Kuhamia kwa mama wa 51 years

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
wakuu nilileta mada hapa kuhusu mama wa 51 years week mbili zilizopita
hatua tuliyofikia sasa hivi ni kwamba mama anaishi peke yake na anataka nihame nilikopanga nikasihi naye
du!naona kama najitafutia matatizo makubwa kama nikifanya vile,nahisi ipo siku nitatupiwa virago nje mchana kweupe
halafu naona kama nitakuja kuteseka kwa sababu inabidi nianze maisha yangu upya tena kabisa
dah! nipo njia panda
 
Amini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.

  1. You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
  2. Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
  3. Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
  4. You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.
 
Amini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.

  1. You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
  2. Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
  3. Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
  4. You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.

Ashadii,hata kumung'unya maneno hutaki,unapasua live ka kisu kwenye siagi,mwonee huruma mtoto wa mwenzio umwelekeze nini cha kufanya.
 
Amini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.

  1. You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
  2. Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
  3. Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
  4. You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.
Well said AD & No comment!
 
Amini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.
  1. You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
  2. Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
  3. Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
  4. You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.
Shem, huna haja kupoteza muda kushauri hivi vitoto vilivyotoka kubalehe jana. Vinatupima upepo tu hapa........

Kwema lakini?
 
Amini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.
  1. You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
  2. Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
  3. Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
  4. You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.


mupemupe uyoooo..usimbakishe ata nukta gve hm ol!!!!!...fullnodisssssss!!!!!!!
 
lats time ulisema una miaka 39
i doubt it...
you sound like 19.......

Amini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.
  1. You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
  2. Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
  3. Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
  4. You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.

Teens wanapojaribu kujifanya wakubwa....and u nail them really good!
 
Shem, huna haja kupoteza muda kushauri hivi vitoto vilivyotoka kubalehe jana. Vinatupima upepo tu hapa........

Kwema lakini?


Shem wanazoea... tukikaa kimya huwa wanafikiri hatujui... once in a while ni kuwashtua tupunguze sampuli hii MMU....

Mie kwema... kwako je??
 
Shem wanazoea... tukikaa kimya huwa wanafikiri hatujui... once in a while ni kuwashtua tupunguze sampuli hii MMU....

Mie kwema... kwako je??
Hahahahaha............haya bana. Ila mi naamini dawa yao ni kuwapotezea.....

Maadam wote wameenda msalani, namshukuru Allah uzima upo.

Afu hivi wajua nlivyokumiss?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom