Kufanya masters, phd ni uoga wa maisha.

Kufanya masters, phd ni uoga wa maisha.

Nakushauri upeleke proposal ktk mamlaka husika ili levo ya Mastaz na phd zifutwe.
 
Wengine shule ni sehemu ya kupumzika manake akili za darasani zipo tu. Relax, kama wewe huna hiyo chance endelea na kinachokusaidia. Ila ukitaka kujua siri ya mafanikio ya kina bhakhresa kaangalie bodi ya wakurugenzi wake, ambao ni wanae uone cv zao.
 
waacheni macadeicians waliopo vyuoni wakafanye hizo masters na p.h.d, sio wewe mwenzangu na mimi, G.P.A yenyewe 2.1, umekaa mtaani mwaka mmoja, miwili umeshindwa kupambana, unanyanyua mikono, unazuga kutafuta masters, qualifications zenyewe za kusoma masters, hauna, inabidi ufanye post graduate kwanza, mwaka mmoja na miezi minane , nyambaff, after post graduate, unaomba masters, hela huna unaanza kusumbua wanaume wakuchangie..nyambaff. Mbona vitu vya kufanya vipo vingi sana! Elimu ni ufunguo wa maisha, na kazi ya ufunguo ni kufungua milango na madirisha yaliyo fungwa, kama degree yako imeshindwa kukusaidia kufungua milango ya changamoto za maisha, masters and p.h.d will neva do anything for you. Utabika kulaumu wachawi bure, kumbe aliyekuroga wewe, ni mwanga yuleyule, aliyekataa kukupeleka SHULE YA KITAA, ndo hii nayo kupa, hakika itakufaa kwenye shida na raha, shauri yako ukiikataa, utakuja kupatwa na mabalaa weye...Shahada ya uzamivu, umekuwa kaboneke wewe!

Vitu vya kufanya viko vingi sana hata kama hujaenda chekechea, usipeleke watoto wako shule, okoa muda wao wape ya kitaa!
 
Hivi profesa maji marefu alifanyia wapi Phd yake vile?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Acheni ujinga nyie. Degree moja inatosha sana..

Mkuu kama si muoga wa maisha hata bachelor usingeisoma basi. BTW kuna dili ya GNLD kama vipi nikuunganishie kaka...
 
Mleta mada me nakusupport,kula 5!

Masters kibongo bongo haziongez chochote kichwani!watu wanakomalia tu ili kampunga ofisin kaongezeke!
Wengine wanasoma tu ili kuweka heshma!
Ila kiukweli haikujengi kabisa katika kukabiliana na changamoto!

Wengine tumefanya tu kutimiza wajibu!

Huwezi ukafananisha masters na certification kama ACCA,CPA,CISA etc!
Hizi kiukweli ndio zina content zinazoeleweka na hata maofisi ya ukweli ndio wanazithamin kuliko hizi masters zetu za kupitia pale mzumbe jion tukisubiri foleni ipungue turudi Boko,bunju!

Ataetukana atakuwa haeshimu mfungo wangu!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
na kwa tanzania mtu alie kaa shuleni kwa miaka hiyo,kujiajili hawezi!...huyo bila kuajiliwa ni sawa 0....
 
Kama haupo kwenye academic field, upo kwenye real practical world sizani kama PHD inahusika,, na hata Masters bila experience sizani kama ina msaada katika ulimwengu wa sasa..

Basic university degree kama umeisoma vizuri ukaelewa jinsi ya kuiweka knowledge kwenye uhalisia ni mtaji tosha wa kufika unapotaka

Unaweza pitia wikipedia for more details but Kampuni kubwa zinazotingisha duniani kama Toyota, Sony, Samsung, NSN, Ericsson, Huawei na zinginezo zinaongozwa na watu wenye degree moja tu lakini wana experience za kufa mtu na wanajua wanachokifanya..

Kwa mtu waliopo kwenye operational field as Logistics, Port management, operations management etc sioni kama wana umuhimu wa kusoma ma PHD wakati nature ya kazi yao inahitaji real practical experience
 
The mind of a man who goes on learning stays alive.....and he who thinks he knows all he needs to know,is ALREADY DEAD"
 
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.

