Kuhusu mahakama ya kadhi

Kuhusu mahakama ya kadhi

1. Usifananishe serikali ya nchi nyingine na Tanzania mkuu, kila nchi na katiba yake na taratibu zake
2. Hilo kanisa ni kanisa gani?

........kwa sababu hutaki tuu !:wof:..........mbona waliitwa wataalamu kutoka kenya kuja kuleta uzoefu wao kuhusu Katiba !?
Unamjua Profesa Lumumba !?.........was here !
 
yananihusu next time mtarudi kuombea kadhi budget..so PAYE yangu ikulipe wewe hakimu wa kadhi badala ya kumlipa hakimu wa mahakama ya wote? hapa nitasema hapanaaaaaa........!!!!!!!

........mwenye PAYE ni wewe tu na Kanisa lako, si ndiyo !? Entim
 
Last edited by a moderator:
........kwa sababu hutaki tuu !:wof:..........mbona waliitwa wataalamu kutoka kenya kuja kuleta uzoefu wao kuhusu Katiba !?
Unamjua Profesa Lumumba !?.........was here !
Unakumbuka alishauri nini, na kimefuatwa kipi katika yale aliyoshauri?
 
KWANINI MAHAKAMA YA KADHI
Kwa sababu serikali ndio msimamizi wa sheria na pia serikali ndio kikatiba kupitia mahakama ina kazia hukumu kutekelezwa.
Kitu muhimu jiulize kwa nini kuwepo mahakama ? Jee kwa nini tupate hasara ya kuwasomesha na kuwapa mishahara ?
Kwa nini tusimalizane na wezi huku huku mitaani?
Kwani ukimtwanga mtu ngumi tusimalizane huku huku kwa kumvizia nawe ukamkata kichwa?
dada ako akifiwa na mume wake na akitimuliwa na mashemeji kama paka mwizi jee kwanini utamwambia aende mahakamani?

Dada ako akiachwa na mume wake na akafukuzwa na huyo mumewe na kunyimwa watoto hata wa mwezi mmoja akaambiwa atoke hana ruhsa kuchukua mtoto kwanini utamshauri aende mahakamani ?
Dada ako kaolewa na kuzalishwa mitoto kibao na njemba linapata dogo dogo na kusahau mkewe na watoto wake hawahudumii kwanini utamwambia twende mahakama?
Na mengine kama hayo utamshauri dada yako aende mahakamani kutafuta haki yake kisheria.
Na hio mahakama si ya kanisani ni ya kiserikali inayo tambuliwa.kanisa linaweza kusuluhisha lakini hali shurutishi na halina nguvu kulazimisha ndio maana mwisho dada yako ataenda mahakamani kudai haki yake.
Sasa sisi waislam kwenye masuala haya tuna taratibu zetu ndio maana tunaka mahakama special kusimamia haki za watao zulimiwa.
Ni suala la haki na sheria na msimamizi wa haya ni dola.
Tuwache udini na chuki zisizo na msingi kuna sababu za mdingi kabisa jili kuwemo ndani ya katiba.
Katiba hii haiku watendea haki waislam nao wana kila sababu ya kusema NO.
 
KWANINI MAHAKAMA YA KADHI
Kwa sababu serikali ndio msimamizi wa sheria na pia serikali ndio kikatiba kupitia mahakama ina kazia hukumu kutekelezwa.
Kitu muhimu jiulize kwa nini kuwepo mahakama ? Jee kwa nini tupate hasara ya kuwasomesha na kuwapa mishahara ?
Kwa nini tusimalizane na wezi huku huku mitaani?
Kwani ukimtwanga mtu ngumi tusimalizane huku huku kwa kumvizia nawe ukamkata kichwa?
dada ako akifiwa na mume wake na akitimuliwa na mashemeji kama paka mwizi jee kwanini utamwambia aende mahakamani?

Dada ako akiachwa na mume wake na akafukuzwa na huyo mumewe na kunyimwa watoto hata wa mwezi mmoja akaambiwa atoke hana ruhsa kuchukua mtoto kwanini utamshauri aende mahakamani ?
Dada ako kaolewa na kuzalishwa mitoto kibao na njemba linapata dogo dogo na kusahau mkewe na watoto wake hawahudumii kwanini utamwambia twende mahakama?
Na mengine kama hayo utamshauri dada yako aende mahakamani kutafuta haki yake kisheria.
Na hio mahakama si ya kanisani ni ya kiserikali inayo tambuliwa.kanisa linaweza kusuluhisha lakini hali shurutishi na halina nguvu kulazimisha ndio maana mwisho dada yako ataenda mahakamani kudai haki yake.
Sasa sisi waislam kwenye masuala haya tuna taratibu zetu ndio maana tunaka mahakama special kusimamia haki za watao zulimiwa.
Ni suala la haki na sheria na msimamizi wa haya ni dola.
Tuwache udini na chuki zisizo na msingi kuna sababu za mdingi kabisa jili kuwemo ndani ya katiba.
Katiba hii haiku watendea haki waislam nao wana kila sababu ya kusema NO.

We Muislam, karabati akili yako, madai yenu ni hukumu za mahakama yenu kutambuliwa au ni ulazima wa kuanzishwa, kuendeshwa na kusimamiwa na Serikali ?

Jibu hoja kadri zinavotolewa sio kusingizia sheria wakati tunafahamu mahakama ya kadhi haitumii sheria ! Yenyewe ni sharia za kidini Tu.
 
