machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 798
- 1,681
- Thread starter
- #41
Hii mupyaaa sasaaaUtachanganyikiwa zaidi ukisikia Ayatollah sio Muislam
Hii mupyaaa sasaaaUtachanganyikiwa zaidi ukisikia Ayatollah sio Muislam
Hapana ni dini mbili tofautiDini moja lakini madhehebu mawili tofauti.
Kwani platinum members wote wanaheshimika?Amna kitu hapo ingekuwa inasoma platinum member kama wakina mshana
Kwani Papa ana mamlaka ganiBila kupinga 😎.
Wataalam wa dini au wataalam wapi mkuuAyatollah anachaguliwa na Baraza la wataalamu.
rais iran ni takataka tu mbele ya ayatollahApo umenyoosha mkuu Ina maana huko Iran yeye yupo juu kuliko raisi?
Nisikilize mimi utapata madini ya hatariHii mupyaaa sasaaa
Ndio.Kwani platinum members wote wanaheshimika?
Nakuskia mkuuNisikilize mimi utapata madini ya hatari
Tatizo nashindwa kujua nianzie wapiNakuskia mkuu
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani.Kwani Papa ana mamlaka gani
Hapana ndugu, wako ma Ayatullah wengu hata nje ya Iran. Ayatullah ni daraja la kisomi mtu anafikia kwa kusoma kama vile mtu anafikia kua Daktari wa falsafa. Mfano kuna waliopo India, Lebano au ItaqNinavyojua ni kuwa Iran ni nchi ya kiislam Kwahiyo Ayatollah anakuwa kiongozi mkuu wa dini na serikali tofauti na wabongo yeye yupo kwa ajili ya waislam tu kuwaongoza kwa mambo ya dini
Kiongozi mkuu wa dini ya kiislam anakuaje sio muislam?Tatizo nashindwa kujua nianzie wapi
'Baraza la wataalamu' badala ya raia wote, halafu anakuwa ni sauti ya mwisho kuliko Rais aliyechaguliwa kidemokrasia na hawajibishwi na yeyote na hana ukomo wa utawala!Ayatollah anachaguliwa na Baraza la wataalamu.
Unanitafutia ugomvi. Ila kiufupi Mimi ndiye ninayeheshimika zaidi humu.Ndio.
Nitajie ambae haeshimiki kama yupo
viongoz wa dhehebu la kishia, machawa wajao wa ayatollahWataalam wa dini au wataalam wapi mkuu
Mbona wanachagua ayatollah mpya kama wapo wengi kiongoziHapana ndugu, wako ma Ayatullah wengu hata nje ya Iran. Ayatullah ni daraja la kisomi mtu anafikakia kwa kusoma kama vile mtu anafikia kua Daktari wa falsafa. Mgano kuna waliopo India, Lebano au Itaq
Ayatollah anakuwa msomi wa juu wa dini ya Kiislamu kwa dhehebu la Shia, sio mjinga wala kichwa maji. Anakuwa amesoma kwenye sheria za kidini na miongozo yake kwa elimu ya kidunia ni sawa kabisa kabisa na Professor.Wakuu hivi cheo alicho kuwa nacho ayatollah yule jamaa aliepigwa bomu ndo sawa na cheo cha mufti wetu hapa Tanzania?
Asante
Mfalme au Sultan hachaguliwi kabisa, Bora uchaguzi wa Iran kuliko wa bongo.'Baraza la wataalamu' badala ya raia wote, halafu anakuwa ni sauti ya mwisho kuliko Rais aliyechaguliwa kidemokrasia na hawajibishwi na yeyote na hana ukomo wa utawala!
Kuna tofauti gani na Mfalme ama Sultani?
Hivi na Ayatollah anatawala Shia wote duniani?Kiongozi wa kanisa katoliki duniani.