Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi Chadema na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana n.a. Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu n.a. maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa n.a. nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, Hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Huyu ihatakiwi kusamehewa naunga mkono hoja
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi Chadema na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana n.a. Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu n.a. maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa n.a. nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, Hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Kati ya majitu majinga kabisa ya Chadema ni wewe!, mimi sio Chadema, ila kwa vile ni mwandishi wa habari, nina some access ya intel!
  1. Barua iliyowapeleka Bungeni ni bonafide genuine letter na imesainiwa na kigogo wa Chadema ambaye ni officer bearer, Mdee kosa lake ni nini?!.
  2. Niliwashauri kitu toka ile day 1, CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  3. Mdee ni Mwenyekiti wa BAWACHA, mamlake ya nidhamu ni Baraza Kuu, mamlaka ya rufaa ni mkutano mkuu, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka kumfukuza?! Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?
  4. Kwa taarifa yako, labda ni wewe tuu ndio hujui, JJMnyika na Heche wameisha jua Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?
  5. Katika wanawake wote wa Chadema waliopo, hakuna wa calibre ya Mdee, Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
Kuna vitu ni vya Chadema wenyewe insider tuu, majitu majinga majinga kama hili, hayavijui!, Mdee kosa lake ni nini mpaka asiweze kusamehewa!, kama ni Chadema waliotangaza ile list ya mafisadi pale Mwembe Yanga na wakamsamehe kubwa lao, na kumfanya mgombea wao, wanashindwaje kumsamehe Mdee?!

Hebu acha hizo!, na kwa taarifa yako, Mdee akisamehewa, 2030 analitwaa jimbo la Kawe kama amelikota kwasababu mimi namjua mgombea wa CCM kawe 2030 ni mwanamke!, Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

P.
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE


Ishu ya covid mtamuonea tu bi halima

Hata yeye hajui nani alihusika kwa 💯

Na yeye aliambiwa tu aende ilazo mashineni atakutana na mtu atampa bahasha

So hata yeye alikutana tu na wenzake wakati wa kupiga picha pale studio Nyerere square

Mtamuonea tu hajui kitu
 
Kati ya majitu majinga kabisa ya Chadema ni wewe!, mimi sio Chadema, ila kwa vile ni mwandishi wa habari, nina some access ya intel!
  1. Barua iliyowapeleka Bungeni ni bonafide genuine letter na imesainiwa na kigogo wa Chadema ambaye ni officer bearer, Mdee kosa lake ni nini?!.
  2. Niliwashauri kitu toka ile day 1, CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  3. Mdee ni Mwenyekiti wa BAWACHA, mamlake ya nidhamu ni Baraza Kuu, mamlaka ya rufaa ni mkutano mkuu, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka kumfukuza?! Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?
  4. Kwa taarifa yako, labda ni wewe tuu ndio hujui, JJMnyika na Heche wameisha jua Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?
  5. Katika wanawake wote wa Chadema waliopo, hakuna wa calibre ya Mdee, Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
Kuna vitu ni vya Chadema wenyewe insider tuu, majitu majinga majinga kama hili, hayavijui!, Mdee kosa lake ni nini mpaka asiweze kusamehewa!, kama ni Chadema waliotangaza ile list ya mafisadi pale Mwembe Yanga na wakamsamehe kubwa lao, na kumfanya mgombea wao, wanashindwaje kumsamehe Mdee?!

Hebu acha hizo!, na kwa taarifa yako, Mdee akisamehewa, 2030 analitwaa jimbo la Kawe kama amelikota kwasababu mimi namjua mgombea wa CCM kawe 2030 ni mwanamke!, Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

P.
Kuhusu Mimi kuwa miongoni mwa majitu majinga ya Chadema Nakubali, lakini nitahakikisha Mdee harudi Chadema kwa hoja
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Upo sahihi sana. Na nakuunga mkono katika msimamo wako japo tuna nawazo tofauti.

Siasa za CHADEMA kupindi cha Nbowe, nyingi zilijengwa juu ya Ulaghai. Bado naamini hata Halima Mdee aliingizwa Mkenge na Viongozi wake.

Kama Viongozi walikuwa na uwezo wa kuelekeza watu wajiunge CCM, Kama mtu ameiachia CHADEMA maumivu halafu baada ya mwezi anashiriki kwenye Birthday ya Kiongozi wa chama na wqnqgonga glasi.

