Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

Hata wa Iraq si kiongozi wa wa washia wote duniani ila kidogo anaaminiwa na kwenda kuombwq ushauri na washia wanaotoka sehemu tofauti dniani kutokana na kuwa mfumo wa washia wa Iraq ulibaki kama ulivyokuwa mwanzo kwamba siasa haichangangwi sana na dini, pia najaf ni kituo Cha kale zaidi Cha uanazuoni ukilinganisha na Qom.

Mfumo huu wa washia wa kiiran ni WA kibabe kimtindo kwani unaingilia siasa tangu mapinduzi ya Iran ya mwishoni mwa miaka ya 70.
Basi hapo mwenye ushawishi zaidi kidini ni huyo wa Iraq huku wa Iran ana ushawishi zaidi kisiasa
 
Yah naona watu wengi wanachanganya hayo majina, hata Waislamu wenyewe wanajua Ayatollah n huyo jamaa wakati hilo n jina la cheo.
kuna mmoja alisema ukoo wa ayatollah umekuwepo tangia enz na enz, na akasema ni rahisi kupata koromeo la shetani kuliko kumuua ayatollah, alipoliwa kichwa juzi kirahisi tu nilitamani nimtag mwamba ila nikawa sikumbuki id yake, tuwavumilie tu mkuu.
 
Wakuu hivi cheo alicho kuwa nacho ayatollah yule jamaa aliepigwa bomu ndo sawa na cheo cha mufti wetu hapa Tanzania?

Asante
-Mufti ni cheo cha uongozi wa dini kuongoza waumini kwa kutoa ufafanuzi na maamuzi yanayoendana na sheria za dini,ila ni cheo chenye mipaka.
Mathalan hapa Tanzania Mufti yeye hajihusishi na mengine isipokua dini tu,na yeye wala sio kiongozi wa juu kuliko wote hata nchi ingekua ya kiislam kiongozi mkuu angekua Amiirul Muuminiim na sio Mufti.
-Kwa shia ama waajemi Ayatollah ni sawa na kusema AMIIRUL MUUMINIIM kiongozi wa kiislam ambaye anatawala KIDINI NA KISIASA. Yeye ni top leader katika ngazi zote za KIDINI NA KISIASA. Anatoa ufafanuzi na maamuzi katika ngazi ya sheria za kidini na kisiasa na yeye ndiye kiongozi mkubwa kuliko wote ikiwemo rais anaripoti kwake.
 
-Mufti ni cheo cha uongozi wa dini kuongoza waumini kwa kutoa ufafanuzi na maamuzi yanayoendana na sheria za dini,ila ni cheo chenye mipaka.
Mathalan hapa Tanzania Mufti yeye hajihusishi na mengine isipokua dini tu,na yeye wala sio kiongozi wa juu kuliko wote hata nchi ingekua ya kiislam kiongozi mkuu angekua Amiirul Muuminiim na sio Mufti.
-Kwa shia ama waajemi Ayatollah ni sawa na kusema AMIIRUL MUUMINIIM kiongozi wa kiislam ambaye anatawala KIDINI NA KISIASA. Yeye ni top leader katika ngazi zote za KIDINI NA KISIASA. Anatoa ufafanuzi na maamuzi katika ngazi ya sheria za kidini na kisiasa na yeye ndiye kiongozi mkubwa kuliko wote ikiwemo rais anaripoti kwake.
Naomba kuuliza mkuu.
Hivi haijawahi kutokea hao waajemi wakatoa hoja ya kutowepo rais coz naona hana faida
 
Naomba kuuliza mkuu.
Hivi haijawahi kutokea hao waajemi wakatoa hoja ya kutowepo rais coz naona hana faida
Rais ana umuhimu kuwepo.
Uongozi wao ni kama state of monarch kwamba Prime Minister anashughulikia kila kitu ila final say ipo kwa mfalme au malkia.
Ndio sawa na wao,rais ndio yuko front kufanya kitu,ila kuna zile CRUCIAL DECISIONS hapo ndio wanakutana kamati nzima ikiongoza na Ayatollah kesha Raisi wa nchi,ambapo final say ataitoa Ayatollah.
 
Back
Top Bottom