Kugegeda mara1 kwa wiki

Kugegeda mara1 kwa wiki

Kama unagegeda mara moja kwa wiki,kwa mwaka unagegeda x 48 ,hicho ni kiwango cha chini kabisa kwa kiwango cha mwanamme rijali....usipostuka itagoma kusimama kabisa...muombe dozi iongozeke kidogo japo siku za sikukuu kama krismass na pasaka
 
Japo sina ujuzi sana na maisha ya ndoa ila vifuatavyo vinaweza kuwa tatizo.
1. Mahusiano kati yenu kwa sasa yapoje .? Je ni ya kawaida kama ilivyokuwa awali au kuna mabadiliko .!

2. Tabia na mwenendo wenu kabla na baada ya kuoana/kumuoa (hapa nazungumzia zaidi uaminifu wenu)

3. Utendaji kazi wako (nazungumzia katika tendo la haki la wanandoa) je kuna mapungufu au hakuna..? Kama yapo pia inaweza kuwa sababu.

4. Tatizo la hormone..hii pia huchangia baadhi ya wanawake kutokuwa na hamu ya kufanya tendo kabisa..baadhi hufurahia mwanzoni lakini hawataki kuendelea na mchezo. Wengine hukosa kabisa hisia za kufanya mapenzi na wakati mwingine hulazimika tu kufanya ili wasiwaumize kihisia wenzi wao..
 
Kama unagegeda mara moja kwa wiki,kwa mwaka unagegeda x 48 ,hicho ni kiwango cha chini kabisa kwa kiwango cha mwanamme rijali....usipostuka itagoma kusimama kabisa...muombe dozi iongozeke kidogo japo siku za sikukuu kama krismass na pasaka

hahaha sawa bladha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom