mtataka kukatana mikono na kupigana mawe kwakuwa nchi fulani wanafanya hivyo
 
Hatutaki kitu kiingie kwenye katiba wakati hakina manufaa kwa taifa eti kisa magaidi wachache kitawanufaisha, hiyo katiba ni mali ya watanzania wote sio mali ya waislam, ndio maana tunahitaji kila kilichoandikwa kwenye katiba kiwe na maana kwa jamii na kisimkwaze mtu kuhusu imani yake, wala kabila lake.

Baba yako ndio gaidi
 
Back
Top Bottom