secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,143
- 28,109
Iran, Shia.Utofauti unaanzia kwenye dini.. uislamu wa Iran ni tofauti na uislamu wa Saudi Arabia. Anyway ngoja waje wenye kuelewa wa dini watudokezee
Saudi Arabia, Suni.
Iran, Shia.Utofauti unaanzia kwenye dini.. uislamu wa Iran ni tofauti na uislamu wa Saudi Arabia. Anyway ngoja waje wenye kuelewa wa dini watudokezee
Mkuu una maana Gani ? Huo uislamu unatofautiana vipi?Utofauti unaanzia kwenye dini.. uislamu wa Iran ni tofauti na uislamu wa Saudi Arabia. Anyway ngoja waje wenye kuelewa wa dini watudokezee
Mkuu nakupa masaa 24 kudhibitisha kauli yakoWaislamu wote wa Tz n magaidi waliopooza mana hawana silaha, atleast magaidi wa Afrika Magharibi wenye silaha 😂
Muislam yeyote yule akipewa silaha, anachojua yeye n kuua yeyote anayepingana nae kwenye dini.
Ayatollah wa JF, na naheshimika ile mbaya 😎.Mkuu una cheo Gani humu
💪Kabisa mkuu nilisahau hilo
Duh.. Yule ni kiongozi wa Dunia sawa na PopeWakuu hivi cheo alicho kuwa nacho ayatollah yule jamaa aliepigwa bomu ndo sawa na cheo cha mufti wetu hapa Tanzania?
Asante
Ayatollah ndo cheo ali khamenei lilikuwa ndo jina. kwa hyo akichaguliwa mwingne ambaye anaitwa juma pumba atakuwa anaitwa ayatollah juma pumba.Apo umenyoosha mkuu Ina maana huko Iran yeye yupo juu kuliko raisi?
Kumbe Trump alikuwa na lake jambo.Yule alikuwa ni Mfalme na mkuu wa dini.
Kidogo walitazamia kwa Uingereza, Mfalme ndiye mkuu wa Kanisa la Anglican, ingawa chini yake kuna Askofu mkuu.
Kwa sababu hiyo, ndiyo maana wakamrithisha mwanaye kukamatia kijiti, lakini Trump kautukana uteuzi huo na kudai hautambui, watafute mwingine mwenye kuendana na sera zake ndiyo ataridhika na kusimamisha vita.
Dini moja lakini madhehebu mawili tofauti.Mkuu una maana Gani ? Huo uislamu unatofautiana vipi?
😂😂 Nimefurahi kwasababu mwanzo nilikuwa najua jamaa anaitwa ayatollahAyatollah ndo cheo ali khamenei lilikuwa ndo jina. kwa hyo akichaguliwa mwingne ambaye anaitwa juma pumba atakuwa anaitwa ayatollah juma pumba.
Hapana.Mufti hapa Tanzania anaweza kuamrisha Majeshi?
Au anaweza kutekwa au kuwekwa ndani kama kina Gwajima?
Kwahyo nani mswali Suni hapo?Dini moja lakini madhehebu mawili tofauti.
Kweli?Tena waislamu wa dhehebu la Shia. Yaani yeye ni kama papa kwa washia.
😀😀😀Ayatollah ni gaidi mkuu, mufti wenu n gaidi aliyepooza
Amna kitu hapo ingekuwa inasoma platinum member kama wakina mshanaAyatollah wa JF, na naheshimika ile mbaya 😎.
Ayatollah anachaguliwa na Baraza la wataalamu.Yule alikuwa ni Mfalme na mkuu wa dini.
Kidogo walitazamia kwa Uingereza, Mfalme ndiye mkuu wa Kanisa la Anglican, ingawa chini yake kuna Askofu mkuu.
Kwa sababu hiyo, ndiyo maana wakamrithisha mwanaye kukamatia kijiti, lakini Trump kautukana uteuzi huo na kudai hautambui, watafute mwingine mwenye kuendana na sera zake ndiyo ataridhika na kusimamisha vita.
Utachanganyikiwa zaidi ukisikia Ayatollah sio MuislamMkuu una maana Gani ? Huo uislamu unatofautiana vipi?
Bila kupinga 😎.Kweli?