machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 798
- 1,681
- Thread starter
- #61
Tusifike huko ndugu ayatollah. Japo ningependa kujua kwanini ujiite ayatollah wa jfUnanitafutia ugomvi. Ila kiufupi Mimi ndiye ninayeheshimika zaidi humu.
Tusifike huko ndugu ayatollah. Japo ningependa kujua kwanini ujiite ayatollah wa jfUnanitafutia ugomvi. Ila kiufupi Mimi ndiye ninayeheshimika zaidi humu.
Wewe unamjua kiongozi mkuu wa dini ya Kiislamu?Kiongozi mkuu wa dini ya kiislam anakuaje sio muislam?
Usifananishe Iran na vitu vya kijingaMfalme au Sultan hachaguliwi kabisa, Bora uchaguzi wa Iran kuliko wa bongo.
Unauliza rangi ya mkaa?Hivi na Ayatollah anatawala Shia wote duniani?
Si ndio kama alivu kuwa ayatollahmkuuWewe unamjua kiongozi mkuu wa dini ya Kiislamu?
Hao wanakuwa wataalam wa Nini?'Baraza la wataalamu' badala ya raia wote, halafu anakuwa ni sauti ya mwisho kuliko Rais aliyechaguliwa kidemokrasia na hawajibishwi na yeyote na hana ukomo wa utawala!
Kuna tofauti gani na Mfalme ama Sultani?
Kutokana na heshima kubwa ambayo nimejizolea humu. Pia umri wangu mkubwa kuliko Wana JF wengi.Tusifike huko ndugu ayatollah. Japo ningependa kujua kwanini ujiite ayatollah wa jf
Mkuu umejuaje kuwa unaheshimika humu?Kutokana na heshima kubwa ambayo nimejizolea humu. Pia umri wangu mkubwa kuliko Wana JF wengi.
SheriaHao wanakuwa wataalam wa Nini?
Hapo sawaSheria
Nilikuwa najua yeye anahusika na wa Iran tuUnauliza rangi ya mkaa?
Ayatollah ni kiongozi wa Mashia sio WaislamuSi ndio kama alivu kuwa ayatollahmkuu
Mashia ni WaislamuAyatollah ni kiongozi wa Mashia sio Waislamu
Hivi Muft yupo kwa ajili ya waislamu au kwa qjili ya Bakwata?Ninavyojua ni kuwa Iran ni nchi ya kiislam Kwahiyo Ayatollah anakuwa kiongozi mkuu wa dini na serikali tofauti na wabongo yeye yupo kwa ajili ya waislam tu kuwaongoza kwa mambo ya dini
Muulize Yoda ndiyo kaleta hiyo stori ya kuchaguliwa na wataalamu mkuu.Hao wanakuwa wataalam wa Nini?
Mufti umatumbini hauji kusoma wala kuandika ndio wakulinganishwa na Ayatollah?Mufti hapa Tanzania anaweza kuamrisha Majeshi?
Au anaweza kutekwa au kuwekwa ndani kama kina Gwajima?
Ina maana Hawa mashia Wana itikadi tofauti kabisa na waislam?Ayatollah ni kiongozi wa Mashia sio Waislamu
Mpo wengNimefurahi kwasababu mwanzo nilikuwa najua jamaa anaitwa ayatollah
Shukrani.
Nadhan hii swali linahitaji thread yake mpya kabisa kabisaHivi Muft yupo kwa ajili ya waislamu au kwa qjili ya Bakwata?
Ayatollah ni Mufti aliyechangamka.Wakuu hivi cheo alicho kuwa nacho ayatollah yule jamaa aliepigwa bomu ndo sawa na cheo cha mufti wetu hapa Tanzania?
Asante