Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

Ayatollah ndo cheo ali khamenei lilikuwa ndo jina. kwa hyo akichaguliwa mwingne ambaye anaitwa juma pumba atakuwa anaitwa ayatollah juma pumba.
Yah naona watu wengi wanachanganya hayo majina, hata Waislamu wenyewe wanajua Ayatollah n huyo jamaa wakati hilo n jina la cheo.
 
Duh.. Yule ni kiongozi wa Dunia sawa na Pope
N kiongozi wa dunia ipi ww mvuta Bangi, lini Huyo gaidi Ayatollah aliwahi kutoa neno kwa Waislamu wote kama ilivyo kwa Papa afanyavyo?
 
wote mnakosea

Washia sio sawa na Waislam wa Kisunni, tofauti ni kubwa sana

Washia muziki sio haram na wana, tatoo sio haramu, kwenda Mecca sio muhimu sana, Washia wanaruhisiwa kutumia picha kama wakatoliki, Washia wanaheshimu viongozi wao waliokufa kama vile wakatoliki wanavofanya kwa Watakatifu, Wanaabudu makaburi
 
Papa hana ufanano wowote na Ayatollah.

Papa ni kiongozi wa kiroho aliyepewa eneo dogo huru ndani ya Italia, linaloitwa Vatican, lisiloingiliwa na Serikali ya Italy, lakini yeye hana Serikali wala jeshi, wala polisi, bali baadhi ya mataifa hutoa ulinzi bure.

Ayatollah ni kiongozi mkuu wa Serikali ya Iran ambaye aliyapata madaraka kwa kupindua Serikali, kwa kutumia hadaa ya imani ya dini. Ayatollah ana jeshi, ana Serikali na ndiye mwenye kauli ya mwisho kwa nchi ya Iran.
Umenena vizuri sana. Mimi nimemfananisha na papa kwa kitu kidogo tu nacho ni kuwa waislamu wa dhehebu la Shia popote pale, iwe Saudi Arabia, Syria, Misri n.k, wanamkubali na kumchukulia kama kiongozi wao mkubwa japokuwa yeye kwa upande mwingine ni kiongozi wa nchi ya Iran.

Washia wengi duniani wabebubujikwa na Machozi kisa Ayatollah khamenei kawatika, huku wasuni wakichekelea.
 
Umenena vizuri sana. Mimi nimemfananisha na papa kwa kitu kidogo tu nacho ni kuwa waislamu wa dhehebu la Shia popote pale, iwe Saudi Arabia, Syria, Misri n.k, wanamkubali na kumchukulia kama kiongozi wao mkubwa japokuwa yeye kwa upande mwingine ni kiongozi wa nchi ya Iran.

Washia wengi duniani wabebubujikwa na Machozi kisa Ayatollah khamenei kawatika, huku wasuni wakichekelea.
Kwann washia wamelia wakati kiongozi wao ametimiza misingi ya Uislamu kwenda kula bikra 72 huko peponi?
 
Kwann washia wamelia wakati kiongozi wao ametimiza misingi ya Uislamu kwenda kula bikra 72 huko peponi?
Kwa sababu wanamwonea wivu wakidhani kuwa atawachagua mabikra wazuri zaidi na kuwabakizia wale wenye sura ya baba.
 
Nachojua ni kuwa Iraq kuna Ayatollah tu ila sijui anaitwa nani
Well, Iraq Kuna Ayatollah anaitwa Ali Al-Sistani ambaye hana mamlaka makubwa/kamili katika nchi kama Ayatollah Ali Khamenei wa Iran.

Ayatollah wa Iraq hapaswi kuingilia siasa Moja kwa Moja, anakjikita zaidi katika masuala ya dini.