KWANINI MAHAKAMA YA KADHI
Kwa sababu serikali ndio msimamizi wa sheria na pia serikali ndio kikatiba kupitia mahakama ina kazia hukumu kutekelezwa.
Kitu muhimu jiulize kwa nini kuwepo mahakama ? Jee kwa nini tupate hasara ya kuwasomesha na kuwapa mishahara ?
Kwa nini tusimalizane na wezi huku huku mitaani?
Kwani ukimtwanga mtu ngumi tusimalizane huku huku kwa kumvizia nawe ukamkata kichwa?
dada ako akifiwa na mume wake na akitimuliwa na mashemeji kama paka mwizi jee kwanini utamwambia aende mahakamani?

Dada ako akiachwa na mume wake na akafukuzwa na huyo mumewe na kunyimwa watoto hata wa mwezi mmoja akaambiwa atoke hana ruhsa kuchukua mtoto kwanini utamshauri aende mahakamani ?
Dada ako kaolewa na kuzalishwa mitoto kibao na njemba linapata dogo dogo na kusahau mkewe na watoto wake hawahudumii kwanini utamwambia twende mahakama?
Na mengine kama hayo utamshauri dada yako aende mahakamani kutafuta haki yake kisheria.
Na hio mahakama si ya kanisani ni ya kiserikali inayo tambuliwa.kanisa linaweza kusuluhisha lakini hali shurutishi na halina nguvu kulazimisha ndio maana mwisho dada yako ataenda mahakamani kudai haki yake.
Sasa sisi waislam kwenye masuala haya tuna taratibu zetu ndio maana tunaka mahakama special kusimamia haki za watao zulimiwa.
Ni suala la haki na sheria na msimamizi wa haya ni dola.
Tuwache udini na chuki zisizo na msingi kuna sababu za mdingi kabisa jili kuwemo ndani ya katiba.
Katiba hii haiku watendea haki waislam nao wana kila sababu ya kusema NO.

Mahakama ya kadhi iko chini ya usimamizi wa waislamu wenyewe.

Ili kutenda haki bila kuathiri haki nyingine na misingi ya utu wa mtanzania na Haki za Binadamu, Serikali yetu haiamini katika dini.

Serikali yetu Imeshajitosheleza na mahakama zake. Zisizoegemea upande wowote wa dini. Na zinafanya kazi kama kawaida.

Sasa kama mahakama ya ya kadhi (uislamu) haiwezi kumshurutisha kijana wa kiislamu aliyekataa kutii mahakama ya kidini, ni wazi basi huyo kijana sio muislamu halisi. Hampendi Allah wala Mtume wake mohammad SAW. Muislamu wa kweli ni mujibu atii viongozi wake na dini yake na koran na hadithi zote za mtume. Hata hivyo Swala la imani ni la MTU binafsi.
Inashangaza kuona mnahofia waislamu kukataa kutii dini yake, mpaka serikali iingilie kati kumshurutisha nwislamu!. Kwani maagizo ya mtume hayako wazi?

Hii ndio itapelekea machafuko na fujo zaidi has a kati ya jamii na serikali..

Serikali haina haki ya kumlazimisha MTU kuamini ama kufuata asichoamini. Serikali inabakia kuwa neutral.

Wanandoa wana haki ya kuamua kuchagua njia waitakayo ili kupata haki zao za msingi.

Isitoshe kama Shida ya Dada yangu ni kupata haki, na kama anaweza kuipata HAKI katika mahakama za kiserikali zenye uwezo wa kushurutisha What the fuzz is all about?

Mahakama ya kadhi ni kwa waislamu wanaoufuata uislamu. Na sio kwakila MTU kwakuwa tu anajina la kiislamu.

Wewe crabat Ikatokea Dada yako amebakwa na uislamu unataka ushahidi wa watu wanne wakiwemo viongozi wa dini.

Kama Dada yako atashindwa kuleta shahidi ambaye ni kiongozi wa kidini katika mahakama ya kadhi atakosa haki zake.

Na hapa haja ya yeye kwenda mahakama za serikali ambapo angepata haki yake Kirahisi inazidi kuwa na mashiko Manake kule hata mashahidi wa 3 wanatosha, pia sio lazima shahidi awe kiongozi wa dini na vipimo vya hospital vinatumika pia Ili Kumbaini mtuhumiwa wa unabakaji.
Tena mahakama za serikali ziko very effective . kwakuwa wanaoperate kwa motto usemao ignorance of the law is not an excuses....

Pia mahakama za serikali zinamlinda mwanamke na kumpa heshima yake hapa duniani bila Dr itikadi yake.
Mfano;

kuna sheria ya kupinga Ulawiti(usodoma/kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile) kwa mwanamke hata kama ni mkeo. Hii sheria inaweza kumlinda Dada yako aliyeolewa.

Mahakama za serikali zinaweza kumsaidia mdogo wako wa Kike ama mtoto wako wa kike kujihakikishia kupata Elimu badala ya kuolewa akiwa mtoto.

Mahakama za serikali zinaweza kumlinda mdogo wako wa kike na ubakaji, kwa visingizio vya kuolewa katika utoto wake.

Mahakama za serikali zinamlinda mtoto wako wa kike/ dada yako ama mama yako mzazi dhidi ya unyanyasaji wa kupigwa na mumewe ama baba yako.kwahiyo utaona mahakama za serikali

Bado ni effective kulinda haki, utu wa jamii.

