Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

Katiba ya Chadema ni wapi imeandika Mbowe anaweza kuteua viti Maalum?
Kama kuna vitu huvijui, kubali kuna vitu vya ndani ya Chadema wewe huvijui!. Kwani barua iliyowapeleka Bungeni wewe umeiona?. Nani kakuambia imesainiwa na Mbowe?.
Naomba uniamini mimi, wabunge wale wameteuliwa kwa barua bonafide genuine from office bearers wa Chadema, hakuna fojari yoyote ndio maana Chadema hawakuripoti popote kuwa kuna jinai yoyote!,
Mimi sikujui wewe ni nani huko Chadema lakini mimi nazungumza face to face na mabosi wako Lissu , Heche na JJ Mnyika. Hili nimelizungumza kwa kirefu na JJ Mnyika, karibu umsikie J Mnyika, Aunguruma Channel TEN, Athibitisha maridhiano yameisaidia Sana CHADEMA, Sasa Inayatambua Matokeo, Inalitambua Bunge na Kumtambua Mbunge Wake
P
 
Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina
Samahani.

Sitaki nionekane kwa sababu yoyote kuwa mtetezi wa hujuma zilizofanywa juu ya chama, na Halima akiwa ni miongoni mwa watu hao.

Uhusika wa kuwa "mpanga njama mkuu", hili ukilielezea kwa sisi tusiokuwa na ufahamu, pengine tutashawishika kuungana na wewe.
Nakumbuka ulikuwa radhi kukaa kimya wakati ule wa mchuano wa uchaguzi; na wengine tuliodhani "mpanga njama" mkuu na aliyesababisha hao mabinti kujidhalilisha kama walivyofanya anajulikana; na ulikuwa tayari kumkubali kama angeibuka na ushindi!

Hii inatuchanganya sana tunaotazama toka nje ya chama.

Halima, hawezi kujivua uharibifu mkubwa aliochangia kukiingiza chama matatani wakati huo; hadi ukomo wa ubunge wao.

Halima kama bado anayo dhamira ya kuwa ndani ya chama hicho, inabidi ajieleze kikamilifu juu ya uhusika wake na kwa nini ililazimu iwe hivyo.

Halima hawezi kurudishwa ndani ya chama bila kutubu; na hawezi kutegemea kupokelewa kana kwamba hakuna lililotokea.
Asiwe na matarajio ya kurudi na kupewa uongozi moja kwa moja ndani ya chama hicho; ni muhimu aonyeshe dhamira ya kuwa mwanaCHADEMA, na kukitumikia chama kama mwanachama yeyote, bila ya kukimbilia kwenye uongozi tena.

Halima tofauti na wenzake aliowaongoza, ameonyesha kuwa na moyo wa subira; pengine kutokana na kujjutia mchango wake wa kukiumiza chama.

Nitarudia tena, katika yale yaliyonisikitisha sana katika siasa za Tanzania. Moja ni huyu binti, ambaye niliamini kabisa kuwa alikuwa na 'commitment' isiyoyumbishwa kabisa juu ya chama chake.

Ni kitu gani kilichomfanya huyu binti akengeuke kiasi kile? Kumuheshimu kiongozi wake mkuu aliyeamrisha mpango mzima wa kuwaingiza hao mabinti Bungeni?

Halima apewe fursa ya kujirudi, na awe chini ya uangalizi wa chama kabla ya kupewa wadhifa wa uongozi ndani ya chama.

Hayo unayoyajuwa wewe, mimi siyajui; kwa hiyo hadi hapo utakapoweka wazi hayo, sasa hivi sitakubaliana na msimamo wako.
 
Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE

hilo dongo Nyerere alikuwa analitoa kwa Kikwete.
Na 'seriously', kuna sifa zipi zingine alizonazo Kikwete za kumwezesha kuwa katika ngazi alizoshika; mbali ya sura na dini yake, na ulaghai laghai; wengi wanauita "uswahili"!
 
Ndio maana mie sinaga chama, sasa hawa chadema kumrudisha yule mdee kundini si upuuzi huu, mnamrudishaje mtu aliyewasaliti, akaenda kuokota sasa hana kitu ndio arudi, upuuzi huo.
Ni upuuzi wa hali ya juu sana
 
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi

Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa Taifa na Job Ndugai

Amesababisha usumbufu na maumivu makubwa mno kwa Chama, hatakiwi kabisa na nitapambana kuzuia (Nina ushawishi) na nyinyi mnafahamu

Ninazo sababu 10 za kutetea hoja yangu nitazitoa kwenye vikao haiwezekani kufuga majini ndani ya chama, hii itavunja moyo wengi, ni kweli CHAMA ni watu lakini Usaliti wa Mdee hauvumiliki

Kama unampenda mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye chai-JK NYERERE
Halima asamehewe beans amekuwa royal sana kwa chama. Unafikri angekuwa wa hovyo hovyo asingeondoka na akina Bulaya?
 
