Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 71,160
- 127,144
Cdm sio CUF ya Maalim Seif alipoondoka na CUF ikafubaa. waliondoka akina Zito, Kitila, na kipenzi cha wanacdm Dr. Slaa, mbona cdm haijafa, na chaguzi zinazidi kuporwa kimachomacho kwa ccm kuwashindwa cdm? Hadi Slaa karudi mwenyewe juzi kwa aibu.Kiukweli Mdee ni shujaa wangu, ni chuma cha pua!, ili kukilinda chama kisiparaganyike, ameamua kufa kizungu na tai shingoni kwa kutomtaja ila wenye akili wote wanamjua na ndio maana watamsamehe Mdee bila kumtaja mchawi wao!. Mdee is a jewel, kwa Chadema kuendelea kumfukuza, it has everything to loose and nothing to gain kwasababu Chadema haina mtu wa calibre ya Halima. "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji
P
Kipi kinachokufanya utake kuonyesha Mdee ni zaidi ya hao? Kwa kukusaidia tu cdm kwa sasa ni zaidi ya chama cha siasa, ni movement, ndio maana unaona hata walipoondoka walioenda kuunga juhudi wakati wa Magufuli, bado cdm ilibaki na ushawishi. Hata Magufuli kuamua kupora chaguzi za 2019 na 2020, ni katika kuficha ukweli halisi wa nguvu ya cdm. Uchaguzi wa juzi 2025 nguvu na mauaji yote ilikuwa ni kupambana na ushawishi halisi wa cdm. Hata Chauma ilitumika kutaka kuimaliza cdm imeshindikana. Huu ni ukweli ambao wanaccm wengi hamtaki ufahamike, lakini kwa uelewa wa kizazi hiki ukweli huu imekuwa ngumu kuuficha.