Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Teh teh wanaume wa jf wanafiki sana. Hapa ingekuwa ni mwanaume kapost basi angepongezwa vya kutosha. Angesifiwa kwa kuvuta kitu, wengine wangesema safi sana ndio dawa yao.
.
.
Chepuka tu bidada. K ni yako, ndoa ni yako! Life is too short!
Just be careful!
Yaani leo ndiyo wamekuwa watoa nasaha tehetehe mkuki kwa nguruwe
 
Poleni sana,mtakuja kufa na magonjwa.Kila mchepuko una michepoko zaidi ya 5 ya pembeni ,,,,,,tafakari mkuu
Uko sahihi mkuu, ukifanywa mchepuko jua kuna wenzio nao wamefanywa hivyo hivyo hivyo kuna mlolongo.
 
Ni kweli unayosema.
.
.Asikwambie mtu wanawake wengi wanapoingia kwenye ndoa wanakuwa ni waaminifu sana na huwa wanajitahidi sana kutokuchepuka. Anaweza akawa anapata shida mume hamjali, ana michepuko anampiga lkn bado ataendelea kuwa mwaminifu.
.
.
Ukiona kachepuka ujue yamemzidia sana. Anachepuka ili kupata relief, mume hamsifii wala hamjali, akipata wa kumjali kidogo lazima achepuke. Mwanamke na yy ni binadamu anazo hisia.
Nimekusoma na kukuelewa mno na huo ndiyo ukweli nothing else
 
Hivi ni nani atakuwa mbabe wa hiyo vita!!! Nauliza tu!

Wakuu mimi bado najiuliza swali moja tu hasa nikiona maada kama hizi,

Hivi mimi siku nikiamua kwamba leo sasa naoa hivi maisha na familia yangu yataendaje!! Maana ninayoshuhudia humu bado kuchukua maamzi ya kuwa na mke yanakuwa magumu?
Wala usiogope. Ndoa zenye raha zipo nyingi. Ni wewe tu kutambua majukumu yako kama mume na umpende mke wako kwa dhati. Kama na yeye anakupenda na kukuheshimu basi utaenjoy. Omba tu upate mke aliyetulia. Na usiuchukulie utulivu wake kumnyanyasa.
.
.
Kero kwenye ndoa zipo na hutashindwa kuzikabili.
.
.
Ndoa ina raha yake bwana!
 
Hiyo kawaida tuu, ila kwako kumbe mgeni!
Ila kusema ana kibamia baada ya kuzinguana lakini umesahau kujiuliza pia Inawezekana una u.c.h.i mkubwa hadi mwenzio akahamisha kambi kwako hapati raha anaelea tuu.
 
Chepuka lakini mambo ya kuanza kumsema eti kabamia ni upumbavu.Ina maana sasa ndio unagundua kuwa ana kabamia?
Ee alikuwa hajui sizes, sasa kaonja multiple 'dushes' ndo mana kagundua kuwa mume ana undersize
 
wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
Are you married?
Yes or nah
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Eh bhna eeee!!!! Sikulaumu kwasababu hata mm nataka nimuingilie huyo mchepuko wako
 
Yaani leo ndiyo wamekuwa watoa nasaha tehetehe mkuki kwa nguruwe
Wapewe ukweli wao leo. Na watambue kuwa wakiwatenda wake zao basi watagongewa vya kutosha kama wao wanavyogonga huko nje!
 
Hivi ni nani atakuwa mbabe wa hiyo vita!!! Nauliza tu!

Wakuu mimi bado najiuliza swali moja tu hasa nikiona maada kama hizi,

Hivi mimi siku nikiamua kwamba leo sasa naoa hivi maisha na familia yangu yataendaje!! Maana ninayoshuhudia humu bado kuchukua maamzi ya kuwa na mke yanakuwa magumu?
utakavyotaka wewe yawe ..
 
Mhhh,
Hv kuchepuka ndio jawabu?anyway hongera zako but hayo mambo ya kibamia sijui hajui kitu unayoyasema ni udhalilishaji kwa mumeo ila kila la kheri.
Ameikula kwa furaha hiyo Bamia kwa miaka mingi, ajabu kumkuta kambale kwenye dimbwi la mvua akili imemhama!! Asubiri mvua ikatike ataijua thamani ya Kibamia
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
unamponza mchepuko wako ipo siku atakalia panga

wewe ni sumu hujijui tu
 
Maskini mumeo kumbe ana kibamia sasa ukikutana na mimi mwenye mguu wa mtoto si utaomba talaka
 
Back
Top Bottom