waacheni macadeicians waliopo vyuoni wakafanye hizo masters na p.h.d, sio wewe mwenzangu na mimi, G.P.A yenyewe 2.1, umekaa mtaani mwaka mmoja, miwili umeshindwa kupambana, unanyanyua mikono, unazuga kutafuta masters, qualifications zenyewe za kusoma masters, hauna, inabidi ufanye post graduate kwanza, mwaka mmoja na miezi minane , nyambaff, after post graduate, unaomba masters, hela huna unaanza kusumbua wanaume wakuchangie..nyambaff. Mbona vitu vya kufanya vipo vingi sana! Elimu ni ufunguo wa maisha, na kazi ya ufunguo ni kufungua milango na madirisha yaliyo fungwa, kama degree yako imeshindwa kukusaidia kufungua milango ya changamoto za maisha, masters and p.h.d will neva do anything for you. Utabika kulaumu wachawi bure, kumbe aliyekuroga wewe, ni mwanga yuleyule, aliyekataa kukupeleka SHULE YA KITAA, ndo hii nayo kupa, hakika itakufaa kwenye shida na raha, shauri yako ukiikataa, utakuja kupatwa na mabalaa weye...Shahada ya uzamivu, umekuwa kaboneke wewe!
Acheni ujinga nyie. Degree moja inatosha sana..
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.
Shule ya msingi ========= 7 years.
O-Level ========== 4 years.
A- Level =========== 2 years.
Degree ya kwanza =========3 au 4 years.
Jumla : Miaka 16 au 17.
Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?
Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.
Hilo ni tatizo kubwa sana kwa elimu ya juu Tanzania. Yaani watu wakienda kusoma,wanataka full mshahara kila mwezi na anaishi bwenini, bila hivyo shule haiendeki?Tanzania haitakaa ikombolewe unless watu wake kama hawa wakombolewe kwanza.
Kwa akili zake kidogo anadhani masters zote lazima usome miaka miwili.
Kwamba ukiwa na GPA ya 2.1 lazima ukafanye post graduate kwanza ili usome masters.
Sijui hata kama anajua maana ya post graduate.
Kwamba huwezi kufanya kazi huku ukiwa unasoma.
Hata hivyo mtu akiamua kusoma ni hiari yake, sijui kwa nini ikuwashie wewe?
Probably, hapo ulipo cheo chako kipo mashakani baada ya mwezio kwenda kupiga shule.
Acheni ujinga nyie. Degree moja inatosha sana..
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.
Shule ya msingi ========= 7 years.
O-Level ========== 4 years.
A- Level =========== 2 years.
Degree ya kwanza =========3 au 4 years.
Jumla : Miaka 16 au 17.
Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?
Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.