Kufanya masters, phd ni uoga wa maisha.

Kufanya masters, phd ni uoga wa maisha.

Likud punguza kuvuta ile kitu.utakuja kuwa mwehu.
Hivi masters sio postgraduate?
Kuna masomo hayafundishwi undergrduate mfano mm nimesoma postgraduate 2 na kazi nachapa kama kawa.labda wewe ndio mvivu wa kusoma na hutaki kuongeza ujuzi zaidi.
 
Wasiosoma ni chakula cha wasomi na wasomi ni chakula cha wanasiasa, hutaki acha.
 
acha kukurupuka mbona maelezo yake yanajitosheleza? Kuna mhadhiri yeyote hapa tanzania mwenye gpa ya 2.1? Kama yupo mtaje upesi?
Unajuaje kama hapana, kuna walioajiriwa miaka ya sabini, unauhakika gani kwamba walifuata kigezo cha G.P.A 3.8 or 3.5 kwa baadhi ya vyuo.
 
Lumumba. Na research fellow mmojawapo ni FaizaFoxy.

Hivi da FaizaFoxy una digirii ngapi za ccm? Manake unaonekana msomi balaa!
Hivi profesa maji marefu alifanyia wapi Phd yake vile?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada umeongea kutoka moyoni, inaonekana una stress na hii mikitu, bila shaka ulikimbia umande na unatafuta jinsi ya kujifariji. Acha waliopata nafasi ya kusoma wasome, huo uoga wao ipo siku utawapa ujasiri.
Kuomba pesa ni tabia ya mtu, sio masters wala phd.
 
Lukud hivi umeshawahi toka Tanzania au Africa? Nchi yetu kuna watu ni wa ajabu, dah
 
Awali nilidhani mtoa mada una degree 1 unaogopa kuendelea, lkn sasa nahisi utakua ni kizazi cha kawambwa.
Unaposema mtu ana gpa ya 2.1 mpaka akasome kwanza post graduate, unajua maana ya "post graduate"!??
 
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.

Shule ya msingi ========= 7 years.

O-Level ========== 4 years.

A- Level =========== 2 years.

Degree ya kwanza =========3 au 4 years.

Jumla : Miaka 16 au 17.

Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?

Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.

Hapo bro umeaibisha, watu wanasoma masters n phD afu we unaponda? Duh, ebu toka nje ya tz uone ulimwengu mwingine, watu wanapiga mpk masters 3 na maisha yanasonga vyeema!

Ila kama huna lengo na maisha yako no need kufata mkumbo kusoma
 
Awali nilidhani mtoa mada una degree 1 unaogopa kuendelea, lkn sasa nahisi utakua ni kizazi cha kawambwa.
Unaposema mtu ana gpa ya 2.1 mpaka akasome kwanza post graduate, unajua maana ya "post graduate"!??

Gpa ya 2.1?? Kwanza ni 2.1/4 au 2.1/5? Napata shida kumuewa huyu bwana!
 
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.

Shule ya msingi ========= 7 years.

O-Level ========== 4 years.

A- Level =========== 2 years.

Degree ya kwanza =========3 au 4 years.

Jumla : Miaka 16 au 17.

Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?

Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.

Sijui una wivu, au labda ndiyo elimu yetu inaporomoka, watu hata hawatumii akili zao kujibu maswali ambayo yako obvious kabisa. Na kama wewe ni graduate na hauelewi umuhimu wa mtu aliyefanya Masters, au PHD basi kuna tatizo kubwa katika mfumo wako wa ubongo, nadhani haukuhitaji hata kwenda shule kabisa!..siyo lazima kila mtu asome, wengine mnaweza kufanya kazi zingine, kwa sababu mkienda shule kidogo mnarudi wajinga kuliko mlivyokuwa wajinga! SHAME!
 
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.

Shule ya msingi ========= 7 years.

O-Level ========== 4 years.

A- Level =========== 2 years.

Degree ya kwanza =========3 au 4 years.

Jumla : Miaka 16 au 17.

Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?

Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.

Kwa madaktari ni miaka 6 sio 3-4! Kusoma masters ni kujinuoa zaidi ili kuwahudumia wagonjwa kwa umahiri zaidi! Vivyo hivyo kwa wakufunzi, walimu na wahandisi! Sio kupoteza muda p'se!
 
Sijui una wivu, au labda ndiyo elimu yetu inaporomoka, watu hata hawatumii akili zao kujibu maswali ambayo yako obvious kabisa. Na kama wewe ni graduate na hauelewi umuhimu wa mtu aliyefanya Masters, au PHD basi kuna tatizo kubwa katika mfumo wako wa ubongo, nadhani haukuhitaji hata kwenda shule kabisa!..siyo lazima kila mtu asome, wengine mnaweza kufanya kazi zingine, kwa sababu mkienda shule kidogo mnarudi wajinga kuliko mlivyokuwa wajinga! SHAME!

Sio uvivu, huu ni upunguani!
 
Ni muhimu kujiendeleza kwa nia ya kuongeza ufahamu wa mambo. Nadhani mleta mada alikuwa anaongelea watu wanaochukua masters na phd kwa ajili ya kuajiriwa lakini wakisimamishwa na watu makini wenye degree ya kwanza inakuwa ngumu kuona tofauti yao kiutendaji,kiuamuzi na hata kwenye suala la uongozi.
 
Lazima kuwe na watu wajinga, wenye upeo wa kati wasomi, na wataalam. Kama umepata degree ya kwanza na wew unakubali inatosha kama umeajiriwa inakuaje?, kwani kusoma masters na phd inaongeza nini?

Kama una degree ya kwanza na umejiajiri, bas mi
Mi nasema hata hiyo degree ya kwanza sio ishu
Na ulikua umepoteza muda wako darasani.....

Ni kwanini unasema degree ya kwanza inatosha na unakana Masters na PhD?
 
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.

Shule ya msingi ========= 7 years.

O-Level ========== 4 years.

A- Level =========== 2 years.

Degree ya kwanza =========3 au 4 years.

Jumla : Miaka 16 au 17.

Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?

Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.

Mimi naheshimu sana masters za zamani, ila za siku hizi zinapatikana kwenye google.com tu! Kila kitu kwenye google tu
 
kwa hiyo elimu ni uhasibu tuu????!!!!!!

Kweli kuna vichwa vyenye ubongo wa kujitambua na vingine ni kifuga nywele na kuvukia barabara

hivi maana ya etc hauelewi? au ndio akili yako ya kufikia imeishia hapo? ulitaka nitaje zote?
ebu fikiria kwanza sio kukurupuka tu! hiyo CISA umeona ni ya uhasibu?
acha umbulula!!!!
 
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.

Shule ya msingi ========= 7 years.

O-Level ========== 4 years.

A- Level =========== 2 years.

Degree ya kwanza =========3 au 4 years.

Jumla : Miaka 16 au 17.

Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?

Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.

Dah! Mbulula huyu
 
Back
Top Bottom