fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,309
- 2,719
Inawezekana kwasababu mtu anapokufa watu wanasikitika na kuhuzunika sana.Muhubiri 7: 1
Jina ni bora kuliko mafuta mazuri, na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa kwa mtu
Inawezekana kwasababu mtu anapokufa watu wanasikitika na kuhuzunika sana.Muhubiri 7: 1
Jina ni bora kuliko mafuta mazuri, na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa kwa mtu
Sio kila jambo lazima lianzishwe na wengine, wewe pia unaweza kuwa trendsetter...Swala la kwanza hebu tutajie nchi yoyote duniani ambayo wanasherehekea/ wanaadhimisha birthdays za watu wao muhimu (let alone Jesus)
UongoInawezekana kwasababu mtu anapokufa watu wanasikitika na kuhuzunika sana.
MhhhUongo