Vilevile si vyema kumsema MTU unayetofautiana naye mawazo kuwa ana chuki na wewe. Nakushauri attack concept na sio personality ya MTU. Wanaokataa Kadhi; miongoni mwao wako wakristo, wenye imani zao za jadi, wahindu, Atheists, Rastafari, na kundi kubwa la waislamu. Sasa haiwezekani makundi yote haya yakawa na sababu za chuki na kikundi cha waislamu wachache wenye kuitaka mahakama ya kadhi.

Serikali hii sio Mali ya kikundi cha waislamu peke yao. Ni makosa makubwa sana, kwamtu Kutaka waislamu na wasio wasilamu wachanganyike kwenye mahakama kusimamia uislamu na mirathi. Ni sawa na kuchakachua uislamu.

Isitoshe yapo mambo yanaweza kuonekana ni makosa kwa msingi ya uislamu.lakini lisiwe baya kiserikali ama kwa wasio waislamu.

Mfano mtoto wa kike kukataa kuolewa kwasababu ya umri wake. Na wazazi wamekula mahari.
Ama kupitia kadhi, ugawaji wa mirathi unaweza kumpunja mwanamke mjane wa kiislamu. na akakimbilia serikalini kupata haki zake kwa msingi ya sheria za nchi.

Kadhi inaweza kuleta maçhàfuko katika jamii.
Hasa katika intermarried ya dini tofauti na namna ya kugawana haki kati ya wanandoa.

Inaweza kuzuia Uhuru mtu kuchagua na kuhama imani ya uislamu kwa hiyari yake.

Kwanza sijui kwanini najadili wakati mahakama wenyewe imeshakuka.
ban na serikali?
Huu ulikuwa mtaji wa wanasiasa uchwara wa CCM ili wapate kura za waislamu. Ndio maana wanaipenda sana CCM.
 
Last edited by a moderator:
Mahakama ya kadhi iko chini ya usimamizi wa waislamu wenyewe.

Ili kutenda haki bila kuathiri haki nyingine na misingi ya utu wa mtanzania na Haki za Binadamu, Serikali yetu haiamini katika dini.

Serikali yetu Imeshajitosheleza na mahakama zake. Zisizoegemea upande wowote wa dini. Na zinafanya kazi kama kawaida.

Sasa kama mahakama ya ya kadhi (uislamu) haiwezi kumshurutisha kijana wa kiislamu aliyekataa kutii mahakama ya kidini, ni wazi basi huyo kijana sio muislamu halisi. Hampendi Allah wala Mtume wake mohammad SAW. Muislamu wa kweli ni mujibu atii viongozi wake na dini yake na koran na hadithi zote za mtume. Hata hivyo Swala la imani ni la MTU binafsi.
Inashangaza kuona mnahofia waislamu kukataa kutii dini yake, mpaka serikali iingilie kati kumshurutisha nwislamu!. Kwani maagizo ya mtume hayako wazi?

Hii ndio itapelekea machafuko na fujo zaidi has a kati ya jamii na serikali..

Serikali haina haki ya kumlazimisha MTU kuamini ama kufuata asichoamini. Serikali inabakia kuwa neutral.

Wanandoa wana haki ya kuamua kuchagua njia waitakayo ili kupata haki zao za msingi.

Isitoshe kama Shida ya Dada yangu ni kupata haki, na kama anaweza kuipata HAKI katika mahakama za kiserikali zenye uwezo wa kushurutisha What the fuzz is all about?

Mahakama ya kadhi ni kwa waislamu wanaoufuata uislamu. Na sio kwakila MTU kwakuwa tu anajina la kiislamu.

Wewe crabat Ikatokea Dada yako amebakwa na uislamu unataka ushahidi wa watu wanne wakiwemo viongozi wa dini.

Kama Dada yako atashindwa kuleta shahidi ambaye ni kiongozi wa kidini katika mahakama ya kadhi atakosa haki zake.

Na hapa haja ya yeye kwenda mahakama za serikali ambapo angepata haki yake Kirahisi inazidi kuwa na mashiko Manake kule hata mashahidi wa 3 wanatosha, pia sio lazima shahidi awe kiongozi wa dini na vipimo vya hospital vinatumika pia Ili Kumbaini mtuhumiwa wa unabakaji.
Tena mahakama za serikali ziko very effective . kwakuwa wanaoperate kwa motto usemao ignorance of the law is not an excuses....

Pia mahakama za serikali zinamlinda mwanamke na kumpa heshima yake hapa duniani bila Dr itikadi yake.
Mfano;

kuna sheria ya kupinga Ulawiti(usodoma/kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile) kwa mwanamke hata kama ni mkeo. Hii sheria inaweza kumlinda Dada yako aliyeolewa.

Mahakama za serikali zinaweza kumsaidia mdogo wako wa Kike ama mtoto wako wa kike kujihakikishia kupata Elimu badala ya kuolewa akiwa mtoto.

Mahakama za serikali zinaweza kumlinda mdogo wako wa kike na ubakaji, kwa visingizio vya kuolewa katika utoto wake.

Mahakama za serikali zinamlinda mtoto wako wa kike/ dada yako ama mama yako mzazi dhidi ya unyanyasaji wa kupigwa na mumewe ama baba yako.kwahiyo utaona mahakama za serikali

Bado ni effective kulinda haki, utu wa jamii.

