Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,309
- 2,568
Si unaona sasaaaa.... Embu alikika.. uoneMBAUDA,SAKINA,NGARENARO,NJIRO sasa wamesema naenda sehemu kibokoo kwa Mrombo sijui ndio niko hapa nafurahiafurahia
Si unaona sasaaaa.... Embu alikika.. uoneMBAUDA,SAKINA,NGARENARO,NJIRO sasa wamesema naenda sehemu kibokoo kwa Mrombo sijui ndio niko hapa nafurahiafurahia
Kwani pale Manzese ni wapi? kila mkoa kuna aina zote🤣🤣🤣🤣lakini si ndio Arusha?au huko Morombo ni Tanga?
Wadada wazuri unamaanisha?kweli nimewaonaUzur wa arusha ni hali ya hewa ya ubarid kwa sie tusiopenda kuoga kila siku hakuna cha zaidi ya hapo labda kidogo kwenye mabar yao kidogo macho hayawez kukosa kuona vitu vizur kutoka manyara na kilimanjaro
Kwa TZ hamna mkoa wa kufananisha na Dar.Kwema jamani
Jana na leo niko viunga vya jiji la Arusha,Yule aliyeubatiza huu mji Geneva of Africa atafutwe,akamatwe,achapwe bakora 13,ANYONGWE!....THE CITY IS OVERLY HYPED samahani washkaji zangu wooote wa A- town mkiongozwa na big Glenn .
Wakatabahu
Jo.
Same to chuga...Dar ina kila kitu...
Maji ya Chai, Uzunguni, Njiro, Kimvulini ngaramtoni ya juu na ya Chini sijui Sombetini na Moshono uimalize lisaa limoja daah karibu Chuga bhana...Sasa mji gani lisaa limoja umemaliza mji wote?huku miyayusho bwana
😂😂😂😂Halafu mbona vijana wengi wana makovu ya visu halafu wanaongea lugha siilewi kuna nini huku jamani?
Nenda snake Park kisongo TU hapo bebi ukacheki masnake, Kobe, ukapande na ngamia na mambo mengine meengi TU hapo kiingilio buku 3Mbona kanizungusha sana hadi tumemaliza mji we utanipeleka pande ipi😂