Kufanya masters, phd ni uoga wa maisha.

Kufanya masters, phd ni uoga wa maisha.

Mleda mada ana hoja jamani.ebu tujaribu kuangalia ma CEO kwenye makampuni makubwa ulimwenguni kama microsoft au Oracle tuone kama wana hzo masters au phd,weng wao ni bachelor holders.
 
Kwa hii post umejidhihirisha ulivyo mweupe kwa hoja.....unakiri mtu kaajiri wasomi then kapata mafanikio ya kutosha then wewe unapinga umuhimu wa elimu za kueleweka. Unajua unachokitetea kweli wewe? au ndo stimu za kulanduka?

Hapo ndo na mi kanishangaza mkuu!
 
nadhani inategemea unaamini nn katika elimu km ni upate kazi ama uwe mtaalamu wa kitu basi ni ww tu ila kufaulu maisha hakuna theory inayocollocate na elimu.
 
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.

Shule ya msingi ========= 7 years.

O-Level ========== 4 years.

A- Level =========== 2 years.

Degree ya kwanza =========3 au 4 years.

Jumla : Miaka 16 au 17.

Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?

Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail.

Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.
Huwezi kujua uzuri au ubaya wa jail mpaka uwe umewahi kufungwa, sasa wewe hujachukua hiyo Masters au PhD utajuaje raha au ubaya wake?
 

BEST BUSINESS MAN THAT EVER LIVED......YOU KNOW WHY?ALIISHIA DARASA LA SABA BABANGU TENA KIJIJINI HUKO .LESS THAN 10 YRS AFTER MOVING TO DASLAMHE OWNED A CONSTRUCTION COMPANY -HIRED HIGHLY EDUCATED ENGINEERS, EDUCATED ACCOUNTANTS , ETC.I MEAN, A MAN FROM A POOR FAMILY UPARENI HUKO WAS HIRING MEN 1,000 TIMES MORE EDUCATED THAN HIM AND THEY NEVER FOOLED HIM.......MY DAD WAS A GENIUS......
R.I.P

Source : http://www.u-turn.co.tz/

Hapa mkuu ndo uliponiacha hoi!
Unajivunia baba yako kuajiri wasomi ambao walifanya kampuni ifanye vzr!so wasingekuwepo hao wasomi ambao leo hii unawaponda hapa nani angeendesha hyo kampuni?
 
".... na kazi ya ufunguo ni
kufungua milango na MADIRISHA
yaliyo fungwa...."
duh, kazi ipo!
Dirisha kufunguliwa kwa Funguo!
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wanapenda sana maisha ya uanafunzi, utafikiri walizaliwa ili wasome.

Shule ya msingi ========= 7 years.

O-Level ========== 4 years.

A- Level =========== 2 years.

Degree ya kwanza =========3 au 4 years.

Jumla : Miaka 16 au 17.

Umekaa shuleni kwa muda wa miaka kumi na saba lakini bado hauna uwezo wa kutumia elimu na maarifa uliyo yapata shuleni kukabiliana na changamoto za maisha? Still unataka kwenda kufanya masters, miaka miwili, after masters, unataka tena PHD miaka 3, we vipi wewe?

Ukiniambia nimuelezee mtu wa namna hii kwa maneno machache , nitasema ' MUOGA WA MAISHA ". Anaogopa ugumu wa maisha, anashindwa kuzi face changamoto za maisha ( e.g ukosfu wa ajira ). Anataka aendelee kuonekana mwanafunzi ili kuutumia uanafunzi wake kama excuse ya kuwa broke. Let me tell you brother, the only excuse of being broke is to be in jail.

Achana na hizo bla blah za masters na PHD, piga kazi mjomba tujenge taifa letu. GPA yenyewe ya 2.1, masters mpaka ukafanye post graduate kwanza, dah watu wanajua kuua muda. Ukomboe wakati bro, siku ya mwisho utahukumiwa kwa kosa la ku ua muda. Nyambaff, unasoma hadi PHD halafu ukimaliza unaanza kutembea kwenye ofisi za watu na bahasha za kaki.

I am sorry for you
 
Hapa mkuu ndo uliponiacha hoi!
Unajivunia baba yako kuajiri wasomi ambao walifanya kampuni ifanye vzr!so wasingekuwepo hao wasomi ambao leo hii unawaponda hapa nani angeendesha hyo kampuni?
Kwa kauli zake tu unaweza kumuelewa kama ni mtu wa namna gani. Hawa ndiyo wale waliotoka na pass vyuo vikuu, wakarithi mali za baba yao, na sasa wanaendesha biashara kwa mgongo wa mali za baba zao halafu wanajifanya kuwaponda masikini ambao wakimaliza shule hawana hata pa kuanzia maisha. Sanasana aingie kwenye ajira ya ualimu ya kulipwa mshahara usiotosha hata nauli ya kwendea kazini. Sasa huyu kwanini asitafute elimu zaidi ili aweze kuishi maisha yenye unafuu? Lakini haya matatizo yanawakabili wengi hapa nchini. Ni kama vile wale mafisadi wanapopropose kodi ya simu halafu wanaambiwa eti maskini hawataweza kulipia hiyo 1000, wanaona ni ajabu kweli, maana wao wangeweza kulipa hata kama ingekuwa ni 10000 kwa mwezi. Likewise, huyu LIKUD aliyerithi mali za babake, na wala hajui uchungu wa kuzitafuta.
 
