Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
AKILI ZIMEANZA KUWARUDI
" Simba kutinga hatua ya robo fainali imepitia kwenye kundi dhaifu sana. Kundi likiwa na mngonjwa mahututi mmoja ambaye ni Wydad ambaye alikuwa ICU msimu huu kuanzia ligi ya kwao mpaka michuano ya #CAF. Huku akiwa pia na timu ya Asec Mimos timu yenye program ya kukuza vipaji na kuuza ikiwa ni ndogo sana kwenye soka la Africa. Na ikiwepo timu maiti kabisa ya J' Gallaxy ya Botswana kwa maana hiyo ilikuwa ni kundi dhaifu kuliko makundi yote ni Simba yenyewe ilichelewa kufuzu tu.' Alex Ngereza
✍🏻Kiukweli tu, Yanga amevuka katika hatua hii kwa kishindo hari ambayo hakuna hata mmoja ambae alitegemea, kila mmoja alitegemea kabisa wale waarabu wawili ndio watakaofanikiwa kuvuka kuelekea hatua ya robo fainal, Haijawahi kutokea katika soka letu timu yetu kupangwa katika kundi gumu kama alilokuwa amepangwa Yanga na ingekuwa ni simba ndo kapangwa katika kundi hilo basi naamini habari yake ingeishia makundi tena huenda kwa kuburuza mkia au kupata angalau point Nne kwenye uwanja wa nyumbani.
Yanga angelikuwa amepangwa katika kundi alilokuwepo simba basi angemaliza akiwa kinara tena kwa point nyingihuenda kuliko timu yoyote katika makundi yote maana kundi la simba lilikuwa na timu zote nyepesi.
" Simba kutinga hatua ya robo fainali imepitia kwenye kundi dhaifu sana. Kundi likiwa na mngonjwa mahututi mmoja ambaye ni Wydad ambaye alikuwa ICU msimu huu kuanzia ligi ya kwao mpaka michuano ya #CAF. Huku akiwa pia na timu ya Asec Mimos timu yenye program ya kukuza vipaji na kuuza ikiwa ni ndogo sana kwenye soka la Africa. Na ikiwepo timu maiti kabisa ya J' Gallaxy ya Botswana kwa maana hiyo ilikuwa ni kundi dhaifu kuliko makundi yote ni Simba yenyewe ilichelewa kufuzu tu.' Alex Ngereza
✍🏻Kiukweli tu, Yanga amevuka katika hatua hii kwa kishindo hari ambayo hakuna hata mmoja ambae alitegemea, kila mmoja alitegemea kabisa wale waarabu wawili ndio watakaofanikiwa kuvuka kuelekea hatua ya robo fainal, Haijawahi kutokea katika soka letu timu yetu kupangwa katika kundi gumu kama alilokuwa amepangwa Yanga na ingekuwa ni simba ndo kapangwa katika kundi hilo basi naamini habari yake ingeishia makundi tena huenda kwa kuburuza mkia au kupata angalau point Nne kwenye uwanja wa nyumbani.
Yanga angelikuwa amepangwa katika kundi alilokuwepo simba basi angemaliza akiwa kinara tena kwa point nyingihuenda kuliko timu yoyote katika makundi yote maana kundi la simba lilikuwa na timu zote nyepesi.