Vilevile si vyema kumsema MTU unayetofautiana naye mawazo kuwa ana chuki na wewe. Nakushauri attack concept na sio personality ya MTU. Wanaokataa Kadhi; miongoni mwao wako wakristo, wenye imani zao za jadi, wahindu, Atheists, Rastafari, na kundi kubwa la waislamu. Sasa haiwezekani makundi yote haya yakawa na sababu za chuki na kikundi cha waislamu wachache wenye kuitaka mahakama ya kadhi.

Serikali hii sio Mali ya kikundi cha waislamu peke yao. Ni makosa makubwa sana, kwamtu Kutaka waislamu na wasio wasilamu wachanganyike kwenye mahakama kusimamia uislamu na mirathi. Ni sawa na kuchakachua uislamu.

Isitoshe yapo mambo yanaweza kuonekana ni makosa kwa msingi ya uislamu.lakini lisiwe baya kiserikali ama kwa wasio waislamu.

Mfano mtoto wa kike kukataa kuolewa kwasababu ya umri wake. Na wazazi wamekula mahari.
Ama kupitia kadhi, ugawaji wa mirathi unaweza kumpunja mwanamke mjane wa kiislamu. na akakimbilia serikalini kupata haki zake kwa msingi ya sheria za nchi.

Kadhi inaweza kuleta maçhàfuko katika jamii.
Hasa katika intermarried ya dini tofauti na namna ya kugawana haki kati ya wanandoa.

Inaweza kuzuia Uhuru mtu kuchagua na kuhama imani ya uislamu kwa hiyari yake.

Kwanza sijui kwanini najadili wakati mahakama wenyewe imeshakuka.
ban na serikali?
Huu ulikuwa mtaji wa wanasiasa uchwara wa CCM ili wapate kura za waislamu. Ndio maana wanaipenda sana CCM.

Suala la mahakama ya kadhi halina nafasi kwa sasa wajameni tuachane nalo hilo suala.
 
Mahakama ya kadhi iko chini ya usimamizi wa waislamu wenyewe.

Ili kutenda haki bila kuathiri haki nyingine na misingi ya utu wa mtanzania na Haki za Binadamu, Serikali yetu haiamini katika dini.

Serikali yetu Imeshajitosheleza na mahakama zake. Zisizoegemea upande wowote wa dini. Na zinafanya kazi kama kawaida.

Sasa kama mahakama ya ya kadhi (uislamu) haiwezi kumshurutisha kijana wa kiislamu aliyekataa kutii mahakama ya kidini, ni wazi basi huyo kijana sio muislamu halisi. Hampendi Allah wala Mtume wake mohammad SAW. Muislamu wa kweli ni mujibu atii viongozi wake na dini yake na koran na hadithi zote za mtume. Hata hivyo Swala la imani ni la MTU binafsi.
Inashangaza kuona mnahofia waislamu kukataa kutii dini yake, mpaka serikali iingilie kati kumshurutisha nwislamu!. Kwani maagizo ya mtume hayako wazi?

Hii ndio itapelekea machafuko na fujo zaidi has a kati ya jamii na serikali..

Serikali haina haki ya kumlazimisha MTU kuamini ama kufuata asichoamini. Serikali inabakia kuwa neutral.

Wanandoa wana haki ya kuamua kuchagua njia waitakayo ili kupata haki zao za msingi.

Isitoshe kama Shida ya Dada yangu ni kupata haki, na kama anaweza kuipata HAKI katika mahakama za kiserikali zenye uwezo wa kushurutisha What the fuzz is all about?

Mahakama ya kadhi ni kwa waislamu wanaoufuata uislamu. Na sio kwakila MTU kwakuwa tu anajina la kiislamu.

Wewe crabat Ikatokea Dada yako amebakwa na uislamu unataka ushahidi wa watu wanne wakiwemo viongozi wa dini.

Kama Dada yako atashindwa kuleta shahidi ambaye ni kiongozi wa kidini katika mahakama ya kadhi atakosa haki zake.

Na hapa haja ya yeye kwenda mahakama za serikali ambapo angepata haki yake Kirahisi inazidi kuwa na mashiko Manake kule hata mashahidi wa 3 wanatosha, pia sio lazima shahidi awe kiongozi wa dini na vipimo vya hospital vinatumika pia Ili Kumbaini mtuhumiwa wa unabakaji.
Tena mahakama za serikali ziko very effective . kwakuwa wanaoperate kwa motto usemao ignorance of the law is not an excuses....

Pia mahakama za serikali zinamlinda mwanamke na kumpa heshima yake hapa duniani bila Dr itikadi yake.
Mfano;

kuna sheria ya kupinga Ulawiti(usodoma/kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile) kwa mwanamke hata kama ni mkeo. Hii sheria inaweza kumlinda Dada yako aliyeolewa.

Mahakama za serikali zinaweza kumsaidia mdogo wako wa Kike ama mtoto wako wa kike kujihakikishia kupata Elimu badala ya kuolewa akiwa mtoto.

Mahakama za serikali zinaweza kumlinda mdogo wako wa kike na ubakaji, kwa visingizio vya kuolewa katika utoto wake.

Mahakama za serikali zinamlinda mtoto wako wa kike/ dada yako ama mama yako mzazi dhidi ya unyanyasaji wa kupigwa na mumewe ama baba yako.kwahiyo utaona mahakama za serikali

Bado ni effective kulinda haki, utu wa jamii.

