Yanga inambidi amfunge Medeama goli 5 ili kufufua matumaini ya kufuzu

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,837
Screenshot_20231219-225134.png



Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)


Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi

Likely Scenario ipo hivi


Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2

Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu

Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1

CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4

Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi

So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....
 
Niwe mkweli siwezi nikamuombea Yanga apite makundi.

Ntamuombea ashinde mechi lakini sio afike robo

Robo ambayo Simba kwa miaka minne amekuwa akiingia lakini yeye amekuwa mtu wa kwanza kunidhihaki na sasa kanitungia jina Mwakarobo.

Hapana siwezi kuwa mnafiki.

Lazima ajue kwanini kuna ugumu kwenye haya mashindano, lazima atambue kwanini kufika hapa ilimchukua miaka 27.

Hii ndio nidhamu ya mpira ambayo anatakiwa kujifunza na sio kupiga domo kwa timu pinzani na kuzipa mbinu za kumfunga Simba.
 
Scenario, zako zime base upande mmoja tu hukuwaza katika mazingira tofauti tofauti.

Vipi kama kesho Yanga akashinda hata goli 1 au 2 halafu Al Ahly akamfunga Belouizdad? Huoni hapo Yanga atakuwa na point 5 huku Belouizdad akiwa na point 4 na Al Ahly point 8?

Vipi kama mechi ya raundi ya tano, Yanga akamfunga Belouizdad na Al Ahly akamfunga Medeama? Huoni hapo Yanga na Al Ahly watakuwa wamefunga hesabu? Kwa kuwa na point 8 kwa Yanga na 11 kwa Al Ahly?
 
View attachment 2847530


Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)


Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi

Likely Scenario ipo hivi


Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2

Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu

Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1

CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4

Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi

So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....
Mechi inafuata baada ya mech ya kesho ni
Raundi ya tano Yanga vs Belouizdad na Medeama vs Al Ahly
Mechi ya mwisho ni Al Ahly vs Yanga na Belouizdad vs Medeama

Hivyo umetumia muda mwingi kuandika uchambuzi wa uongo. Kama fixture tu za mechi hujui, unachambua nini?
 
Mechi inafuata baada ya mech ya kesho ni
Raundi ya tano Yanga vs Belouizdad na Medeama vs Al Ahly
Mechi ya mwisho ni Al Ahly vs Yanga na Belouizdad vs Medeama
Ok, hata mpangilio ukiwa huo bado hesabu zitakuwa zile zile tu, kuwa Yanga lazima ashinde kwa margin ya 5+ kesho
 
Scenario, zako zime base upande mmoja tu hukuwaza katika mazingira tofauti tofauti.

Vipi kama kesho Yanga akashinda hata goli 1 au 2 halafu Al Ahly akamfunga Belouizdad? Huoni hapo Yanga atakuwa na point 5 huku Belouizdad akiwa na point 4 na Al Ahly point 8?

Vipi kama mechi ya raundi ya tano, Yanga akamfunga Belouizdad na Al Ahly akamfunga Medeama? Huoni hapo Yanga na Al Ahly watakuwa wamefunga hesabu? Kwa kuwa na point 8 kwa Yanga na 11 kwa Al Ahly?
Yote yanawezekana ila nimesema most likely scenario
Nimechukulia Ahly atakuwa na uchovu mwingi wa kutokana na mechi nyingi za Club World Cup, pia atakuwa ugenini, so most likely atatoa draw na CRB ugenini Algeria,



Mechi ya 5 yanga akimfunga CRB bado atakuwa na kibarua kilekile kwani CRB naye atakuwa na mechi na Medeama kule Algeria ambayo likely atavuna point 3 huku Yanga akifungwa na Ahly kule Misri
 
Ok, hata mpangilio ukiwa huo bado hesabu zitakuwa zile zile tu, kuwa Yanga lazima ashinde kwa margin ya 5+ kesho
Sio lazima kwasababu hakuna atakayelingana nae point hata kama mechi ya mwisho dhidi ya Al Ahly Yanga akifungwa magoli 7 na hata kama Belouizdad akishinda magoli 10 dhidi ya Medeama hatofikisha point 8. Rudia kusoma na kwa makini kisha jumlisha point

Yanga anatakiwa aombee Al Ahly avune point 6 kwenye marudiano dhidi ya Belouizdad na dhidi Medeama hivyo wote Medeama na Belouizdad watabakia na point zao 4. Yanga nae anatakiwa ahakikishe anapata point 6 kwenye mechi zake za kwa Mkapa. Hivyo atakuwa na point 8 zisizoweza kufikishwa na yeyote kati ya Belouizdad na Medeama.
 
