Kugegeda mara1 kwa wiki

Kugegeda mara1 kwa wiki

angalia asije akawa amekususia kwa sababu ya tabia zako mbaya za kukera...maana wanaume wa siku hizi wengi ni janga michepuko kila kona..akaona akususie tu...maana anajua unapoponeaa
 
Hizo bold zinaashiria (samahani kama nakukwaza) wewe ni mtu mkatili katili. Unacompare vipi kulipa mahari na kufanya hicho kitendo? Pili unaonyesha kubembeleza , kumwandaa mwanamke kwako hakupo kabisa eti ukijaribu kuforce? Tendo hilo ni la hisia , laanzia mbali hata kama mahusiano na maongezi yenu kama hampo pamoja katu hawezi kuwa na hamu.
Pia , yawezekana kabisa haridhiki na jinsi mnavyofanya na huonyeshi ushirikiano zaidi ya kujiridhisha wewe . Mwanamke akiwa na hisia hizo tu kuwa unapenda sex kwa ajili ya wewe mwanaume kupata haki baasi umeondoka mantiki nzima.
Na ujue kudadisi kama amechoka vaa viatu vyake anzisha maongezi umechoka na nini mpenzi? nikusaidiaje kupunguza uchovu nk ila kwa mtazamo huu wa enzi za mawe eti nimelipa mahari - wanawake wana safari ndefu sana - ndoa zimekaa kama jela .
Kama ulikua kichwani mwangu,wanaume wengi wa kiafrika ndio walivyo.ndio hawa wanajisifia nimegonga goli tano muulize mwenzio je? hajui,kwao mapenzi sio hisia ndio maana bila aibu eti nimelipa mahari pyuu
 
Wakwangu Anajua Kabisa Akipanda Bed Hana Pichu.Me Nataka Daily.Labda Awe Mgonjwa Lakini Kinyume Na Hapo Me Nalima Mpunga Daily.Jaribu Kumpiga Beat Mwangu Unaonewa Sana Na Ikibidi Nenda Kwa Wazazi.Ati Unasema Mara Moja Kwa Wiki??Yani Me Kila Akipanda Bed Kitu Kimekua Msumari Inata Kutelezer,

Mambo mengine hata sio ya kujisifia
 
Haya madawa ya uzazi wa mpango nayo yanapoteza mamzuka sana kwa hawa wake zetu....Achilia mbali life style ya mwanamke kazi anazofanya unakuta za kuchosha, majukumu ya hme bado anadongo ananyonyesha so akifika bed ye anaamini ndo sehemu pekee ya kupumzika ila napo mtoto mkubwa nae anataka abebwe...So siyo lazima anamchepuko mambo mingi mno sana.....Mi nashukuru nikifikaga hme mastimu yote nimeyamalizia Gym hadi yeye ndo huwa analeta noma mbona unachunia mzigo na mimi kama sitaki nakamata kitu...Yaan hata baada week kitu bado imevimba kwa gemu alopata.So kupitisha wk kwangu kawaida sana ila nikikamata ni balaa

Kwa hiyo unamkomoa
 
Ukiona hivyo ujue humfikishi unamchosha tu tafuta mbinu
 
Sasa mtu ukipanda unagusa gusa tuu hata hakuna la maana unalofanya, kwanini usipangiwe ratiba!!
 
Nijuavyo kazi ya mke ni kupika,kufua na kulea watoto.kugegedwa (kwa starehe)ni kazi ya michepuko.kugegedana mke na mume ni kwa lengo la kutengeneza watoto tu.

hahaha kumbe
 
Je ni halali unakuwa na mke ndani halafu anakupangia masharti ya kugegeda wakati mahari yote umelipa? Kilasiku oh nimechoka, ukitaka kuforce anabana miguu, yaani hadi upewe mzigo ni kama vile unaanza upya kutongoza, yaani najuuta kuoa. Je huu ni ungwana?

Kama mko friendly ...jifunze kwenda chumvini kwa weledi wa hali ya juu na uvumilivu hata one hour....upande wangu ni best weapon ever.....iwe asubuhi au usiku....hizo za kubana nakukimbia zipo...ila tumia luga laini mpaka akybali kuzama chumvini na akikubali tu...kesha!
 
Last edited by a moderator:
Je ni halali unakuwa na mke ndani halafu anakupangia masharti ya kugegeda wakati mahari yote umelipa? Kilasiku oh nimechoka, ukitaka kuforce anabana miguu, yaani hadi upewe mzigo ni kama vile unaanza upya kutongoza, yaani najuuta kuoa. Je huu ni ungwana?

Dah!kumbe hili tatizo wengi linawakuta duh!mimi mwanzoni nilikuwa nasema wanaume wanaochepuka wkt wameoa ni umalaya tu unawasumbua,kumbe duh!wanawake ni shidah!mi nachepuka tu saiv nshachoka mana hamna namna ni kuchepuka tu!
 
Angalia vitu gani anapendelea sana sana.Husimlazimishe mapenzi ,wewe toka naye out ,fanya shopping.Na wale husimwombe mapenzi.mletee zawadi kubwa ambayo alikuwa anaiongelea.alafu wewe endelea kama vile unatoka nje vile kwenda kuongea na marafiki zako.Husikae sana nyumbani.hukimletea zawadi ongea naye wewe lala mzungu wa nne.ongea vizuri na wala husiwe na hasira kabisa na wala kisasi.fanya maombi pia.Nakuambia haitapita week mbili hatakuwa na wivu sana na wewe.Unaendaga wapi??.Lakini ukimweza kwenye kumjali hii ndio muhimu sana.itakuja je unayaweza kitandani??.Naomba niwape ushauri kidogo kwa ninavyofikiri,lakini inawezekana hisifanya kazi kwa wengine.inabidi umtayarishe mke wako siku nzima kwa kuongea naye vizuri na sio kumkaripia ,unajua sisi wanaume ni kama madikteta yaani unaona ni haki yako kugegeda.hapana ni lazima wote muwe na kwenye mood ndio ugegedaji utakuwa na mtamu na madoido mengi.ukimtayarisha mke wako siku nzima,itamfanya mke wako hawe tayari ,yaani ana hamu kukuona mapema.utamwona anaangalia saa huyu naye kapitia wapi?,hii kweli ni foleni ya magari??.ukirudi nyumbani mbebee zawadi yoyote ,smile na mpe hiyo zawadi na mwambie zawadi yako hii mke wangu ,rafiki yangu ,mwili wangu,mama watoto wangu.alafu utakuta mkienda kitandani utatumia muda mwingi atakuwa ana
mefika ukingoni na pia mkuu jitahidi romance kwa karibu saa nzima hivi,bila kumwingilia.Ni kwa mawazo yangu.Ila husiende au kutafuta mchepuko sio solution kabisaa kwenye ndoa.ndio utapasua ndoa na familia,hata kama wewe umesikia mwenzako ana mchepuo ,ni jukumu lako kujisahihisha.strong man ni yule anayejisahihi na kujenga ndoa yake na sio anayekimbia ndoa yake.kumbia ndoa ni kuwa wewe hukufaa kuitwa mwanaume.
 
Wanawake wengi wakishaizoea ndoa huwa hivyo,sijui kwanini hawajui sisi wanaume neno sex ipo kila sehem ya ubongo wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom