andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,021
- 120,490
Hakuna cha kwenda mochwari wala icu, unaendaje kwamfano na watoto wanamtaka baba yao. Kwanini hawana uvumilivu hivyo jamani, si tuliapa kuvumiliana. Hebu waombe huko!!
espy unakaba mbayaHakuna cha kwenda mochwari wala icu, unaendaje kwamfano na watoto wanamtaka baba yao. Kwanini hawana uvumilivu hivyo jamani, si tuliapa kuvumiliana. Hebu waombe huko!!
espy unakaba mbayaSawa mkuu, nimeanza tangu jana![]()
![]()
ndo ufanye maombi sasa maana tumechoshwa.

Ooh yeah sasa umefika pazuri. Hao some women unaowaongelea wawepo kuwaridhisha nyie wanaume mafisi wengine wapo kwenye ndoa, mmewaoa wenyewe.Not all women were born to be respected mothers,some were born to serve sexual addicted men wherever they are.
Ndio nimeshatulia sina tatizo tena kwa sasa. Maana najua nini nataka. Nikikikosa huku nitapata kule. Maisha yanasonga saafi!kama umekubali kubanana ukikanyagwa kaa utulie.
apo nyumbani umefuga kuku umeleta mitetea saba jogoo mmoja..
umeshindwa kuchukua hako kamfano?
Hata ukichelewa ni yale yale!Ntachelewa kuoa kama ndiyo hivi,siwezi nikawa na mwanamke mzinzi,anashusha sana personality na anaaibisha sana ndugu zake hasa wanapoambiwa 'dada yenu yuko gesti au kwenye chumba cha msela anapiga kelele kinoumah'
Kwani mwanaume akiwa anachepuka hua anakusudi la kuvunja ndoa yake?kwanza nachepuka kwa siri sio achepukavyo mme.endelea kubomoa nyumba kwa mikono yako mwenyewe
Wewe na mume wako mna nyota ya ukimwi,,,Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Karibu shosti tulijenge taifaKWA RAHA ZAKO MAMA!
ukimwi HATA USINGECHEPUKA UNGEUPATA KWA TABIA YA MUMEO!
SASA SI BORA UUPATE NA WEWE UWE UMEPATA RAHA!
Ndio nimeshatulia sina tatizo tena kwa sasa. Maana najua nini nataka. Nikikikosa huku nitapata kule. Maisha yanasonga saafi!
watajisemesha hapaaaa ILA WANAJUA DEEP DOWN NA WAKE ZAO NDO WANAFANYA HIVI HIVI!AHAHAHAHAHHAHAHHAA HAISRA NI PALE WANAPOIMAGINE KUWA WAT IF ANAYEANDIKA HII SREDI NI MKE WANGU?wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
Kwani mwanaume akiwa anachepuka hua anakusudi la kuvunja ndoa yake?kwanza nachepuka kwa siri sio achepukavyo mme.
AH SIE NDO WAJENZI HURU WENYEWE ATIIIII!Karibu shosti tulijenge taifa
brokenhearted teenager advising another brokenhearted teenager.. and these girls wonder why they keep repeating the same old mistakes... maskini anamshauri maskini mwenzake jinsi ya kuwa tajiriKWA RAHA ZAKO MAMA!
ukimwi HATA USINGECHEPUKA UNGEUPATA KWA TABIA YA MUMEO!
SASA SI BORA UUPATE NA WEWE UWE UMEPATA RAHA!

HATAAA TUNADUMISHA NDOA!mdudu gani kawaingia nyie wanawake? mnashindana na madume.
Madume yamejisahau mkuu. Acha ile kwao!mdudu gani kawaingia nyie wanawake? mnashindana na madume.
Unatamanije unachokiandika kiwe ndicho ninachokiamini?brokenhearted teenager advising another brokenhearted teenager.. and these girls wonder why they keep repeating the same old mistakes... maskini anamshauri maskini mwenzake jinsi ya kuwa tajiri![]()
![]()
![]()