Kama viongozi wanakubali michango ya CCM na inawapa hela ya Ukumbi wa kufanyia mikutano ya baraza kuu wanakubali, Halima ni nani.

Halima alikuwa chini ya Uongozi na alitii uongozi ndo maana akafanya alichofanya. Kumbuka Unakuwa kwenye hatari zaidi kama ukiwa sahihi kwenye Uongozi unaoenda kinyume. Alilinda uhai wake hakutaka kufa kama Mzee Kibao

Kumbuka Uongozi ulitutia ujinga Watanzania kwa kusema hawawezi kwenda mahakama kwani mahakama hazitendi haki kuumbe waliogopa ukweli utafichuka. Mbona mahakama imewaondoa chadema kwenye kifungo? Ingekuwa awamu ilopita wangesema tusikqte rufaa mahakama hazitendi haki.

Hata hivyo wote walioshiriki mchezo huo mchafu hawapo tena chadema wala hawaendi kumtembelea Lissu mahabusu.

Haliama alipewa masharti ili kurudi CHADEMA.

1. Ataje ni nani alisaini barua zao.
2. Ni nani alipeleka barua za Viti Maalum kwa msajili wq vyama vya siasa.
3. Waliowasapoti walikuwa wanawapa bei gani.

Hata hivyo hakuna chama kinakataa mwanachama mpya. Halima atakuwa mpya kwani alishafukuzwa.. Chadema hakuna sheria ya mtu akifukuzwa haruhusiwi kujiunga na chadema tena.

Chama ni watu..

Kama mkiristo nimefundishwa kusamehe wote waliotubu. Atuambie mbinu walizotumia iili tusiumizwe tena pia itasaidia kuziba mianya kwenye katiba ili mambo kama hayo yasitokee tena
 
Upo sahihi sana. Na nakuunga mkono katika msimamo wako japo tuna nawazo tofauti.

Siasa za CHADEMA kupindi cha Nbowe, nyingi zilijengwa juu ya Ulaghai. Bado naamini hata Halima Mdee aliingizwa Mkenge na Viongozi wake.

Kama Viongozi walikuwa na uwezo wa kuelekeza watu wajiunge CCM, Kama mtu ameiachia CHADEMA maumivu halafu baada ya mwezi anashiriki kwenye Birthday ya Kiongozi wa chama na wqnqgonga glasi.

Kama viongozi wanakubali michango ya CCM na inawapa hela ya Ukumbi wa kufanyia mikutano ya baraza kuu wanakubali, Halima ni nani.

Halima alikuwa chini ya Uongozi na alitii uongozi ndo maana akafanya alichofanya.

Kumbuka Uongozi ulitutia ujinga Watanzania kwa kusema hawawezi kwenda mahakama kwani mahakama hazitendi haki kuumbe waliogopa ukweli utafichuka. Mbona mahakama imewaondoa chadema kwenye kifungo? Ingekuwa awamu ilopita wangesema tusikqte rufaa mahakama hazitendi haki.

Hata hivyo wote walioshiriki mchezo huo mchafu hawapo tena chadema wala hawaendi kumtembelea Lissu mahabusu.

Haliama alipewa masharti ili kurudi CHADEMA.

1. Ataje ni nani alisaini barua zao.
2. Ni nani alipeleka barua za Viti Maalum kwa msajili wq vyama vya siasa.
3. Waliowasapoti walikuwa wanawapa bei gani.

Hata hivyo hakuna chama kinakataa mwanachama mpya. Halima atakuwa mpya kwani alishafukuzwa.. Chadema hakuna sheria ya mtu akifukuzwa haruhusiwi kujiunga na chadema tena.

Chama ni watu..

Kama mkiristo nimefundishwa kusamehe wote waliotubu. Atuambie mbinu walizotumia iili tusiumizwe tena pia itasaidia kuziba mianya kwenye katiba ili mambo kama hayo yasitokee tena
Hoja kwamba walipelekwa bungeni na uongozi ni uongo

Nalifahamu jambo hili kiundani mno, ndio maana nataka Mdee asirejeshwe, kumhusisha Mbowe ni kutaka kumchafua tu, Mbowe HANA mamlaka ya kuteua viti maalum, soma Katiba ya Chadema
 
Jamii Forums AI 💯🔥🔥🔥

Screenshot 2026-04-16 at 11.20.09.png
 
Uzuri siasa ni game ya makosa, hata akirudi hawezi kuwa na respect ile ile kabla ya usaliti wake/wao.
Jamii ya wapenda mageuzi hawatamuona tena kwa jicho la kumwamini. 😁
 
