Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
leo watatoa povu la omo
 
Nimeshitushwa na Maneno yako! Wenzako wanachepuka wakiwa kwenye mahusiano na sio ndoa. Wacha nikukumbushe jambo, Ndoa ni kiapo kwa Mungu na uliapa mbele ya ndugu jamaa na wazazi wenu ukifanyacho leo kitaondoa baraka zote ndan ya nyumba yenu. Nendeni mkatubu!
hapo ndiyo wanaume mnapojidanganya na bora muendelee kujidanganya
 
mhmmhmhmhmhmmmmmmmmhhhhjmmmhmnhhhhhh
si vyema kabisa kuchepuka kwa mtu ambae anakupa amani upendo na raha zote za kimataifa anakupeleka paradiso unaishi life la high quality yani yale classic
useme nini usipewe???
upendweje kwa mfano??

Thank lord for my wan n onli Smart911


cc Smart911
 
Mhhh,
Hv kuchepuka ndio jawabu?anyway hongera zako but hayo mambo ya kibamia sijui hajui kitu unayoyasema ni udhalilishaji kwa mumeo ila kila la kheri.
Wanaume mnayaanzisha yote haya!!! Unaona mke anakusigia kila siku unajiona kidume na kuanza kugawa dudu hovyo nje... Kumbe una kibamia na shughuli huijui!!! Ata kama kumdhalilisha mumeo si ustaarabu, Mnajitakiaga kudhalilishwa.
 
wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
Yaani huu uzi ungeandikwa na mwanaume ungeona jinsi ambavyo angesifiwa!!!
Sasa hao wanaume wanaojisifiaga kuchepuka ndo wajue sasa kua wake zao hawawasubiri tu, nao wanatafuta michepuko! Huyu dada wala simshangai, sema tu yeye kajitoa ufahamu na kuandika hapa... Ila hili lipo kwenye jamii... Wanawake kibao kwenye ndoa wanachepuka. Wanaume waamke, usidhani kumueka ndani na kuendelea na michepuko unamkomoa... Mnakomoana siku hizi
 
Ulijiona mjinga kisha ukajiona mjanja zaidi ya wajanja ni vizuri sana kwa kujitambua huko.

Umetueleza mapungufu ya mumeo Je wewe umekamilika 100%?
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Hata huyo alompata hana dudu nzuri tafuta wengine kama wa5 upate nyingi tofauti ndo utaona raha yakuchepuka... Kamchepuko kamoja unasema raha kuchepuka.
 
We mtu unamoyo asee unachezea wadudu wawili hahahahahahahaha hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🙂
 
Teh teh wanaume wa jf wanafiki sana. Hapa ingekuwa ni mwanaume kapost basi angepongezwa vya kutosha. Angesifiwa kwa kuvuta kitu, wengine wangesema safi sana ndio dawa yao.
.
.
Chepuka tu bidada. K ni yako, ndoa ni yako! Life is too short!
Just be careful!
 
mhmmhmhmhmhmmmmmmmmhhhhjmmmhmnhhhhhh
si vyema kabisa kuchepuka kwa mtu ambae anakupa amani upendo na raha zote za kimataifa anakupeleka paradiso unaishi life la high quality yani yale classic
useme nini usipewe???
upendweje kwa mfano??

Thank lord for my wan n onli Smart911


cc Smart911

Inasikitisha sana kwa mtoa mada...
Pole yake sana...

Ila tabia za mtu unazigundua mapema baada ya muda fulani, sasa kama alijua jamaa ni mchepukaji kwa nini alikubali kuolewa... Cheating ni mbaya sana, kwa sababu siku ukifumaniwa ni hatari sana... Ukiwa mtu wa kuchepuka mara nyingi maisha yako yanakuwa ya wasi wasi...

Nashukuru Mungu sioni mwanamke mwingine zaidi ya mahondaw wangu... na mahondaw wangu hajawahi kunionesha dalili zozote mbaya...
 
Back
Top Bottom