rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
wakuu nilileta mada hapa kuhusu mama wa 51 years week mbili zilizopita
hatua tuliyofikia sasa hivi ni kwamba mama anaishi peke yake na anataka nihame nilikopanga nikasihi naye
du!naona kama najitafutia matatizo makubwa kama nikifanya vile,nahisi ipo siku nitatupiwa virago nje mchana kweupe
halafu naona kama nitakuja kuteseka kwa sababu inabidi nianze maisha yangu upya tena kabisa
dah! nipo njia panda
hatua tuliyofikia sasa hivi ni kwamba mama anaishi peke yake na anataka nihame nilikopanga nikasihi naye
du!naona kama najitafutia matatizo makubwa kama nikifanya vile,nahisi ipo siku nitatupiwa virago nje mchana kweupe
halafu naona kama nitakuja kuteseka kwa sababu inabidi nianze maisha yangu upya tena kabisa
dah! nipo njia panda