Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani.
Papa hana ufanano wowote na Ayatollah.

Papa ni kiongozi wa kiroho aliyepewa eneo dogo huru ndani ya Italia, linaloitwa Vatican, lisiloingiliwa na Serikali ya Italy, lakini yeye hana Serikali wala jeshi, wala polisi, bali baadhi ya mataifa hutoa ulinzi bure.

Ayatollah ni kiongozi mkuu wa Serikali ya Iran ambaye aliyapata madaraka kwa kupindua Serikali, kwa kutumia hadaa ya imani ya dini. Ayatollah ana jeshi, ana Serikali na ndiye mwenye kauli ya mwisho kwa nchi ya Iran.
 
Back
Top Bottom