Kufananisha Dar es Salaam na Arusha

Kufananisha Dar es Salaam na Arusha

Ndiyo wajanja wa A town hao, Vipi lakin Vijana wa Dar na Vijana wa uko Arusha wapi kuna vijana Ma handsome boy ?
Bahati mbaya macho yangu siku hizi yanashindwa kutofautisha hicho kipengele,handsome ni pesa
 
Watu wanaojifanya wanaringa na dar ni watu waliotoka mikoani wakaenda dar ukubwani kwao wanaona dar kama Paris 😀 si ajabu anaona foleni ni maendeleo
Niliangalia hali ya hewa na kupoteza muda bara barani nikaona daslm sio sehemu sahihi kwangu nikachagua Arusha maisha yanaendelea ingawaje kwa wanaoanza maisha na mtaji unao Kariakoo ni sehemu sahihi sana na China...
 
We hasidi aliyeita Arusha Geneva ya Africa ni Bill Clinton nenda mfuate Marekani. Umetoka na ushamba ulikotoka Arusha utaielewa wapi. Rudi huko kwenu ushambani.
Nisharudi aisee bakini na Geneva yenu ya mchongo....
 
Kiukweli kabisa Arusha kwa Dar bado sana, na huu msimu ndio inazidi kuwa bado sana tena sana.

Nimekulia Arusha, nipo Arusha ila huu mji vijana (wa 2000s) ni washamba sana na hodari kwa mambo ya kijinga.
Bora wewe umesimamia ukweli aisee wengine wanabisha tu bora kubisha
 
Niliangalia hali ya hewa na kupoteza muda bara barani nikaona daslm sio sehemu sahihi kwangu nikachagua Arusha maisha yanaendelea ingawaje kwa wanaoanza maisha na mtaji unao Kariakoo ni sehemu sahihi sana na China...
Kwq hiyo umehamia Arusha?kabisa?
 
Wote sio familia ya Mengi ,Wachaga kwa Tanzania wengi wao wapo vizuri kwa kipato ila hoi hae pia wapo wengi tu..
Na huo ndio ukweli ambao housemaid kwqmba kuna wachaga maskini,na kuna maisha duni sana Arusha
 
MBAUDA,SAKINA,NGARENARO,NJIRO sasa wamesema naenda sehemu kibokoo kwa Mrombo sijui ndio niko hapa nafurahiafurahia
😂 Arusha ni mji wa kawaida sana ila kelele za kuinadi ndio nyingi lakini zaidi ya hali ya hewa hakuna kitu pale.

Mwaka jana mwezi May nilikuwa Arusha kwenye mkutano uliovurugwa na hawa mboga mboga, kwa hasira nikaamua kwenda kuzipoza kwa- Muromboo! 😲 Nilichokiona kule sikukielewa maana hakuna tofauti na uwanja wa fisi kule Manzese!.

Kama kawaida mwezi May tena nitakuwa Arusha kwa siku mbili, ila sioni hizo siku mbili nitazitumia kufanya nini zaidi ya kwenda Namanga nikazitumie upande wa Kenya....

Arusha kama ilivyo Lushoto ina madhari mazuri yenye hali ya hewa ya wastani. Arusha inafanana sana na miji miwili ya Goma na Gisenyi kule mashariki ya Congo na Rwanda... Udongo ni ule ule. 😆
 
😂 Arusha ni mji wa kawaida sana ila kelele za kuinadi ndio nyingi lakini zaidi ya hali ya hewa hakuna kitu pale.

Mwaka jana mwezi May nilikuwa Arusha kwenye mkutano uliovurugwa na hawa mboga mboga, kwa hasira nikaamua kwenda kuzipoza kwa- Muromboo! 😲 Nilichokiona kule sikukielewa maana hakuna tofauti na uwanja wa fisi kule Manzese!.

Kama kawaida mwezi May tena nitakuwa Arusha kwa siku mbili, ila sioni hizo siku mbili nitazitumia kufanya nini zaidi ya kwenda Namanga nikazitumie upande wa Kenya....

Arusha kama ilivyo Lushoto ina madhari mazuri yenye hali ya hewa ya wastani. Arusha inafanana sana na miji miwili ya Goma na Gisenyi kule mashariki ya Congo na Rwanda... Udongo ni ule ule. 😆
Ila wanavyosifia sasa,eti huku hakuna slums kumbe zipo tu...wanavyopasifia hapo kwa Muromboo sasa🤣🤣
 
Hata Mimi nikifika dar maeneo fulan huwaga najisikia na kichefuchefu Jiji gan Hilo? Ni hiyo bandar na Bahar au?? Au Hilo joto la kutembea vifua wazi?? Au sababu ya ikulu?
Viva Arusha
 
Back
Top Bottom