Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi
Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai
Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu
Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki
Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Upo sahihi sana. Na nakuunga mkono katika msimamo wako japo tuna nawazo tofauti.
Siasa za CHADEMA kupindi cha Nbowe, nyingi zilijengwa juu ya Ulaghai. Bado naamini hata Halima Mdee aliingizwa Mkenge na Viongozi wake.
Kama Viongozi walikuwa na uwezo wa kuelekeza watu wajiunge CCM, Kama mtu ameiachia CHADEMA maumivu halafu baada ya mwezi anashiriki kwenye Birthday ya Kiongozi wa chama na wqnqgonga glasi.
Kama viongozi wanakubali michango ya CCM na inawapa hela ya Ukumbi wa kufanyia mikutano ya baraza kuu wanakubali, Halima ni nani.
Halima alikuwa chini ya Uongozi na alitii uongozi ndo maana akafanya alichofanya. Kumbuka Unakuwa kwenye hatari zaidi kama ukiwa sahihi kwenye Uongozi unaoenda kinyume. Alilinda uhai wake hakutaka kufa kama
Mzee Kibao
Kumbuka Uongozi ulitutia ujinga Watanzania kwa kusema hawawezi kwenda mahakama kwani mahakama hazitendi haki kuumbe waliogopa ukweli utafichuka. Mbona mahakama imewaondoa chadema kwenye kifungo? Ingekuwa awamu ilopita wangesema tusikqte rufaa mahakama hazitendi haki.
Hata hivyo wote walioshiriki mchezo huo mchafu hawapo tena chadema wala hawaendi kumtembelea Lissu mahabusu.
Haliama alipewa masharti ili kurudi CHADEMA.
1. Ataje ni nani alisaini barua zao.
2. Ni nani alipeleka barua za Viti Maalum kwa msajili wq vyama vya siasa.
3. Waliowasapoti walikuwa wanawapa bei gani.
Hata hivyo hakuna chama kinakataa mwanachama mpya. Halima atakuwa mpya kwani alishafukuzwa.. Chadema hakuna sheria ya mtu akifukuzwa haruhusiwi kujiunga na chadema tena.
Chama ni watu..
Kama mkiristo nimefundishwa kusamehe wote waliotubu. Atuambie mbinu walizotumia iili tusiumizwe tena pia itasaidia kuziba mianya kwenye katiba ili mambo kama hayo yasitokee tena