Vilevile si vyema kumsema MTU unayetofautiana naye mawazo kuwa ana chuki na wewe. Nakushauri attack concept na sio personality ya MTU. Wanaokataa Kadhi; miongoni mwao wako wakristo, wenye imani zao za jadi, wahindu, Atheists, Rastafari, na kundi kubwa la waislamu. Sasa haiwezekani makundi yote haya yakawa na sababu za chuki na kikundi cha waislamu wachache wenye kuitaka mahakama ya kadhi.

Serikali hii sio Mali ya kikundi cha waislamu peke yao. Ni makosa makubwa sana, kwamtu Kutaka waislamu na wasio wasilamu wachanganyike kwenye mahakama kusimamia uislamu na mirathi. Ni sawa na kuchakachua uislamu.

Isitoshe yapo mambo yanaweza kuonekana ni makosa kwa msingi ya uislamu.lakini lisiwe baya kiserikali ama kwa wasio waislamu.

Mfano mtoto wa kike kukataa kuolewa kwasababu ya umri wake. Na wazazi wamekula mahari.
Ama kupitia kadhi, ugawaji wa mirathi unaweza kumpunja mwanamke mjane wa kiislamu. na akakimbilia serikalini kupata haki zake kwa msingi ya sheria za nchi.

Kadhi inaweza kuleta maçhàfuko katika jamii.
Hasa katika intermarried ya dini tofauti na namna ya kugawana haki kati ya wanandoa.

Inaweza kuzuia Uhuru mtu kuchagua na kuhama imani ya uislamu kwa hiyari yake.

Kwanza sijui kwanini najadili wakati mahakama wenyewe imeshakuka.
ban na serikali?
Huu ulikuwa mtaji wa wanasiasa uchwara wa CCM ili wapate kura za waislamu. Ndio maana wanaipenda sana CCM.

DAH UMEANDIKA POROJO TU NYINGI

  • mahakama ya kadhi ni kwa ajili ya waislam na walio fanya ndoa kwa masharti ya ndoa za kiislam
  • alie funga ndoa kwa mkuu wa wilaya au mauritius huyo haa husiani na mahakama ya kadhi watakwenda mahakama za kisekula za serikali kwa sheria za kisekula
  • Mahakama ya kadhi haihusiki na Ubakaji , hio ni jinai au criminal case ambayo mahakama ya kadhi inayo takiwa sio shughuli yake
  • ulawiti na usodoma pia ni jinai au criminal case haina uhusiano na mahakama ya kadhi tunayotaka , ukibaka sheria za nchi zipo wazi utahukumiwa huko
  • mahakama ya kadhi haiji kubadilisha sheria za serikali kuhusu umri wa kuolewa , japo umri wa kike kwa waislam ni 16 yrs lakini hilo halimo katika masuala ya mahakama hii . ama kuhusu kupata muda wa kusoma..tuwe wakweli tanzania . suala la kuacha kusoma au kupata fursa ya kuendelea na masomo kwa Tanzania ni jambo la fursa ya wachache sana . wenye uwezo na wachache wanaopata bahati ya kuchaguliwa shule za serikali. kati ya watoto karibu laki 9 waliofanya mitihani ya darasa la saba ni asilimia hamsini tu ya watoto wanao chaguliwa kuendelea na masomo ya juu. na wale wasiofaulu laki tano wenye kuendela si zaidi ya laki moja. hivyo kubaki na watoto wenye umri wa chini ya miaka 12 wakiwa ndio wamefikia kikomo cha elimu ya darasa la saba. hivyo hili tatizo la nchi zaidi kutokuwa na uwezo wa kuwapa elimu watoto wa nchi hii mpaka secondari. Kidogo Zanzibar wanafunzi wanamaliza form 2 kama elimu ya lazima. hivyo ndugu ndoa ya utoto ni punje tu ya tatizo la jamii
  • intermarried hawahusiki na mahakama hii ,
  • kwenye uislam hakuna kugawana mali kama njugu , mnapo ingia kwenye ndoa mkiacha mali ya mke ni haki yake na ile ya mume ni ya kwake...hakuna kuwa mke kaolewa na bakhresa akiachwa wagawane mali alo ikuta ya azam. huo niwizi ni unyanganyi kama mwana mke huyo wamefanya biashara pamoja watagawana kama share zina vosema. na hivo hivo mwanaume akimuoa mwanamke tajiri wakiachana utajiri ni wa mwanamke na mjomba ataondoka na kile chake tu.ndoa ni mkataba ndo maana kuna hati ya kuoana
  • ama kuhusu ccm na mahakama hii , ukweli sera hii ya kampeni iliingizwa chini ya uenyekiti wa Mkapa kabla ya uchaguzi wa 2005.baadhi ya viongozi wa ccm wanafahamu kuwa kuna matatizo katika masuala ya kutekeleza sheria za ndoa na watoto katika sheria zilizopo sasa ndio maana wanataka kuirekebisha ..ila kuna baadhi ya watu wakaingiza masuala ya dini na chuki pasipo na sababu. na uhakika mpaka sasa hakuna chama zaidi ya ccm ambacho kina uwezo wa kutawala nchi hii. utakataa lakini wapinzani bado sana ...ni ubinafsi tu na ufisadi unaokisumbua lakini ni chama chenye misingi imara na watu pia.
  • pia hii ni sheria ya kijamii , personal law sio kuhukumu kifungo..

tujaribu kusema ukweli kuliko kupotosha kuhusu jambo hili ili watu wenyewe waamue kama linafaa ama laa lakini kuja kusema mambo ya kukata mikono mambo ya mashahidi wa 4 yote haya sio kweli na mnajua kama sio kweli hayahusu mahakama hii ila ndio chuki kutoka kwa wakristo.hawajibu kwa hoja bali kwa kuzua uongo
 

  • Mahakama ya Kadhi Haipo kwenye Quran

    Ndugu wasomaji.

