Kufananisha Dar es Salaam na Arusha

Kufananisha Dar es Salaam na Arusha

Tunapoifananisha Dar vs Arusha ni mkoa au Jiji

Kiufupi Arusha hasa ukianzia huku king'ori mpk kikatiti, maji ya chai na meru yote Kuna mazingira mazuri, japo ukipita njiani hutoona sana Ila ukiingia ndani huko ni kuzuri balaa,

Mji wa Arusha niseme upo kama Mlimani hvi ko unapata ladha ya Jiji, muonekano wa Mlima meru na ubaridi wake,

Jiji la Arusha Lina hotels nzuri sana sana,, restaurant standard, bar plus lounge na club kwa wenyeji na wageni wa mji huo,

Jiji la Arusha bhn usafr ni vihaisi vipanya hakuna daladala kama dar au DART,

ARusha napapenda sana, dar sana sana joto linatung'arisha tuu na hizi beach, na imeshakuwa ndo mji wa kibiashara Tz lazima uwe na utofauti na mikoa mingne yote
 
Nenda snake Park kisongo TU hapo bebi ukacheki masnake, Kobe, ukapande na ngamia na mambo mengine meengi TU hapo kiingilio buku 3
Toba toba toba....ukitaka ukanikatie Himo nipeleke kwenye hao wadudu....huku nimefurahia maua tu species nyingi
 
Hakuna mji wa kuulinganisha na Dar kwenye level ya kuwa jiji kwa Tanzania..

Labda ukizungumzia aspect flani ya maisha mfano gharama za maisha, hali ya hewa, chakula safi etc

Dar imezidiwa na mingiw
Umenena vyema...huu ukweli hawautaki
 
Tanzania jiji ilipaswa kuwa moja tu la Dar es Salaam
 
Asante mwanachugastani....huku hamna hata kofoleni kidogo?
Watu sio wengi sana na pia wanafanya shughuli tofauti ni tofauti na daslm wengi ni kutoka asubuhi na kurudi wakimaliza kazi Arusha saa hizi mtu anaenda/kurudi Porini.
 
Binafsi ukitoa baadhi ya sehemu za Dar kama Oysterbay, Masaki, Mbezi, Kigamboni, Posta na Mikocheni hamna sehemu nzuri ya kula maisha kushinda Arusha na Zanzibar Tanzania hii.

How comes umeenda sehemu umekaa siku mbili then unakuja kugeneralize vitu.

mind you sina vinasaba vyovyote na A-town
 
Binafsi ukitoa baadhi ya sehemu za Dar kama Oysterbay, Masaki, Mbezi, Kigamboni, Posta na Mikocheni hamna sehemu nzuri ya kula maisha kushinda Arusha na Zanzibar Tanzania hii.

How comes umeenda sehemu umekaa siku mbili then unakuja kugeneralize vitu.

mind you sina vinasaba vyovyote na A-town
Nimegeneralize maana wakazi wa Arusha the way wanavyoiongeleaga Arusha utasema Arusha nzima ni Njiro....utasikia Dar uswahilini sana mbona huku uswahili umejaa kishenzy...Zenj mpango sana
 
Back
Top Bottom