Mtoto wako akibadil din tofaut na yako na baadaye akaamua kurud kwenye dini yako utamkataa kwamba yeye n msaliti?

Kiukwel kwa mdee peter msigwa na wengineo warud chaman kwakufuata taratibu
Umekwenda mbali sana kuwahusisha na hao wengine.
Huyo Msigwa na akina Bulaya, Yericko, na wengine utawarudisha ndani ya CHADEMA waje kufanya nini kwenye chama walichotaka kukiua?

Huo mfano wa "mtoto wako"; hauendani kabisa na haya.
 
Mdee hana maslahi yoyote Chadema n.a. hakuna hasara yoyote tutapata kwa yeye kuwa nje
Maslahi ya Mdee kuwa ndani ya chama ni makubwa sana kuliko akiwa nje hasa akikataliwa barua yake ya kuomba kurudi ina hasara usiyoweza kuiona moja kwa moja.
Faida yake ni.
1. Wapo wanachama tutavuna kupitia yeye japo hakuna atakaewaona direct. Kuimarisha chama.
2. Kuna faida ya kuwatetemesha upande wa pili,ndio watapoteana zaidi.
3. Mdee ni aset pia ana msimamo ni miongoni mwa wanawake Tz wenye power ya uwasirishaji wa hoja. (Hiyo pia itaifanya CHADEMA kuwa na watu pande zote,kufanya kuogopwa upande wa pili)
=Kwenye duru za kisiasa lazima chama kiwe na watu wengi wenye kuogopwa pindi anapotoa matamko fulani.
 
At the end kura yako ni moja tu, unaweza kushawishi na wajumbe wasikuelewe, hata kama una huo ushawishi.

Siasa haziendi kama vita, japo za Tanzania zimekuwa za kihasama sana!!
 
Samahani.

Sitaki nionekane kwa sababu yoyote kuwa mtetezi wa hujuma zilizofanywa juu ya chama, na Halima akiwa ni miongoni mwa watu hao.

Uhusika wa kuwa "mpanga njama mkuu", hili ukilielezea kwa sisi tusiokuwa na ufahamu, pengine tutashawishika kuungana na wewe.
Nakumbuka ulikuwa radhi kukaa kimya wakati ule wa mchuano wa uchaguzi; na wengine tuliodhani "mpanga njama" mkuu na aliyesababisha hao mabinti kujidhalilisha kama walivyofanya anajulikana; na ulikuwa tayari kumkubali kama angeibuka na ushindi!

Hii inatuchanganya sana tunaotazama toka nje ya chama.

Halima, hawezi kujivua uharibifu mkubwa aliochangia kukiingiza chama matatani wakati huo; hadi ukomo wa ubunge wao.

Halima kama bado anayo dhamira ya kuwa ndani ya chama hicho, inabidi ajieleze kikamilifu juu ya uhusika wake na kwa nini ililazimu iwe hivyo.

Halima hawezi kurudishwa ndani ya chama bila kutubu; na hawezi kutegemea kupokelewa kana kwamba hakuna lililotokea.
Asiwe na matarajio ya kurudi na kupewa uongozi moja kwa moja ndani ya chama hicho; ni muhimu aonyeshe dhamira ya kuwa mwanaCHADEMA, na kukitumikia chama kama mwanachama yeyote, bila ya kukimbilia kwenye uongozi tena.

Halima tofauti na wenzake aliowaongoza, ameonyesha kuwa na moyo wa subira; pengine kutokana na kujjutia mchango wake wa kukiumiza chama.

Nitarudia tena, katika yale yaliyonisikitisha sana katika siasa za Tanzania. Moja ni huyu binti, ambaye niliamini kabisa kuwa alikuwa na 'commitment' isiyoyumbishwa kabisa juu ya chama chake.

Ni kitu gani kilichomfanya huyu binti akengeuke kiasi kile? Kumuheshimu kiongozi wake mkuu aliyeamrisha mpango mzima wa kuwaingiza hao mabinti Bungeni?

Halima apewe fursa ya kujirudi, na awe chini ya uangalizi wa chama kabla ya kupewa wadhifa wa uongozi ndani ya chama.

