balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,512
- 15,149
We hatari ,ati live mbele ya wazazi ,?!!
unabisha mkuuu? Mimi ilikuwa 2011, yaan nikawa cipewi vizuri,michepuko napiga lkn ndani shida,siku moja asubuh nikamuita anipe akaja halafu akazuga ngoja niwachek watoto,baada ya dakika kumi akapga sm eti Niko kwenye gari naenda kwa mama,kesho kipigo kikali alijaribu kunipga na chupa nikazikwepa baadae wazaz wake wakamchukua waliponiita kwenye hearing niliwapa live,wakasema wakae Naye wamfunde Sikh Tatu bdae,akaniomba nikamchukue,tangu hapo ananigombania nimgegede.