Shule ya msingi ========= 7 years.

O-Level ========== 4 years.

A- Level =========== 2 years.

Degree ya kwanza =========3 au 4 years.

Jumla : Miaka 16 au 17.

Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?

Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.

haya ngoja waje wenyewe
 
Tanzania haitakaa ikombolewe unless watu wake kama hawa wakombolewe kwanza.

Kwa akili zake kidogo anadhani masters zote lazima usome miaka miwili.

Kwamba ukiwa na GPA ya 2.1 lazima ukafanye post graduate kwanza ili usome masters.

Sijui hata kama anajua maana ya post graduate.

Kwamba huwezi kufanya kazi huku ukiwa unasoma.

Hata hivyo mtu akiamua kusoma ni hiari yake, sijui kwa nini ikuwashie wewe?

Probably, hapo ulipo cheo chako kipo mashakani baada ya mwezio kwenda kupiga shule.



Hilo ni tatizo kubwa sana kwa elimu ya juu Tanzania. Yaani watu wakienda kusoma,wanataka full mshahara kila mwezi na anaishi bwenini, bila hivyo shule haiendeki?

Namshukuru mungu siishi kwenye system ya kupumbaza maisha, struggling but enjoying every moment of it.
 
hapa kinachojadiliwa ninini wakuu? tuelewesheni nasisi tuchangie.
 
Acheni ujinga nyie. Degree moja inatosha sana..

inakutosha wewe, kila mtu angesoma degree moja kama wewe ungepata walimu wa kukufundisha chuoni? Ungesoma theories zilizokuwa developed na kilaza kama wewe? Nani angefanya tafiti kuongeza 'pool of knowledge' kwa watakaosoma baadae? Anyway, ungepata GPA ya angalau 4 usingeweka huu uzi hapa.
 
mhhhh ... usitake watu wafuate unachowazA! KUSOMA SIO AJIRA, kila mtu na malengo na maisha yake! SO JALI MAISHA YAKO!
 
Kweli tz bwana! Mbna kuna mambo mengi sana ya kuyajadili humu? Kwn nalo la masters, phd ni jambo la kujadili kweli? Mbna ht hao waliosoma kote huko hatuwaoni mchango wao kwa taifa au kwa jamii. Mie naomba tufunge mjadala.
 
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.

Shule ya msingi ========= 7 years.

O-Level ========== 4 years.

A- Level =========== 2 years.

Degree ya kwanza =========3 au 4 years.

Jumla : Miaka 16 au 17.

Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?

Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.

Nikiambiwa nieleze wewe ni mtu wa gani, kwa maneno machache nitasema 'MVIVU WA KUFIKIRI'.
Kwa kukusaidia tu ni kwamba:-
  1. Si kweli hata kidogo kuwa wote wanaosoma shahada za juu (uzamili na uzamivu) wanaunganisha kutoka shahada ya kwanza kwenda uzamili na hatimaye uzamivu. Fanya utafiti tu mdogo, utagundua kuwa wengi wanafanya kazi kwanza kabla ya kuamua kurudi shule tena.
  2. Shahada ya kwanza inakusaidia tu kukupa uelewa wa taaluma uliyosoma kwa ujumla. Shahada za juu zinakuongezea maarifa, ujuzi na umahiri zaidi katika fani hiyo. Kama unafikiri hicho ulichokipata kwenye shahada ya kwanza kinakutosha kutamba nacho mtaani kama ulivyofanya katika uzi huu, nakuhakikishia kuwa umeshika sikio la tembo tu na sasa unasimulia kila unayekutana naye kuwa umemwona tembo mzima.
  3. Kama ulipata GPA 2.7 (gentle man's pass) basi hilo ni tatizo jingine ambalo linathibitisha kauli yangu kuwa wewe ni 'mvivu wa kufikiri' maana ni wachache sana wanaofaulu kwa kiwango cha chini hivyo!
 
Back
Top Bottom