Angalia vitu gani anapendelea sana sana.Husimlazimishe mapenzi ,wewe toka naye out ,fanya shopping.Na wale husimwombe mapenzi.mletee zawadi kubwa ambayo alikuwa anaiongelea.alafu wewe endelea kama vile unatoka nje vile kwenda kuongea na marafiki zako.Husikae sana nyumbani.hukimletea zawadi ongea naye wewe lala mzungu wa nne.ongea vizuri na wala husiwe na hasira kabisa na wala kisasi.fanya maombi pia.Nakuambia haitapita week mbili hatakuwa na wivu sana na wewe.Unaendaga wapi??.Lakini ukimweza kwenye kumjali hii ndio muhimu sana.itakuja je unayaweza kitandani??.Naomba niwape ushauri kidogo kwa ninavyofikiri,lakini inawezekana hisifanya kazi kwa wengine.inabidi umtayarishe mke wako siku nzima kwa kuongea naye vizuri na sio kumkaripia ,unajua sisi wanaume ni kama madikteta yaani unaona ni haki yako kugegeda.hapana ni lazima wote muwe na kwenye mood ndio ugegedaji utakuwa na mtamu na madoido mengi.ukimtayarisha mke wako siku nzima,itamfanya mke wako hawe tayari ,yaani ana hamu kukuona mapema.utamwona anaangalia saa huyu naye kapitia wapi?,hii kweli ni foleni ya magari??.ukirudi nyumbani mbebee zawadi yoyote ,smile na mpe hiyo zawadi na mwambie zawadi yako hii mke wangu ,rafiki yangu ,mwili wangu,mama watoto wangu.alafu utakuta mkienda kitandani utatumia muda mwingi atakuwa ana
mefika ukingoni na pia mkuu jitahidi romance kwa karibu saa nzima hivi,bila kumwingilia.Ni kwa mawazo yangu.Ila husiende au kutafuta mchepuko sio solution kabisaa kwenye ndoa.ndio utapasua ndoa na familia,hata kama wewe umesikia mwenzako ana mchepuo ,ni jukumu lako kujisahihisha.strong man ni yule anayejisahihi na kujenga ndoa yake na sio anayekimbia ndoa yake.kumbia ndoa ni kuwa wewe hukufaa kuitwa mwanaume.