Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 4,504
- 9,941
Maisha ya binadamu ni mafupi sana, nayo yamejaa tabu na dhiki na raha kidogo. Kwa wengi.
Ila kuna muda kwa maoni na uzoefu wangu naona ndio muda mzuri, ila pia ni mfupi.
Ni muda wa Ujana , kabla haujawa na majukumu mengi ya kukukaba na kabla nguvu, ashki, ari, hamasa hazijaanza kupungua.
Miaka 19-30 , kwangu ni muda sahihi wa Kijana Kufurahia maisha.
Umri huu ni muhimu kwa sababu ni umri wenye nguvu nying, uhuru wa kujaribu mambo mapya mara kwa mara, na fursa ya kujenga msingi imara wa maisha yako ya baadaye.
Kipindi hiki kinakupa nafasi ya kujitambua na kuwekeza kwenye ndoto zako bila majuto ya uzee.
Kwa vijana wote. Enjoyin Ujana. Ila usile sana ukasahau kujenga msingi imara.
Nimewaza haya coz naona jinsi umri wangu unavyosogea , majukumu yanaongezeka, hamasa ya kuenjoy maisha inapungua, kuna vitu nilikuwa navipa vipaumbele enzi za Ujana ila kwa sasa navipuuzia.
Kwahiyo . Kama ukipata nafas . Na ukiwa Kijana. Enjoy maisha yako. Hayajirudii tena. Yakienda yameenda.
Ila kuna muda kwa maoni na uzoefu wangu naona ndio muda mzuri, ila pia ni mfupi.
Ni muda wa Ujana , kabla haujawa na majukumu mengi ya kukukaba na kabla nguvu, ashki, ari, hamasa hazijaanza kupungua.
Miaka 19-30 , kwangu ni muda sahihi wa Kijana Kufurahia maisha.
Umri huu ni muhimu kwa sababu ni umri wenye nguvu nying, uhuru wa kujaribu mambo mapya mara kwa mara, na fursa ya kujenga msingi imara wa maisha yako ya baadaye.
Kipindi hiki kinakupa nafasi ya kujitambua na kuwekeza kwenye ndoto zako bila majuto ya uzee.
Kwa vijana wote. Enjoyin Ujana. Ila usile sana ukasahau kujenga msingi imara.
Nimewaza haya coz naona jinsi umri wangu unavyosogea , majukumu yanaongezeka, hamasa ya kuenjoy maisha inapungua, kuna vitu nilikuwa navipa vipaumbele enzi za Ujana ila kwa sasa navipuuzia.
Kwahiyo . Kama ukipata nafas . Na ukiwa Kijana. Enjoy maisha yako. Hayajirudii tena. Yakienda yameenda.