Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
sisi wengine tumepiga adi masters kwa sababu ya kuipa sifa familia lakin tulishajiandaa na maisha toka secondary.
vyet vipo kwa kabati tu.
vyet vipo kwa kabati tu.
Basi rekebisha kichwa cha habari, vinginevyo watake radhi madocta na maprofesa wote, kwa kuwaita waoga wa maisha..!!Sina tatizo na waalimu wa vyuo vikuu, kwa sababu inabidi wasome hizo masters na phds, hapa nawazungumzia hawa weenzangu na mimi, G.P.A haisomi, yupo mtaani, haajariwa na taasisi yote ya kitaaluma, ameshindwa kupambana na changamoto za maisha, then anakuja na proposal ya kufanya masters and all that.
Basi rekebisha kichwa cha habari, vinginevyo watake radhi madocta na maprofesa wote, kwa kuwaita waoga wa maisha..!!
kwi kwi kwi, umetisha kaka. kula tano.
Sina tatizo na waalimu wa vyuo vikuu, kwa sababu inabidi wasome hizo masters na phds, hapa nawazungumzia hawa weenzangu na mimi, G.P.A haisomi, yupo mtaani, haajariwa na taasisi yote ya kitaaluma, ameshindwa kupambana na changamoto za maisha, then anakuja na proposal ya kufanya masters and all that.
Postgraduate ya kabla ya master's ndo ikoje hiyo?
Mkuu formal education ndivyo ilivyo unapata confidence kwa kuwa na vyeti vingi na sio ufanisi.Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.
Shule ya msingi ========= 7 years.
O-Level ========== 4 years.
A- Level =========== 2 years.
Degree ya kwanza =========3 au 4 years.
Jumla : Miaka 16 au 17.
Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?
Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail. Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.
Acheni ujinga nyie. Degree moja inatosha sana..
Hao hao baadae wanakuwa kina Mulongo, Maghembe, Mungai yaani hadi ukianza na title ya Prof unasikia kinyaa.
Acheni ujinga nyie. Degree moja inatosha sana..