Hayo unayoyajuwa wewe, mimi siyajui; kwa hiyo hadi hapo utakapoweka wazi hayo, sasa hivi sitakubaliana na msimamo wako.
Katiba ya Chadema haisemi popote kiongozi mkuu Ana mamlaka ya kuteua viti maalum, hiyo mnayoyasema mmetoa wapi
 
Maslahi ya Mdee kuwa ndani ya chama ni makubwa sana kuliko akiwa nje hasa akikataliwa barua yake ya kuomba kurudi ina hasara usiyoweza kuiona moja kwa moja.
Faida yake ni.
1. Wapo wanachama tutavuna kupitia yeye japo hakuna atakaewaona direct. Kuimarisha chama.
2. Kuna faida ya kuwatetemesha upande wa pili,ndio watapoteana zaidi.
3. Mdee ni aset pia ana msimamo ni miongoni mwa wanawake Tz wenye power ya uwasirishaji wa hoja. (Hiyo pia itaifanya CHADEMA kuwa na watu pande zote,kufanya kuogopwa upande wa pili)
=Kwenye duru za kisiasa lazima chama kiwe na watu wengi wenye kuogopwa pindi anapotoa matamko fulani.
Hakuna ujualo n.a. unanipotezea muda tu
 
Katiba ya Chadema haisemi popote kiongozi mkuu Ana mamlaka ya kuteua viti maalum, hiyo mnayoyasema mmetoa wapi
Mimi sijasema hivyo.
Siamini kuwa hao mabinti waliingia Bungeni kwa kuteuliwa kwa mujibu wa Katiba ya chama ambayo ilifuatwa na Mwenyekiti.

Kinachojulikana wazi kwa kila mtu ni kuwa hao mabinti walikuwa na baraka....; hapana siyo kuwa na baraka, bali kuingia kwao Bungeni kulisimamiwa kikamilifu na kiongozi mkubwa ndani ya chama.

Huu haukuwa uamzi wa Halima Mdee. Kama nakosea juu ya hili, hapo nitakubali ukitoa ushahidi nisioufahamu mimi.
 
Halima Mdee namkubali sana, nilimpigia kura 2010 na 2015. Amefanya mazuri 99 baya ni 1 tu asamehewe. Wasiwasi wangu ni ule urafiki wake na Esther Bulaya unanipa shaka.
Wanasagana tu na Bulaya, hiyo haina athari kwa CHADEMA. Athari iko kwenye papuchi zao tu (vinembe kusagika)
 
Hakuna ujualo n.a. unanipotezea muda tu
Hapa ninakubaliana nawe juu ya hayo aliyosema huyo uliyemjibu.
Halima Mdee hana mchango ndani ya chama kuliko wanachama wengine waliomo ndani ya chama.

Kuwa mwanachama wa chama cha siasa ni zaidi ya hayo aliyoyaeleza.

Halima harudishwi ndani ya chama kwa vile tu anaweza kuingiza wanachama wengine ambao hawana mshikamano wowote na chama, bali wanamshikamano na Halima!
Hiyo ndiyo CCM iliyopo sasa.
CHADEMA hawawezi kuwa kivuli cha CCM.
 
Wanasagana tu na Bulaya, hiyo haina athari kwa CHADEMA. Athari iko kwenye papuchi zao tu (vinembe kusagika)
Kumbe huku unapaweza. Basi jikite kuchangia kwenye mambo ya aina hiyo, na siyo yahusuyo kushangilia mauaji ya waTanzania.
Vipi unaweza kueleza Samia anasagana na nani?
 
Erythrocyte Katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu mwanachama aliyepoteza uanachama na anataka kurudi?

Kama Katiba ina utaratibu, ufuatwe. Nadhani kuna kuomba na kujadiliwa katika vikao vya kichama.

Ikifika katika vikao ndipo maswali na hoja zinapojadiliwa kwa uzito wake, mwombaji akihojiwa na kujitetea
Kuna mawili, akubaliwe arudi kundini au akataliwe kwa vikao halali na kwa ''natural justice''

Mkianza utaratibu wa hisia ''emotion'' na kangaroo court mtaishia kuparurana bila sababu.

Wenje alijulikana msaliti akipeleka mabunda ya pesa ya kijana wetu kwa TL, lakini alipochaguliwa aliruhusiwa katika vikao kwasababu katiba inasema hivyo. Kilichomuondoa CHADEMA ni guilty conscience ! siyo hasira za watu
 
Kwanini asiende CHAMA chako cha ccm
Kwa taarifa yako, CCM tumemtafuta kwa udi na uvumba, toka lile wimbi la hama hama, wote wawili walitugomea kata kata!, hii maana yake Halima sio mwanachama hama hama! Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!

Tofauti ya Halima na Ester, Halima ni born and breed Chadema, Ester ni born CCM, ila ni mtu wa msimamo, hataki ujinga toka akiwa CCM, Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu!, hivyo Chadema milileta ule ujinga, na yeye hakubali ujinga, akaamua arejee nyumbani CCM, Halima ni Chadema damu!.
P
 
Back
Top Bottom