    Leo ningependa kusema kuwa, dai la Waislam wa Tanzania la Mahakama ya Kadhi halina msingi wala usaidizi wa Quran.

    Kwa wanao ifahamu Quran, watakubaliana na mimi kuwa HAKUNA AYA HATA MOJA ambayo Allah alisema na au Waamrisha Waislam waende kwenye Mahakama ya Kadhi. Narudia tena hakuna aya.

    SASA NDUGU WAISLAM:


    1. Who appoints Chief Kadhi and Kadhis?

    2. What are the qualification for appointment to the office of a Kadhi (including a Chief Kadhi)?

    3. Since the Kadhis are not trained lawyers who understand the Evidence Act and the Civil Procedure Act, how and/or what will they use to administer their Courts?

    4. Muslims are mainly of two sects in Tanzania - the Sunni and Shia. Majority of the Muslims in Tanzania are Sunni Muslims but there is a significant population of Shia Muslims too and consideration ought to be given to the appointment of Kadhis of the Shia Sect to cater the interest of the Shia Muslims. Will they have two different Courts? For Sunni and Shia?

    5. How will Muslim Women be protected since: Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution.


    Islamic "Kadhi" courtsis illegal and discriminatory.


    Kwanini mnamsaidia Allah kwa kuanzisha Mahakama ya Kadhi?



 
DAH UMEANDIKA POROJO TU NYINGI

  • mahakama ya kadhi ni kwa ajili ya waislam na walio fanya ndoa kwa masharti ya ndoa za kiislam
  • alie funga ndoa kwa mkuu wa wilaya au mauritius huyo haa husiani na mahakama ya kadhi watakwenda mahakama za kisekula za serikali kwa sheria za kisekula
  • Mahakama ya kadhi haihusiki na Ubakaji , hio ni jinai au criminal case ambayo mahakama ya kadhi inayo takiwa sio shughuli yake
  • ulawiti na usodoma pia ni jinai au criminal case haina uhusiano na mahakama ya kadhi tunayotaka , ukibaka sheria za nchi zipo wazi utahukumiwa huko
  • mahakama ya kadhi haiji kubadilisha sheria za serikali kuhusu umri wa kuolewa , japo umri wa kike kwa waislam ni 16 yrs lakini hilo halimo katika masuala ya mahakama hii . ama kuhusu kupata muda wa kusoma..tuwe wakweli tanzania . suala la kuacha kusoma au kupata fursa ya kuendelea na masomo kwa Tanzania ni jambo la fursa ya wachache sana . wenye uwezo na wachache wanaopata bahati ya kuchaguliwa shule za serikali. kati ya watoto karibu laki 9 waliofanya mitihani ya darasa la saba ni asilimia hamsini tu ya watoto wanao chaguliwa kuendelea na masomo ya juu. na wale wasiofaulu laki tano wenye kuendela si zaidi ya laki moja. hivyo kubaki na watoto wenye umri wa chini ya miaka 12 wakiwa ndio wamefikia kikomo cha elimu ya darasa la saba. hivyo hili tatizo la nchi zaidi kutokuwa na uwezo wa kuwapa elimu watoto wa nchi hii mpaka secondari. Kidogo Zanzibar wanafunzi wanamaliza form 2 kama elimu ya lazima. hivyo ndugu ndoa ya utoto ni punje tu ya tatizo la jamii
  • intermarried hawahusiki na mahakama hii ,
  • kwenye uislam hakuna kugawana mali kama njugu , mnapo ingia kwenye ndoa mkiacha mali ya mke ni haki yake na ile ya mume ni ya kwake...hakuna kuwa mke kaolewa na bakhresa akiachwa wagawane mali alo ikuta ya azam. huo niwizi ni unyanganyi kama mwana mke huyo wamefanya biashara pamoja watagawana kama share zina vosema. na hivo hivo mwanaume akimuoa mwanamke tajiri wakiachana utajiri ni wa mwanamke na mjomba ataondoka na kile chake tu.ndoa ni mkataba ndo maana kuna hati ya kuoana
  • ama kuhusu ccm na mahakama hii , ukweli sera hii ya kampeni iliingizwa chini ya uenyekiti wa Mkapa kabla ya uchaguzi wa 2005.baadhi ya viongozi wa ccm wanafahamu kuwa kuna matatizo katika masuala ya kutekeleza sheria za ndoa na watoto katika sheria zilizopo sasa ndio maana wanataka kuirekebisha ..ila kuna baadhi ya watu wakaingiza masuala ya dini na chuki pasipo na sababu. na uhakika mpaka sasa hakuna chama zaidi ya ccm ambacho kina uwezo wa kutawala nchi hii. utakataa lakini wapinzani bado sana ...ni ubinafsi tu na ufisadi unaokisumbua lakini ni chama chenye misingi imara na watu pia.
  • pia hii ni sheria ya kijamii , personal law sio kuhukumu kifungo..

