Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Aah wapi mie nakwambia labda kama kaamua kubadilika mwenyewe
Hakuna anaye amua kubadirika rafiki yangu, wanaume huwa tuna tamaa sikatai lakini ni wepesi wa kubadirika, wewe unatakiwa ujue kilichombadirisha mpaka akawa siyo mwaminifu kwenye ndoa, either ni tamaa zake au ni wewe mwenyewe hapo utajua umbadirishe vipi, lakini akija ananuna na wewe unampotezea mnachofanya mnaharibu mustakabari wa familia yenu.
 
Pole mdada, umetegwa na bwana satan ukaingia mtegoni, kazi ya shetani ni kukupa vishawishi na majaribu.

Ni akili yako tu na moyo wako ndio vitakusaidia kushinda yote hayo.

Kwako wewe ulikua katika right path ila inaonekana shetani kashinda vita yake juu yako.

Pole tena kwa mara nyingine
 
Ha ha ha heshima gani ndugu? Wanandoa wasipoheshimiana hakuna heshima yoyote mtakuwa mnajidanganya mbele za watu lakini mbele za mungu na ndani ya mioyo yenu mnajua kabisa hapa hakuna ndoa.
Eti heshima, heshima my foot!! Kwa heshima gani hapo sasa!! Mume anakitembeza huko hadi na migonjwa kuleteana bado wanadai kuna heshima hapo! Maana yao ya heshima itakuwa ni ya mars.
 
Aah wapi, uniambie huyo ndio first wake? Hivi nani ameolewa na first wake...huyo ndio aweza kutojua sizes tofauti, otherwise mmmh!!
Mimi,na kizur zaidi nikamkuta yuko vizr kimapenz japo nilikuwa sijui nikajikuta kana kwamba ni mkongwe afu akanizoesha vibaya atanikuna saa mzima akiwa kachoka sana dk 45 huku nje nawasikia wadada wanalalamika waume zao akiingia tu kapiz bas nikajikuta kiukwel ni wa kwanza lkn sikutaman mwqnaume yeyote hata ya kuwajua sababu niliiuwa full na muhogo WA haja basi laaa ,so niseme wapo weng tuwalioolewa na WA kwanza wao.
 
Ndio maana nasema wadada jamani tusikimbilie kuolewa kabla hatujajipanga jamani kwa karne ya sasa kutegemea mwanaume kwa kila kitu ilikua zamani tusiwe tegemezi .... Ukiwa na cha kujishikisha anakuzingua unajiondokea unapanga unaanza maisha yako vizuri tuuu bila kusumbuliwa na mtu anayeitwa mwanaume
Unaolewa una miaka 20 ili iweje?
Ili ugundue mbadala wa oxygen
 
Ameeeen!! Unachomw duniani na mbinguni.
Halafu yakiwakuta mbona waombe uzima!, cos yanaweza tokea mabaya zaidi. kuna binadamu wengine hawajali uhai, si wao si wa wengine.
Kuna kisa kimoja cha mume wa mtu kajichanganya na mchepuko kumbe mchepuko nao una wake. Wasije gongana siku moja na mume wa mtu katika Ugomvi aliumizwa vibaya nusu mauti. Toka apone katulia na mkewe hataki hata kusikia habari za michepuko.
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Kakuzalisha watoto wangapi? Kama mnao watoto hicho sio kibamia, ni dume la mbegu.
 
Back
Top Bottom