Last edited by a moderator:
Vision ya Tanzania 2025
.........
1.2.4 A Well Educated and Learning Society
Tanzania envisages to be a nation whose people are ingrained with a developmental mindset and competitive spirit. These attributes are driven by education and knowledge and are critical in enabling the nation to effectively utilize knowledge in mobilizing domestic resources for assuring the provision of people's basic needs and for attaining competitiveness in the regional and global economy. Tanzania would brace itself to attain creativity, innovativeness and a high level of quality education in order to respond to development challenges and effectively compete regionally and internationally, cognisant of the reality that competitive leadership in the 21[SUP]st[/SUP] century will hinge on the level and quality of education and knowledge. To this effect, Tanzania should:

  • Attain self reliance driven by the psychological liberation of the mindset and the people's sense of confidence in order to enable the effective determination and ownership of the development agenda with the primary objective of satisfying the basic needs of all the people - men, women and children.
  • Be a nation whose people have a positive mindset and a culture which cherishes human development through hard work, professionalism, entrepreneurship, creativity, innovativeness and ingenuity and who have confidence in and high respect for all people irrespective of gender. The people must cultivate a community spirit; one which, however, is appropriately balanced with respect for individual initiative
  • Be a nation with high quality of education at all levels; a nation which produces the quantity and quality of educated people sufficiently equipped with the requisite knowledge to solve the society's problems, meet the challenges of development and attain competitiveness at regional and global levels.
1.2.5 A strong and Competitive economy
Tanzania should have created a strong, diversified, resilient and competitive economy which can effectively cope with the challenges of development and which can also easily and confidently adapt to the changing market and technological conditions in the regional and global economy ...................

Source>>>
THE TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025

Mindset za watanzania wenzetu bado hazijashika mwenendo mpya kuelekea Tanzania tunayoitaka.
 
Mleda mada ana hoja jamani.ebu tujaribu kuangalia ma CEO kwenye makampuni makubwa ulimwenguni kama microsoft au Oracle tuone kama wana hzo masters au phd,weng wao ni bachelor holders.
Usisahau kuangalia na Rais wako, Spika wako wa bunge pamoja na Waziri mkuu wao pia
 
Hizi fikra nyingine ni kama za mfu!! Fanya yako,wewe piga kazi,yeye aende shule, everyone has got his/her own path of life, akienda kusoma wewe inakuathiri kitu gani endapo hata shilingi ya ada hutoi. Inaonekana una bifu na mtu, ni bora ungemalizana nae hukohuko. Dont act GOD trying to determine others' path to life.
 
Inaonekana mpo wengi sana humu

Kuna watu wanaamini katika kusoma mpaka basi. Wakati ni fact kwamba wagunduzi wengi na wafanyabiashara wakubwa na walio na mafanikio zaidi in either degree holders au chini ya hapo. Huwa nawashauri rafiki zangu badala ya kusoma sijui masters sijui PhD kwani wasikae na kufanyia kazi elimu waliyo nayo?

Of course kwa mtu anayesoma kutafuta professional qualification, e.g. CPA, ACCA, ICSA, etc huyo namwelewa. Nimeshakutana na "consultants" wengi wa kibongo wenye masters na Ph.D yaani mambo mengin ndani ya fileds zao hawayaelewi kabisa. Labda wa huko majuu.
 
Master na PHD zikisimamiwa vizuri ni chanzo cha wataalam ambao watafanya utafiti na kutafuta njia rahisi za kupambana na changamoto za maisha yetu.So wacha vijana wasome hasa wale waliojiweka tayari yaani wenye ajira na kuajiriwa au kujiajiri.
 
uwezo wa darasani sio mk*nd* kwamba kila mtu anao, kuweza kutoka hatua moja kwenda nyingine katika shule ni lazima uwe na uwezo wa ziada kuliko wenzio, ni kama mbio za riadha, mtu akikuacha hupaswi kupiga kelele ni kwa vile huna uwezo.

Tusisifie ujinga kwa vile uwezo umeishia hapo!!!!!
 
Kwa mtazamo wa mtoa mada ndo mana hatuendelei....elimu inakuwa kila cku we baki na degree tu...
 
uwezo wa darasani sio mk*nd* kwamba kila mtu anao, kuweza kutoka hatua moja kwenda nyingine katika shule ni lazima uwe na uwezo wa ziada kuliko wenzio, ni kama mbio za riadha, mtu akikuacha hupaswi kupiga kelele ni kwa vile huna uwezo.

Tusisifie ujinga kwa vile uwezo umeishia hapo!!!!!
Yaani tusome na tupige shule tuwezavyo,nina mpango wa kuelekea netherlands hivi karibuni,lakini kwangu mimi ninasoma siyo kwa malengo ya pato kubwa la hasha...ninasoma ili kuongeza ujuzi kichwani unisaidie mimi na wenzangu wengi.Kuhusu kipato nina miradi mingi kuanzia kilimo mpaka ufugaji inayonipa pato la zaidi ya 200milions per year.
Kinachonikera mimi na huu ndo ukweli wenyewe,vijana wengi wanapiga shule ili baadae wawe na pato kubwa.Kama sio motive ya kipato kikubwa thereafter,yaani pato la mtu linge-remain constant bila kujali elimu,nadhani unajua nini kingetokea!watu wasingegusa hata degree moja amini nawaambia...Shida ya watanzania wengi ni KIPATO kikubwa na sio ELIMU kubwa,hate it or like it!
 
Back
Top Bottom