Kufanya masters, phd ni uoga wa maisha.

Kufanya masters, phd ni uoga wa maisha.

Mtoa mada nadhani alikuwa anatafuta point za kwenye debate...... Na ameshapata ndo maana kala kona.
 
We unasema degree moja inatosha kuna wenzako La Saba na wametoka kimaisha kwaiyo wakuite na wewe uliyeenda chuo muoga???? Thnk twice kijana.
 
Navyopenda kusoma ningepata sponsor wa phd hata kazi ningeacha nikasome.by the way napenda jinsi watu wanavyojaribu kulinganisha maji ya bahari ya Hindi na ya mto Ruvuma
 
Weeee mwana weeee...! Bila mimi kuwa na hii PHD nani angekufundisha mpaka ukapata hiyo Degree yako moja? Hebu tupeni heshima zetu Alaaaaaaah..!
 
Mleta mada me nakusupport,kula 5!

Masters kibongo bongo haziongez chochote kichwani!watu wanakomalia tu ili kampunga ofisin kaongezeke!
Wengine wanasoma tu ili kuweka heshma!
Ila kiukweli haikujengi kabisa katika kukabiliana na changamoto!

Wengine tumefanya tu kutimiza wajibu!

Huwezi ukafananisha masters na certification kama ACCA,CPA,CISA etc!
Hizi kiukweli ndio zina content zinazoeleweka na hata maofisi ya ukweli ndio wanazithamin kuliko hizi masters zetu za kupitia pale mzumbe jion tukisubiri foleni ipungue turudi Boko,bunju!

Ataetukana atakuwa haeshimu mfungo wangu!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

kwa hiyo elimu ni uhasibu tuu????!!!!!!

Kweli kuna vichwa vyenye ubongo wa kujitambua na vingine ni kifuga nywele na kuvukia barabara
 
Hivi hapa mnaongelea nini wakuu??Maana sielewi kabisa!
 
basi rekebisha kichwa cha habari, vinginevyo watake radhi madocta na maprofesa wote, kwa kuwaita waoga wa maisha..!!

acha kukurupuka mbona maelezo yake yanajitosheleza? Kuna mhadhiri yeyote hapa tanzania mwenye gpa ya 2.1? Kama yupo mtaje upesi?
 
Acheni ujinga nyie. Degree moja inatosha sana..
kama wote wakiishia digrii moja hao wa kuwafundisha hiyo degree moja watatoka wapi kama wote tukiwa na mawazo mgando kama yako!!!
 
waacheni macadeicians waliopo vyuoni wakafanye hizo masters na p.h.d, sio wewe mwenzangu na mimi, G.P.A yenyewe 2.1, umekaa mtaani mwaka mmoja, miwili umeshindwa kupambana, unanyanyua mikono, unazuga kutafuta masters, qualifications zenyewe za kusoma masters, hauna, inabidi ufanye post graduate kwanza, mwaka mmoja na miezi minane , nyambaff, after post graduate, unaomba masters, hela huna unaanza kusumbua wanaume wakuchangie..nyambaff. Mbona vitu vya kufanya vipo vingi sana! Elimu ni ufunguo wa maisha, na kazi ya ufunguo ni kufungua milango na madirisha yaliyo fungwa, kama degree yako imeshindwa kukusaidia kufungua milango ya changamoto za maisha, masters and p.h.d will neva do anything for you. Utabika kulaumu wachawi bure, kumbe aliyekuroga wewe, ni mwanga yuleyule, aliyekataa kukupeleka SHULE YA KITAA, ndo hii nayo kupa, hakika itakufaa kwenye shida na raha, shauri yako ukiikataa, utakuja kupatwa na mabalaa weye...Shahada ya uzamivu, umekuwa kaboneke wewe!
piia hii....
Tanzania haitakaa ikombolewe unless watu wake kama hawa wakombolewe kwanza.

Kwa akili zake kidogo anadhani masters zote lazima usome miaka miwili.

Kwamba ukiwa na GPA ya 2.1 lazima ukafanye post graduate kwanza ili usome masters.

Sijui hata kama anajua maana ya post graduate.

Kwamba huwezi kufanya kazi huku ukiwa unasoma.

Hata hivyo mtu akiamua kusoma ni hiari yake, sijui kwa nini ikuwashie wewe?

Probably, hapo ulipo cheo chako kipo mashakani baada ya mwezio kwenda kupiga shule.

 
sisi wengine tumepiga adi masters kwa sababu ya kuipa sifa familia lakin tulishajiandaa na maisha toka secondary.
vyet vipo kwa kabati tu.


Kijana kadanganye watoto wenzako
Facebook na pia kwa ushauri tu ukidanganya uwe na kumbukumbu.

Ni rahisi sana kuandika kwenye Keyboard au unafikiri Masters ni Matak.o kila mtu anayo? uwe na masters halafu thread zako za kipumbav.u eti "Rafiki zangu wanataka nioe dada zao"
 
Nakupa tano mtoa mada.
Kusoma bado sio njia sahihi ya kutoka kimaisha. Sometime hata machinga wengine wamewafunika wenye degree.
Mnaoweza kusoma someni tu msikate tamaa maana at least mna uhakika wa kutolala njaa ila sio maisha makubwa ya kujivuna..
Watakaokula maisha ni wale wa kuwin biashara na kaufisadi kidogo
 
M23 at work.........! hii vita ya propaganda dhidi ya nchi yetu tuvipinge kwa nguvu zote
 
Back
Top Bottom