mayounger
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 721
- 697
Dah! kuwa na huruma mkuu 😂Arusha kawaida sana ni kama ni wilaya moja ya Temeke ,tena TEMEKE kuna vibes sana.
Dah! kuwa na huruma mkuu 😂Arusha kawaida sana ni kama ni wilaya moja ya Temeke ,tena TEMEKE kuna vibes sana.
ACha utani bhana..Arusha Jiji vs dsm Jiji right?
OK 👍Njoo pm nkutumie😊
Dsm iko mbele kwa kila kituACha utani bhana..
Arusha ni kijiji kizuri true. Ila Dar achana nayo..Dsm iko mbele kwa kila kitu
Lkn pia Arusha ina uzuri wake,
Ttz mtu anatoka dar anajua kila mji ni kama dsm kitu ambacho haiwezkn.
Arusha Geneva Of Africa
Hahahaha wana daresalama wanachekesha sanaArusha ni kijiji kizuri true. Ila Dar achana nayo..
Wanajifariji kuficha wanavotesekaHahahaha wana daresalama wanachekesha sana
Ndo hivyo ila. Dar watu wana tafu laifuWanajifariji kuficha wanavoteseka
Dar hata ukikutana na pisi imetumika mpaka basi 😄Ndo hivyo ila. Dar watu wana tafu laifu
Hahahaha dsm ni kuwa bado wanaolijaza Jiji ni sisi wa kuja, 😂Dar hata ukikutana na pisi imetumika mpaka basi 😄
Haitaweza kunyooka kwa sababu ya ukame na jua la pale labda kama capital city ingewekwa iringa.Hakuna mji wa Tanzania ulionyooka usio na kasoro. Labda Dodoma huko mbeleni itakuwa nzuri.
Iringa naipenda mno. Natumaini nitastaafia pale.Haitaweza kunyooka kwa sababu ya ukame na jua la pale labda kama capital city ingewekwa iringa.
Mbeya, iringa, mwanza na Arusha zikiwekwa miundombinu mizuri na kupangwa ndio itakua miji mizuri tz
Mji flan mdogo wa kishua sana hamna pilikapilika hali ya hewa nzuri vyakula bei nafuuIringa naipenda mno. Natumaini nitastaafia pale.
Jaman huyu manhdaw ni nani?
Mupenzi ya Smart911Jaman huyu manhdaw ni nani?