secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,448
- 28,950
Ngono ndo inayofanya tuendelee kuwepo kwa dunia.Yaani watu wa humu wanawaza ngono tu😂😂😂sasa mimi naongelea mji yeye anaongelea kibumbu
#Ngono ni maisha
Ngono ndo inayofanya tuendelee kuwepo kwa dunia.Yaani watu wa humu wanawaza ngono tu😂😂😂sasa mimi naongelea mji yeye anaongelea kibumbu
Kusema ukweli wazawa wa Arusha ni washamba na limbukeni sana ila Arusha kama Arusha imekaa poa sana, kama umeenda Kwa lengo la vacation utaenjoy sana ila kama ni mpitaji then utapachoka haraka sanaNimegeneralize maana wakazi wa Arusha the way wanavyoiongeleaga Arusha utasema Arusha nzima ni Njiro....utasikia Dar uswahilini sana mbona huku uswahili umejaa kishenzy...Zenj mpango sana
Inategemea ametoka wapi, labda ametoka Dallas au compton huko, lazima apadharau arusha, ila kwa level za kitanzania bado watu wa arusha has something to brag about.Kila anayefika hapo lazima aseme hivyo.
Huwa najiulizaga kwanini wachaga wengi wapo vizuri kiuchumi ila mkoa wao hawauendelezi ipasavyo?Nimeenda zangu arusha nikajichanganya kupiga misele ya hapa na pale saa 12 jioni mara nipo kwa morombo nikashangaa nyama choma pale na wale wamasaiii mishale ikasogea mara saa tatu na midakika hapo magetoni ni ngaramtoni
Basi dandia vigari vyao vile vidunchu kama kiberiti nikashuka posta ndio mwisho... oyaaa hiyo posta night sio kali lakini imeshakuwa dorooo, mjini kumetepeta raia ni wakuhesabu na usafiri kipengele boda boda zinapita hata hazina time na wewe, nilikanya mguu mpaka mianzini miksa mvua inanyesha, miksa kuloa miksa jogging. mianzia nakutana na mduanzia boda anataka buku 4. daah
Yani nili laani sana hiyo arusha. hakuna maajabu kabisa zaidi ya watoto wakike wazuri weupe wanapenda kusuka rasta ndeeefu
Nenda kimvulini huko Njiro inasubiri sana haujatembea ndugu yangu ningekupa location ufike kwa muda wako huko mikahawani viwanja viliuzwa kwa dollar na ni marufuku kujenga ukuta kwa ajili ya fence wanaweka maua tu ili mazingira ya hali ya hewa yasibadilike kwa wageni wengi wanaokuja Arusha mmeshikilia Njiro njiro wakati yapo maeneo Njiro inasubiri sana.Nimegeneralize maana wakazi wa Arusha the way wanavyoiongeleaga Arusha utasema Arusha nzima ni Njiro....utasikia Dar uswahilini sana mbona huku uswahili umejaa kishenzy...Zenj mpango sana
Nipo Arusha sidhani kama pana kijiji kina magorofa kama Uchagani tema mate chini hao jamaa kuhusu maendeleo hakuna kabila linawafikia hasa huko kwao vijijini yameoteshwa majengo huko hatari..Huwa najiulizaga kwanini wachaga wengi wapo vizuri kiuchumi ila mkoa wao hawauendelezi ipasavyo?
Ngoja tukuibeHalafu mbona vijana wengi wana makovu ya visu halafu wanaongea lugha siilewi kuna nini huku jamani?
Kwenye swala la maendeleo hatuangalii tu magorofa tuangalie na uwekezaji.Nipo Arusha sidhani kama pana kijiji kina magorofa kama Uchagani tema mate chini hao jamaa kuhusu maendeleo hakuna kabila linawafikia hasa huko kwao vijijini yameoteshwa majengo huko hatari..
We nani kakwambia Arusha ni mkoa wa wachanga? Wachaga kwao ni kilimanjaroHuwa najiulizaga kwanini wachaga wengi wapo vizuri kiuchumi ila mkoa wao hawauendelezi ipasavyo?
Tanzania ni Nchi masikini na watu wake ni masikini over.Kwenye swala la maendeleo hatuangalii tu magorofa tuangalie na uwekezaji.
Ndo wapaendeleze huko Kilimanjaro.We nani kakwambia Arusha ni mkoa wa wachanga? Wachaga kwao ni kilimanjaro
Mimi sio mchaga ila wachaga wengi sio masikini.Tanzania ni Nchi masikini na watu wake ni masikini over.
Asante kwa taarifaKwema jamani
Jana na leo niko viunga vya jiji la Arusha,Yule aliyeubatiza huu mji Geneva of Africa atafutwe,akamatwe,achapwe bakora 13,ANYONGWE!....THE CITY IS OVERLY HYPED samahani washkaji zangu wooote wa A- town mkiongozwa na big Glenn .
Wakatabahu
Jo.
Nipo Arusha wapo wengi tu masikini hakuna kabila halina masikini Tanzania.Mimi sio mchaga ila wachaga wengi sio masikini.
Kila kabila lina masikini ila wachaga wengi wapo vizuri na wana connections. Mfano familia ya MengiNipo Arusha wapo wengi tu masikini hakuna kabila halina masikini Tanzania.