Sio lazima kwasababu hakuna atakayelingana nae point hata kama mechi ya mwisho dhidi ya Al Ahly Yanga akifungwa magoli 7 na hata kama Belouizdad akishinda magoli 10 dhidi ya Medeama hatofikisha point 8. Rudia kusoma na kwa makini kisha jumlisha point

Yanga anatakiwa aombee Al Ahly avune point 6 kwenye marudiano dhidi ya Belouizdad na dhidi Medeama hivyo wote Medeama na Belouizdad watabakia na point zao 4. Yanga nae anatakiwa ahakikishe anapata point 6 kwenye mechi zake za kwa Mkapa. Hivyo atakuwa na point 8 zisizoweza kufikishwa na yeyote kati ya Belouizdad na Medeama.
Al Ahly kumfunga CRB ni ngumu kwa sababu 3

1.Ahly atakua ugenini, CRB atakuwa nyumbani

2. Al Ahly atakua na uchovu unaotokana na mechi na safari nyingi za Club World Cup

3. Kama Ahly alishindwa kumfunga CRB kule Misri, itakua ngumu zaidi kumfunga Algeria

So mechi yao ni likely itakua draw,
 
Simba anahitaji point moja tu dhidi ya Asec na ndio mchezo unaofatia. Kama akifungwa na Asec basi anapaswa kuomba Wydad wasije kumfunga Galaxy. Simba akfungwa na Asec huku Wydad akishinda dhidi ya Galaxy basi safari inaweza ndio mwisho hapo hapo kwenye makundi.
Simba anaenda kuvuna angalau pointi 1 kwa Asec kwa sababu

1. Simba ipo rejuvenated, imefufuka na morali mpya, na kocha mzuri

2. Asec hana cha kupoteza akitoa sare kwa sababu ameshafuzu
 
Al Ahly kumfunga CRB ni ngumu kwa sababu 3

1.Ahly atakua ugenini, CRB atakuwa nyumbani

2. Al Ahly atakua na uchovu unaotokana na mechi na safari nyingi za Club World Cup

3. Kama Ahly alishindwa kumfunga CRB kule Misri, itakua ngumu zaidi kumfunga Algeria

So mechi yao ni likely itakua draw,
Mpira wa miguu hauna formula timu inaweza kushindia popote, kuna mtu alitegemea Belouizdad angefungwa na Medeama? Kwenye mpira wa miguu chochote kile kinaweza kutokea. Wewe unasema Al Ahly watakuwa na uchovu je umeshajua mechi imepangwa kuchezwa lini?
 
Mpira wa miguu hauna formula timu inaweza kushindia popote, kuna mtu alitegemea Belouizdad angefungwa na Medeama? Kwenye mpira wa miguu chochote kile kinaweza kutokea. Wewe unasema Al Ahly watakuwa na uchovu je umeshajua mechi imepangwa kuchezwa lini?
Ndio najua chochote kinaweza kutokea, ndio sababu ninasema ni matokeo yenye asilimia kubwa ya kutokea
 
Mpira wa miguu hauna formula timu inaweza kushindia popote, kuna mtu alitegemea Belouizdad angefungwa na Medeama? Kwenye mpira wa miguu chochote kile kinaweza kutokea. Wewe unasema Al Ahly watakuwa na uchovu je umeshajua mechi imepangwa kuchezwa lini?
Hajui mechi ya Belouizdad na Al Ahly imeahirishwa,group lao kesho kuna mechi ya Yanga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba anaenda kuvuna angalau pointi 1 kwa Asec kwa sababu

1. Simba ipo rejuvenated, imefufuka na morali mpya, na kocha mzuri

2. Asec hana cha kupoteza akitoa sare kwa sababu ameshafuzu

Kwahiyo kwenye sababu namba moja, Simba kufufuka na morali kwanini hukutaka kuangalia ishu ya ubora na vipaji vya wachezaji kwa kila timu? Je wakati Simba ikiwa imefufuka je Asec wao watakuwa kwenye kifo? Au watakuwa wako vile vile wasione umuhimu wa kushinda mechi?
Asec wanaweza kuwa na midset hiyo ya kuona wameshafuzu ila pia wanaweza kuwa na mindset ya kuzitaka alama tatu kwa Simba ili ajihakikishie kuongoza kundi kwa point 13 ambazo haziwezifikiwa na timu yoyote ile.
 
Yanga mnachekeshaga sana. Mnaiongelea CRB kama vile ile ni Lipuli mnasahau yule ni kigogo mmoja wapo wa soka Afrika hii, halafu mnaongea kuchukua point tatu kwake kirahisi rahisi tu.

Medeama mwenyewe kumfunga kesho ni 50/50 maana kiuhalisia uzoefu na kiwango chenu ni sawa kabisa na wao. Dunia haitashangaa na matokeo ya yeyote atakayeibuka mshindi kesho maana hakuna aliye bora sana kati yenu kumzidi mwenzake.
 
Back
Top Bottom