Yaani ni kama constitutional monarchy ambapo mfalme au malkia anakuwa pale kama kiongozi wa heshima (hawezi kuwa na mamlaka kamili katika masuala ya kisasa) mfano wake ni mfalme au malkia wa Uingereza. Tofauti na absolute monarchy ambapo mfalme ama Malika ndiye Kila kitu katika nchi (katika masuala ya kisasa) kwa mfano kule Saudi Arabia mfalme Salman bin abdulaziz ndiye Kila kitu.

Sasa mpaka hapa nadhani utakuwa umemeelewa Ayatollah mwenye show Kali ni wa nchi gani.
 
Well, Iraq Kuna Ayatollah anaitwa Ali Al-Sistani ambaye hana mamlaka makubwa/kamili katika nchi kama Ayatollah Ali Khamenei wa Iran.

Ayatollah wa Iraq hapaswi kuingilia siasa Moja kwa Moja, anakjikita zaidi katika masuala ya dini.

Yaani ni kama constitutional monarchy ambapo mfalme au malkia anakuwa pale kama kiongozi wa heshima (hawezi kuwa na mamlaka kamili katika masuala ya kisasa) mfano wake ni mfalme au malkia wa Uingereza. Tofauti na absolute monarchy ambapo mfalme ama Malika ndiye Kila kitu katika nchi (katika masuala ya kisasa) kwa mfano kule Saudi Arabia mfalme Salman bin abdulaziz ndiye Kila kitu.

Sasa mpaka hapa nadhani utakuwa umemeelewa Ayatollah mwenye show Kali ni wa nchi gani.
Tatizo wewe umejikita kwenye siasa mimi nimeulizia yupi ni mbabe kwa upande wa dini
 
Tatizo wewe umejikita kwenye siasa mimi nimeulizia yupi ni mbabe kwa upande wa dini
Ok, kwenye upande wa dini Ayatollah wa Iraq anaushawishi mkubwa kuliko wa Iran. Hii ni kwa sababu za center ambazo elimu ya kishia hutolewa duniani.

Kule Iraq Kuna najaf ambayo ni center ya kitambio sana na inaheshika zaida na kule Iran kula Qom ambayo kidogo imepindisha mambo kutokana na kuuunganisha mambo ya siasa kwenye dini jambo ambalo halikiwa msingi wa washia.

Hii ya Iran ninaipenda kwa sababu inanyoosha waliopinda. Ya Iraq inajifanya kujitenga na utawala wa kisiasa ndiyo maana wamekuwa vibaraka wa marekani.
 
Ok, kwenye upande wa dini Ayatollah wa Iraq anaushawishi mkubwa kuliko wa Iran. Hii ni kwa sababu za center ambazo elimu ya kishia hutolewa duniani.

Kule Iraq Kuna najaf ambayo ni center ya kitambio sana na inaheshika zaida na kule Iran kula Qom ambayo kidogo imepindisha mambo kutokana na kuuunganisha mambo ya siasa kwenye dini jambo ambalo halikiwa msingi wa washia.

Hii ya Iran ninaipenda kwa sababu inanyoosha waliopinda. Ya Iraq inajifanya kujitenga na utawala wa kisiasa ndiyo maana wamekuwa vibaraka wa marekani.
Kwa hiyo maana yake ni kwamba Ayatollah wa Iran sio kiongozi wa mashia wote duniani?
 
Kwa hiyo maana yake ni kwamba Ayatollah wa Iran sio kiongozi wa mashia wote duniani?
Hata wa Iraq si kiongozi wa wa washia wote duniani ila kidogo anaaminiwa na kwenda kuombwq ushauri na washia wanaotoka sehemu tofauti dniani kutokana na kuwa mfumo wa washia wa Iraq ulibaki kama ulivyokuwa mwanzo kwamba siasa haichangangwi sana na dini, pia najaf ni kituo Cha kale zaidi Cha uanazuoni ukilinganisha na Qom.

Mfumo huu wa washia wa kiiran ni WA kibabe kimtindo kwani unaingilia siasa tangu mapinduzi ya Iran ya mwishoni mwa miaka ya 70.
 
Back
Top Bottom