Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,595
Nyie wakirsto, mbona sisi hatuwaingillii katika mambo yenu. Kuna kipindi hapa mawakala wa kanisa katika vyombo vya habari na viongozi wengi hasa wakirsto, mlilivalia njuga na kulipigia debe sana saula la Mchungaji wa Kanisa la Kiinjiili la Kilutheli nchini(KKKT), Ambilikile Mwasapile juu Dawa yake aliodai ameoteshwa na Mungu maarufu kama kikombe cha Babu. Mlidhani kua ndio mnainua Ukristo. Matokeo yake mkasababisha watu wengi kufa.
Niliwahi kuulizwa na Kinyozi Mmoja nilipokua Salon, Nini maoni yangu juu ya Kikombe cha Babu, Nilimjibu yule Kijana, Time will tell.
Nadhani matokeo yake mliyaona. Lakini sisi Waislamu hatukuwagusa. Iweje leo Muingilie Mambo yasio wahusu?.
Pumba producer mkuu hiyo dawa kuna siku umesikia imepelekwa bungeni kujadiliwa?
Kuna siku umesikia wakristo wameidai serikali itoe msaada ili raia wakanywe dawa?
Kuna siku huyo babu ameomba serikali iitangaze hiyo dawa kama sehemu ya utaratibu wa wakristo?
Kuna siku hiyo dawa imepigiwa promo ili iwepo kwenye katiba kama mojawapo ya dawa za kutibu watu?
Watu walioenda kwa babu walifanya hivyo kwa hiari zao, na hata waislam pamoja na kumuamini huyo allah bado walienda kunywa kikombe.
Mkuu jaribu kulinganisha vitu vyenye scale au uzito unaoendana, sasa issue ya dawa ya babu ni issue ya kuilinganisha na jambo linaloombewa kua kwenye katiba??
Poor thinking mkuu