Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

Mdee nilikuwa namkubali sana na niliweka wazi hilo siku nyingi. Kuna siku nilikutana naye Wizara ya Ardhi, isingekuwa mshituko wa kumuona ghafla uso kwa uso, ningeweza kumuomba uchumba pale pale.

Ila maamuzi yake ya kudhamiria kabisa yamekosea sana harakati za mageuzi. Binafsi nisingependa kuona akipewa tena uongozi wowote ndani ya CHADEMA. Kama ni kuwa mwanachana, nadhani anaweza kuruhusiwa (ingawa nalo nina mashaka nalo) ila si zaidi ya hapo.

Hawa walioikimbia harakati za mageuzi katika nyakati ngumu ni wa kuwatumia kama mfano maana moja ya mbinu ambayo CCM wameitumia sana kukatisha tamaa harakati hizo ni kwa kuwachomoa watu kutoka upinzani na kuwapa vifursa na zile kampeni uchwara za kuunga mkono juhudi. Inabidi kukata huo mzizi na kuonyesha kuwa hakuna mtu mkubwa zaidi ya harakati za mageuzi. Ukizingua watu wanakuweka pembeni wanakusahau.
 
CCM kama CCM ni chama cha kuaminika sana, tatizo lake ni watu na sio chama, haswa hawa jamaa wanaoitwa wahafidhina, hili nilimshauri hata Mbowe, Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Hivyo kuna vitu vibaya vinatokea, mfano aliyetoa amri watu wauwawe kwa risasi za moto ile October 29, kuna watu wanadhani ni yeye, hadi kuosusia tume yake, kiukweli sii yeye ni wasaidizi wake wamempoteza kwa kutokumwambia ukweli.

CCM ni chama makini sana na chakuaminika sana, tatizo wahafidhina!.

 P
Wewe jamaa unafki wako unatiaga kichefuchefu na umegoma kabisa kubadilika. Labda ndiyo ile wanasema hauwezi kumfundisha mbwa mzee mbinu mpya.

Nia tu umuepushe na lawama ila kauli yako tu inakuumbua maana unajikanganya tu. Kupokea ushauri mbaya hakukuondolei lawama za maamuzi mabaya uliyoyafanya na pia haifanyi wewe kuwa haujafanya maamuzi hayo kisa ushauri uliopewa ulikupotosha.
 
Mkiambiwaga hayo mavyama ni ya watu ambao ni opportunities na wana watumia kama ngazi kufikia malengo Yao muwage mnaelewa
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Yapo wapi sasa
 
Mkuu nakuelewa sana. Mimi mwenyewe nilikuwa namkataa sana Halima Mdee kurudi chamani. Lakini kwa namna ya utulivu aliouchukua Mdee bila kuchacharika kama wengine kuhamia vyama vingine,hasa kipindi cha uchaguzi inatosha kuona amejutia na kutafuta utulivu na kuwashawishi viongozi na wanachama kurudishwa kundini.

Jambo kubwa unalopaswa kuliona pia naamini Halima amebembelezwa sana ahamie ccm. Hasa kipindi cha uchaguzi. Na naamini ameahidiwa mambo lukuki kunauwezekano mpaka vyeo na hayo majitu, tawala zote. Lakini kwa ukomavu wa Halima Mdee bado alikataa na mavitu yote hayo. Bado akabakia na msimamo wake yeye ni mwanachama mtiifu kwa CHADEMA.

Naamini hata alivyokuwa bungeni kipindi kile amedanganywa naamini alijutia sana kwa ule uamuzi,na bado bungeni hakukengeuka kuanza kuhubiri habari za hawa wengine,bali akabakia kwenye reli ya CHADEMA kwenye matamshi yake bungeni.

Muhimu ujue hata mtoto ndani ya nyumba anakosea,kuna muda pia anaweza kusamehewa kulingana na toba yake kwa wazazi na familia. Kulingana na wakati huu haina haja ya kuendeleza malumbano ya akina Mdee. Tunasamehe.

Mimi pia namuombea wanaCHADEMA wamsamehe twende nae kwenye harakati za ukombozi.
Shusiki na vyama. Ila hao mbwa waliumiza vyama vyenu sana. Na.mlivyo majuha mtampa cheo mtamuacha yule mama alipigwa marungu akumuokoa mwanachama wenu pale mahakama kuu au Blenda atakosa ubunge mkiumkumbatia mdee.
Hivi huko chadema hamna wenye akili kumsaidia Heche ktk haya maamuzi yenu ya kijinga. Leo hii Lisu angekuwepo kwanza hao wajinga wangeogopa hata kutamani kurejea Sasa hivi. Na inaonejana kama ni movie inachezwa. Kesho Saidi Mohamedi ataomba arudi halafu yule mwenye ndevu za kisoshalisti kama za Mugabe naye atakuja. Mkunbuke aliyeanza ni jamaa wa kaskazini akafatiwa na mtoto wa Mbowe ndo tunaona hizi video.
Mkishawakubali hao wote kutakuwa na uhalali wa Mbowe kurudi. Akirudi mtampa kazi gani au majukumu gani Mbowe? Lazima ataingia ktk ushauri so timu yake yote itakuwa ipo ktk default mode kama mwanzo tumieni akili.
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Msagaji huyo, mwanamke wa maana hawezi kuwa chadema
 
Naunga mkono Mdee hakuna kurudi.
Huyu alifanya chama chenu kipitie dhoruba kali wakati yeye akiunga mkono mbinu chafu za veggies.
 
Shusiki na vyama. Ila hao mbwa waliumiza vyama vyenu sana. Na.mlivyo majuha mtampa cheo mtamuacha yule mama alipigwa marungu akumuokoa mwanachama wenu pale mahakama kuu au Blenda atakosa ubunge mkiumkumbatia mdee.
Hivi huko chadema hamna wenye akili kumsaidia Heche ktk haya maamuzi yenu ya kijinga. Leo hii Lisu angekuwepo kwanza hao wajinga wangeogopa hata kutamani kurejea Sasa hivi. Na inaonejana kama ni movie inachezwa. Kesho Saidi Mohamedi ataomba arudi halafu yule mwenye ndevu za kisoshalisti kama za Mugabe naye atakuja. Mkunbuke aliyeanza ni jamaa wa kaskazini akafatiwa na mtoto wa Mbowe ndo tunaona hizi video.
Mkishawakubali hao wote kutakuwa na uhalali wa Mbowe kurudi. Akirudi mtampa kazi gani au majukumu gani Mbowe? Lazima ataingia ktk ushauri so timu yake yote itakuwa ipo ktk default mode kama mwanzo tumieni akili.
Ungekuwa unashusha hoja badala ya matusi ungeeleweka. Hapo Mimi nimechanganua sababu kwa nini apokelewe. Humu sio ccm matako we
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Kwan mnagombea mume?
 
Chadema wanajipotezea credibility... mwisho wa siku nawaona nao ni wale wale, labda yule aliyoko jela kidoogo, nae ushishangae akaukwa uraisi madaraka yakamlevya akawa hovyo zaidi
 
Back
Top Bottom