Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

watajisemesha hapaaaa ILA WANAJUA DEEP DOWN NA WAKE ZAO NDO WANAFANYA HIVI HIVI!AHAHAHAHAHHAHAHHAA HAISRA NI PALE WANAPOIMAGINE KUWA WAT IF ANAYEANDIKA HII SREDI NI MKE WANGU?

BASI POVU LINAWATOKAJEEEEEEEEEEEEE?
mwaya wanaume poleni!
TUNAELEWA MNAVOUMIA!
MSIJALI LAKINI HAYO MAUMIVU HUWA HAYAISHI WALA HAYAUI!
MBONA SIE HATUFI KLA SIKU!
NDOA NI UVUMILIVU JAMANI!
ndoa ni KATIKA SHIDA NA RAHA!
NDOA NI KUJISHUSHA
NDOA NI KUSUGUA GOTI

ahahahhahahahha
ndo mana wanawake wa siku hizi kuolewa inakua ngumu.. acha 2endelee kuwagegeda 2 mana hamna namna.
 
kama ulikuwa unajua hupati kitu mbona kipindi cha uchumba ulitumia nguvu kubwa sana kusaka ndoa mpaka leo sugu za magoti hazijaisha. ulikuwa unasali mdogo wangu ata Musa wa biblia ulimpita kwa kusugua goti.


kama hupati kitu dai talaka uone nywele zitakavyo nyonyoka.
Mbavu zangu
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
PUMBAFU WEWE.....MALAYA MWENYE SUGU.
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Ukiona mwenzio ana kibamia, ujue wewe una ziwa victoria.
 
NANI ANATAKA KUOLEWA ,WATU WANATAKA NDOA ILA HAKUNA ANAYETAKA KUOLEWA!

USIMIX VITU WEWE!
utakuaje na ndoa bila kuolewa? au kwasababu nyie mnaweza kuchamba hata kama hamjakunya basi unadhani kila kitu kinawezekana? ah ah ah ah
 
ndo mana wanawake wa siku hizi kuolewa inakua ngumu.. acha 2endelee kuwagegeda 2 mana hamna namna.
Huo msemo wa ndoa kuwa ngumu si za kweli. haya maharusi yanayoendele huyaoni mkuu? Na hizi kadi za michango ni kuku ndio wanaoana? Ndoa zipo na watu wanazidi kujiunga na chama. Asikwambie mtu ndoa tamu bwana...ni hivi vikero vidogodogo ndio tunawekana sawa hapa!
 
Kwani mwanaume akiwa anachepuka hua anakusudi la kuvunja ndoa yake?kwanza nachepuka kwa siri sio achepukavyo mme.
ahhahahahhahhha WANAUME WANASEMA HATA KAMA NACHEPUKA LAKINI WEWE NDO MKE WANGU !NINGEKUWA SIKUPENDI NINGEKUOA!



SO SA HIZ NI HATA KAMA NACHEPUKA WEWE NDO MUME WANGU NINGEKUWA SIKUPENDI NINGEOLEWA NA WEWE?
 
Huo msemo wa ndoa kuwa ngumu si za kweli. haya maharusi yanayoendele huyaoni mkuu? Na hizi kadi za michango ni kuku ndio wanaoana? Ndoa zipo na watu wanazidi kujiunga na chama. Asikwambie mtu ndoa tamu bwana...ni hivi vikero vidogodogo ndio tunawekana sawa hapa!
eeenh mama!
tunawekana sawa tu mambo yakae kwenye mstari wa GREENWICH kama sio wa PAMBIZO
 
WAKATI ANAKULA WE UTAKUWA UNACHAT ENH?
ahahahahahahhahaha WANAUMEEEEEEEEEEEEEEEEE!
KWIIIIIISHA HABARI YENU!



ntakuwa na chat?????? kweli wewe ndoa yako changa.


nyama choma zimeisha uko mtaani? tena ndo napata chance nzuri ya kumpigia mchepuko wangu (mwanachuo) tukasage nyama.
 
Mmh naona una apply ile kanuni ya Waisrael ya tit for tat ingawa sina hakika sana kama itawafikisha mahali salama.Hapo tegemea UKIMWI na fumanizi ambavyo vyote matokeo yake ni kifo.Kwa hiyo ninakushauri mkae pamoja na mmeo mzungumze tofauti zenu,ikishindikana washirikisheni wazazi au viongozi wa dini.
 
ntakuwa na chat?????? kweli wewe ndoa yako changa.


nyama choma zimeisha uko mtaani? tena ndo napata chance nzuri ya kumpigia mchepuko wangu (mwanachuo) tukasage nyama.
HAHAHAHAHAHAHHA KUMBE UNAJUA UTAENDA KUFANYA NINI!
sasa UNAVOWAZA KUWA ATAMALIZA SUFURIA LA KANDE?


GROW UP KIJANA!
 
Back
Top Bottom