tujaribu kusema ukweli kuliko kupotosha kuhusu jambo hili ili watu wenyewe waamue kama linafaa ama laa lakini kuja kusema mambo ya kukata mikono mambo ya mashahidi wa 4 yote haya sio kweli na mnajua kama sio kweli hayahusu mahakama hii ila ndio chuki kutoka kwa wakristo.hawajibu kwa hoja bali kwa kuzua uongo

Mkuu, kwanza ingekuwa ni kazi rahisi zaidi kum-harness muislamu aliyefunga ndoa msikitini, bila hata kuhitaji serikali. Kama ye ni mwislamu kweli basi ana wajibu wa kufuata shariah, hata kama ni kukatwa mkono. Allah knows Best.

Kama ulivyoorodhesha hapo havitakuwepo kwenye hiyo kadhi, basi hiyo mahakama haina weight kabisa. Haina haja ya kuwepo.
Its so obvious.!!
Haitakuwa fair ikiwa itaachwa ikitafuna kodi za watanzania ukichukulia kuwa majukumu yake yako very light.

However sometimes ukiruhusu ng'ombe aingize Kichwa kwenye kibanda kidogo, hatutashangaa akiingiza kiwiliwili na matokeo yake ni kuvunja kibanda chote.
Kama wote ni waislamu wa kweli, ..What's the point kuwa na mahakama inayojaribu kutatua migogoro inayoweza kutatulika kifamilia na kiislamu? Ukichukulia kadhi inawalenga waislamu tu. Na haiko kwa ajili ya wasio A.?

I think, Kesi kama ubakaji, ulawiti ziko na more weight kuliko kujaribu kupatanisha watu wasio na migogoro.

Umesema kwenye uislamu hakuna kugawana Mali kama njugu lakini hata kiserikali huwezi ukagawana Mali na MTU kama njugu hata awe bakharesa ama mengi.

Vilevile Kwenye mirathi ya kiislamu; mtoto wa kiume anapewa Mali nyingi kwasababu yeye anahesabika kama mlinzi wa Dada(mke) yake. Sasa kama mgao wa mali ukifanyika kwa majibu wa kadhi ni wazi mwanamke atapata pungufu ya mwanaume. Na sababu ni kuwa mwanaume anachukuliwa kama ndio mlinzi wa mwanamke. Lakini mwanamke huyu akienda TAMWA na dawati la jinsia anaweza hata kum-biti mwanaume kwenye mgawo.

Pia umesema kwa Tanzania kupata fursa ya kumaliza elimu ni jambo la wachache. Sasa tufanyaje?. Je tukae kimya? Hell NO!
Ndio maana shule za Kata zilijengwa na serikali.

By the way..Zanzibar iko na population ndogo sana. Kwanza sijui kwanini wame lag behind all those years?!

Kuhusu hoja yako, kuwa CCM ndiyo chama pekee chenye uwezo wa kutawala nchi hii. Si kweli kwasababu hatujajaribu vyama vingine kuona kama vina uwezo ama la!
Tukishajaribu ndiyo uje na analysis yako ambayo kwa sasa ni porojo tosha.

Kwani we ufisadi unaona jambo dogo sana eh?
Kwa ufupi ufisadi ndio laana inayotafuna taifa hili lisipige hatua za haraka za maendeleo. Umeme uendelee kuwa juu, ajali, umaskini,
 
Mkuu, kwanza ingekuwa ni kazi rahisi zaidi kum-harness muislamu aliyefunga ndoa msikitini, bila hata kuhitaji serikali. Kama ye ni mwislamu kweli basi ana wajibu wa kufuata shariah, hata kama ni kukatwa mkono. Allah knows Best.

Kama ulivyoorodhesha hapo havitakuwepo kwenye hiyo kadhi, basi hiyo mahakama haina weight kabisa. Haina haja ya kuwepo.
Its so obvious.!!
Haitakuwa fair ikiwa itaachwa ikitafuna kodi za watanzania ukichukulia kuwa majukumu yake yako very light.

However sometimes ukiruhusu ng'ombe aingize Kichwa kwenye kibanda kidogo, hatutashangaa akiingiza kiwiliwili na matokeo yake ni kuvunja kibanda chote.
Kama wote ni waislamu wa kweli, ..What's the point kuwa na mahakama inayojaribu kutatua migogoro inayoweza kutatulika kifamilia na kiislamu? Ukichukulia kadhi inawalenga waislamu tu. Na haiko kwa ajili ya wasio A.?

I think, Kesi kama ubakaji, ulawiti ziko na more weight kuliko kujaribu kupatanisha watu wasio na migogoro.

Umesema kwenye uislamu hakuna kugawana Mali kama njugu lakini hata kiserikali huwezi ukagawana Mali na MTU kama njugu hata awe bakharesa ama mengi.

Vilevile Kwenye mirathi ya kiislamu; mtoto wa kiume anapewa Mali nyingi kwasababu yeye anahesabika kama mlinzi wa Dada(mke) yake. Sasa kama mgao wa mali ukifanyika kwa majibu wa kadhi ni wazi mwanamke atapata pungufu ya mwanaume. Na sababu ni kuwa mwanaume anachukuliwa kama ndio mlinzi wa mwanamke. Lakini mwanamke huyu akienda TAMWA na dawati la jinsia anaweza hata kum-biti mwanaume kwenye mgawo.

