Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,051
Angetenguliwa kiuno kabisa ili naye mke apate waku mpunguzia stress angetolewa na jicho kabisaHalafu yakiwakuta mbona waombe uzima!, cos yanaweza tokea mabaya zaidi. kuna binadamu wengine hawajali uhai, si wao si wa wengine.
Kuna kisa kimoja cha mume wa mtu kajichanganya na mchepuko kumbe mchepuko nao una wake. Wasije gongana siku moja na mume wa mtu katika Ugomvi aliumizwa vibaya nusu mauti. Toka apone katulia na mkewe hataki hata kusikia habari za michepuko.