secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
He was nobody to somebody
Hawazijui wao au jumuiya ya kimataifa ndio hawazijui? Mimi mbona tarehe yangu ya kuzaliwa ninaijua mkuu? Au wewe ya kwako hauijui?...Watu wengi hata tarehe zao za kuzaliwa hawazijui
Rais Magufuli ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
View attachment 1594066
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
View attachment 1594151
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Aliyefanya tujue kuwa Nyerere kazaliwa tarehe hiyo ni nani kama sio yeye mwenyewe. ? ndio maana na sisi tukaijua.Hawazijui wao au jumuiya ya kimataifa ndio hawazijui? Mimi mbona tarehe yangu ya kuzaliwa ninaijua mkuu? Au wewe ya kwako hauijui?...
Hiyo sanamu ya namba tano itavunjwa ata kabla hakujakuchwa.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
View attachment 1594066
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
View attachment 1594151
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kwanini mkuu?Hiyo sanamu ya namba tano itavunjwa ata kabla hakujakuchwa.
Wale Mabeberu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Magufuli madini yetu yasingekuwepo.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
View attachment 1594066
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
View attachment 1594151
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mkuu ni vile tu Rais Magufuli anatoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi ni 98%.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
View attachment 1594066
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
View attachment 1594151
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tanzania haipo kwenye orodha ya Nchi maskini Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati Naamini miaka mitano ijayo Rais Magufuli ataitupeleka uchumi wa juu.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
View attachment 1594066
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
View attachment 1594151
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ccm haiwezi kuiba kura, Rais Magufuli anapendwa sana na Watanzania Pia usije ukamfananisha lowasa na huyo msaliti wa Nchi.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
View attachment 1594066
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
View attachment 1594151
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri Kwahiyo October tunampigia kura Magufuli kwa 98% Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
View attachment 1594066
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
View attachment 1594151
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mhhh? Sawa mkuu, ngoja nitafakari.Alizaliwa akiwa 'nobody’, amefariki akiwa Baba wa Taifa... tafakari!
Sawa mkuuAlipozaliwa hakuwa na impact yoyote katika taifa ila katika umri wake amelitumikia taifa na hivyo siku yake ya kufa inabaki Kama alama ya yale yote aliyoyafanya.
Poa mkuuNot sure anyway
JKN teacherShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania kuelekea 14 October.
Kwanini Nyerere day ni kumbukizi ya siku ya kifo cha muasisi, shujaa na mzalendo wa taifa letu na sio kuzaliwa kwake (April 13)?
View attachment 1594066
What's the logic behind? Ina maana kifo ni muhimu sana kuliko birthday?
Kwanini Nyerere Day sio April 13 ya kila mwaka kuanzia April 2000 mwaka mmoja baada ya kifo cha huyu baba yetu? Au;
Kwanini Karume day nayo pia ni siku ya kifo April 7 na sio siku ya kuzaliwa August 4?
OMBI LANGU: Ninaomba tuwe na sanamu ya Rais (Statue/Monument) katika makao makuu ya kila wilaya atokayo Rais husika.
View attachment 1594151
(1) Wilaya ya Butiama - Mwalimu J.K Nyerere (Nadhani ipo ingawa sina uhakika).
(2) Wilayani huko Pemba - Mzee A.H Mwinyi
(3) Wilaya ya Masasi - Mzee B.W Mkapa
(4) Wilaya ya Bagamoyo - Mzee J.M Kikwete.
(5) Wilaya ya Chato - Mzee J.P Magufuli
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.