Pia umesema kwa Tanzania kupata fursa ya kumaliza elimu ni jambo la wachache. Sasa tufanyaje?. Je tukae kimya? Hell NO!
Ndio maana shule za Kata zilijengwa na serikali.

By the way..Zanzibar iko na population ndogo sana. Kwanza sijui kwanini wame lag behind all those years?!

Kuhusu hoja yako, kuwa CCM ndiyo chama pekee chenye uwezo wa kutawala nchi hii. Si kweli kwasababu hatujajaribu vyama vingine kuona kama vina uwezo ama la!
Tukishajaribu ndiyo uje na analysis yako ambayo kwa sasa ni porojo tosha.

Kwani we ufisadi unaona jambo dogo sana eh?
Kwa ufupi ufisadi ndio laana inayotafuna taifa hili lisipige hatua za haraka za maendeleo. Umeme uendelee kuwa juu, ajali, umaskini,
Hongera kwa majibu mazuri hapo juu, nyie ndo wazalendo wenyewe, hakika mambo ya dini hayana nafasi ya kuchangamana na serikali yetu, this is a secular state wajameni.
 
Hii issue ya mahakama ya kadhi ni shida haina nafasi nchini Tanzania Ibara ya 41 ya Katiba inayopendekezwa hairuhusu hii kitu wananchi tuipigie kura, mahakama hiyo itashughulikia mambo yote yanayokwenda kinyume na tamaduni za kiislamu. Mfano Kula hadharani wakati wa mwezi, wa ramadhani, kuchinja kwa mtu ambaye siyo muislamu, kufanya biashara ya vileo, biashara ya nyumba za kulala wageni, biashara ya nguruwe, mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiislam kwa maana hiyo ili uwe salama kwa swala la mavazi sharti uvae hijabu kwa wanawake, kanzu na kibaragashia kwa wanaume, msuri na visuruari vizivyogusa viatu.

Kwa nini waislam wanataka Mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi na si vinginevyo.


Kwanza huu ni ubaguzi wa wazi wa misingi ya dini why they want special treatment as if sio watanzania hawa they want to turn this country kama taifa la kiislam hili halikubaliki!!! Kwa ujumla Waislam wanataka mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi ili itambulike kisheria na iwe na nguvu kama mahakama za kawaida za makosa ya jinai na hiyo iwe na mamlaka ya kuhukumu watu wote waislam, wakristu na hata wapagani limradi tu hawaishi kwa kufuata tamaduni za kiislam. Mfano mtu atakaye kutwa anakula hadharani wakati wa mwezi wa ramadhani sharia itachukuwa mkondo wake na hukumu iliyotawala kwenye sharia kwa mtu anayeishi kinyume na tamaduni za kiislam ni kuuwawa kwa kuchinywa na jukumu hilo liko kwa Makadhi.

Hivyo basi mahakama ya kadhi ikiingizwa kwenye katiba itakuwa na nguvu za kuhukumu mambo ya siasa, kijamii na makosa ya jinai kwa ujumla kwa raia wote na si kwa waislam peke.


Muundo wa mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kazi inafuata muundo wa mahakama za kawaida hivyo zinaanzia ngazi ya chini kabisa kwenye wilaya na hadi ngazi ya kitaifa na mahakimu wa mahakama za kadhi ni makadhi amboa wote ni waislam.

Kazi za Makadhi.
1.Kusikiliza mashauri na kuhukumu kwa kufuata sharia.
2.Kuhakikisha anatokomeza ukristu katika eneo lake na uislam unatawala.
3.Kuhakikisha hakuna kanisa linajengwa katika eneo lake na wala kanisa linapo bomoka halitaruhusiwa kukarabatiwa wala kujengwa tena. Kujenga kanisa ni kinyume na tamaduni za kiislam ndiyo maana utaona wameanza kuchoma makanisa huko Zanzibar na sehemu zingine za Afrika kama Nigeria.

Madhara ya Mahakama ya Kadhi.
1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani.
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania na hii haikubaliki shughuli za taasisi za dini kugharamiwa na serikali.


 
Hili jambo lilishika kasi kidogo siku za nyuma. Lakini naona sasa wameamua kulisahau.

UKAWA na CCM mmeliacha wapi hili swala la mahakama ya kadhi?

We don't need it any more?
 
Hili jambo lilishika kasi kidogo siku za nyuma.
Lakini naona sasa wameamua kulisahau...
Ukawa na CCM mmeliacha wapi hili swala la mahakama ya kadhi?
we don't need it any more?
Hilo litaleta Je maendeleo ya mtanzania ? Issue iliyopo mezani ni kuwa Hali ya mwananchi wa kawaida Ni mbaya sana wakati kuna wachache wanaotafuna keki ya taifa bila kujali. Uchaguzi huu sio wa kushughulika na mambo ya kidini Bali ni kuiondoa nchi yetu mikononi mwa nyang'au hawa na kuweka mipango makini ya kuleta maendeleo ya nchi kwa manufaa ya kila mtanzania. Hiyo kadhi rudisha msikitini.
 
Unataka kuleta ilani ya udini ya CCM ili itekelezwe na watu wasio na udini. Usiturudishe huko kama mnaitaka ianzisheni na kuiendesha wenyewe kama zilivyo taasisi nyingine zote zilizo chini yenu.
 
Back
Top Bottom