Hoja kwamba walipelekwa bungeni na uongozi ni uongo

Nalifahamu jambo hili kiundani mno, ndio maana nataka Mdee asirejeshwe, kumhusisha Mbowe ni kutaka kumchafua tu, Mbowe HANA mamlaka ya kuteua viti maalum, soma Katiba ya Chadema
Na hii ndo tofauti yangu na wewe. Wewe unasema uongozi hauhusiki, lakini mimi naamini Wale wakina Mama wasingejipeleka Bungeni bila uongozi kushiriki. Naomba nikishauri kitu Usimtetee mwanasiasa sana hadi kujiapiza..
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Kijana kama hiyo ndiyo kazi inayokuweka mjini, basi kazini kwako kuna kazi.
 
Mkuu nakuelewa sana. Mimi mwenyewe nilikuwa namkataa sana Halima Mdee kurudi chamani. Lakini kwa namna ya utulivu aliouchukua Mdee bila kuchacharika kama wengine kuhamia vyama vingine,hasa kipindi cha uchaguzi inatosha kuona amejutia na kutafuta utulivu na kuwashawishi viongozi na wanachama kurudishwa kundini.

Jambo kubwa unalopaswa kuliona pia naamini Halima amebembelezwa sana ahamie ccm. Hasa kipindi cha uchaguzi. Na naamini ameahidiwa mambo lukuki kunauwezekano mpaka vyeo na hayo majitu, tawala zote. Lakini kwa ukomavu wa Halima Mdee bado alikataa na mavitu yote hayo. Bado akabakia na msimamo wake yeye ni mwanachama mtiifu kwa CHADEMA.

Naamini hata alivyokuwa bungeni kipindi kile amedanganywa naamini alijutia sana kwa ule uamuzi,na bado bungeni hakukengeuka kuanza kuhubiri habari za hawa wengine,bali akabakia kwenye reli ya CHADEMA kwenye matamshi yake bungeni.

Muhimu ujue hata mtoto ndani ya nyumba anakosea,kuna muda pia anaweza kusamehewa kulingana na toba yake kwa wazazi na familia. Kulingana na wakati huu haina haja ya kuendeleza malumbano ya akina Mdee. Tunasamehe.

Mimi pia namuombea wanaCHADEMA wamsamehe twende nae kwenye harakati za ukombozi.
Asamehewe lakini asipewe cheo chochote wangalau kwa miaka mitano. Awe mwanachama wa kawaida. Kumpa cheo ni kutaka kuvunja wengine moyo.
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Mwanadam anastahili msamaha ila awe mwanachama wa kawaida asie na kweny nafas yoyote ya uongoz
 
Mkuu nakuelewa sana. Mimi mwenyewe nilikuwa namkataa sana Halima Mdee kurudi chamani. Lakini kwa namna ya utulivu aliouchukua Mdee bila kuchacharika kama wengine kuhamia vyama vingine,hasa kipindi cha uchaguzi inatosha kuona amejutia na kutafuta utulivu na kuwashawishi viongozi na wanachama kurudishwa kundini.

Jambo kubwa unalopaswa kuliona pia naamini Halima amebembelezwa sana ahamie ccm. Hasa kipindi cha uchaguzi. Na naamini ameahidiwa mambo lukuki kunauwezekano mpaka vyeo na hayo majitu, tawala zote. Lakini kwa ukomavu wa Halima Mdee bado alikataa na mavitu yote hayo. Bado akabakia na msimamo wake yeye ni mwanachama mtiifu kwa CHADEMA.

Naamini hata alivyokuwa bungeni kipindi kile amedanganywa naamini alijutia sana kwa ule uamuzi,na bado bungeni hakukengeuka kuanza kuhubiri habari za hawa wengine,bali akabakia kwenye reli ya CHADEMA kwenye matamshi yake bungeni.

Muhimu ujue hata mtoto ndani ya nyumba anakosea,kuna muda pia anaweza kusamehewa kulingana na toba yake kwa wazazi na familia. Kulingana na wakati huu haina haja ya kuendeleza malumbano ya akina Mdee. Tunasamehe.

Mimi pia namuombea wanaCHADEMA wamsamehe twende nae kwenye harakati za ukombozi.
Ipo siku moja Halima Mdee atateuliwa kuwa Waziri wa serikali ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom