Kugegeda mara1 kwa wiki

Kugegeda mara1 kwa wiki

Kama humridhishi aendelee tu kukunyima wanaume nyie mko wabinafsi sana mie mume wangu ni zumbukuku kama wewe unaeleza mpaka unachoka, sina mapenzi ya kuridhisha mtu kila siku wakati yeye hawezi niridhisha.
 
Kama humridhishi aendelee tu kukunyima wanaume nyie mko wabinafsi sana mie mume wangu ni zumbukuku kama wewe unaeleza mpaka unachoka, sina mapenzi ya kuridhisha mtu kila siku wakati yeye hawezi niridhisha.


Unaridhishwa na nani sasa?

Ila sio vizuri kumwita mumeo zumbukuku
 
Wanaume tunashida sana..barabarani tunakutana na vishawishi kibao,unaona mawowowo,wengine wanatembea mapaja nje,tunakumbatiwa kwenyemadaladala na warembo,tunakaliwa uchi sehemu za kazi..tunakutana na warembo wa hatari pamoja na machangu so tunarudi home na nyege zetu tikidhani watatusaidia,ukimwambia anakujibu "ntakupa keshokutwa" na keshokutwa ikifika unawahi chumbani ili upewe,yeye anakaa huko sebuleni hadi amalizane muvi zote za marudio za star tv...mtuoneage huruma jamani..ha ha

ha ha ha!
 
Kama humridhishi aendelee tu kukunyima wanaume nyie mko wabinafsi sana mie mume wangu ni zumbukuku kama wewe unaeleza mpaka unachoka, sina mapenzi ya kuridhisha mtu kila siku wakati yeye hawezi niridhisha.

duh hahaha mi sio zumbukuku bana usinifananishe na mmeo, anyway baada ya kupata mme zumbukuku solution ni nini?
 
Nadhani kila siku nitakinai hiyo K yake.
Mara moja kwa wiki safi.
 
simpo tafuta mchepuko anaekaa karibu na mtaani kwako na akikisha mke wako anajua kila kitu usifanye kwa siri
 
Mnashauriana yote yasiyo na msingi lkn kuitwa zumbukuku ndio roho yawauma sana, kosa ni la kwako halafu wafikiri kumkomoa kutakusaidia, hivi kisa umemuoa wafikiri ndio ukichepuka ataumia? Unahakika? Maana km mie najua chanzo ni wewe cha kunifanya nisiwe mfanisi na hutaki kuongelea hilo basi ningeona heri tu uchepuke, akunyimaye kunde akupunguzia mashuziiiiii
 
Hali hii hutokea mara nyingi kama humfikishi mtu wako. Yaani humpi kitu rohi inataka. Kiasi anaona una mtumia tu kujifurahisha mwenyewe. Hivyo anakosa hamu ya kufanya hilo tendi na wewe.

Jitathimini utendaji wako kwenye game, kisha zungumza naye. Vunja ukimya.






Jaribu kuchunguza lazima kuna sababu
Hiyo sio kawaida
 
Sababu ziko nyingi kwa nini anafanya hivyo ila ili tukushauri inabidi uwe muwazi zaidi,je dhehebu lenu lina mshauri wa mahusiano?Una muda gani katika ndoa?huwa mnapata muda wa kuongea mambo yenu kwa faragha wenyewe?
 
Tathminisha mashine yako na yake.Huwenda yako kubwa na huwa humuandai hivyo huwa unamsababishia maumivu tu wakati wa tendo.Hii ni sababu kubwa mno.
 
Nijuavyo kazi ya mke ni kupika,kufua na kulea watoto.kugegedwa (kwa starehe)ni kazi ya michepuko.kugegedana mke na mume ni kwa lengo la kutengeneza watoto tu.

Mungu wangu.sizani ka wadada wangesaka ndoa ivo ka mambo yenyewe ndo hayo....mmmmmmmm, inaogopesha sana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom