luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
yaan hawa viumbe sioLinawatokaje!! Angekua mwanaume mwenzao angepongezwa
yaan hawa viumbe sioLinawatokaje!! Angekua mwanaume mwenzao angepongezwa
Yaani leo ndiyo wamekuwa watoa nasaha tehetehe mkuki kwa nguruweTeh teh wanaume wa jf wanafiki sana. Hapa ingekuwa ni mwanaume kapost basi angepongezwa vya kutosha. Angesifiwa kwa kuvuta kitu, wengine wangesema safi sana ndio dawa yao.
.
.
Chepuka tu bidada. K ni yako, ndoa ni yako! Life is too short!
Just be careful!
Uko sahihi mkuu, ukifanywa mchepuko jua kuna wenzio nao wamefanywa hivyo hivyo hivyo kuna mlolongo.Poleni sana,mtakuja kufa na magonjwa.Kila mchepuko una michepoko zaidi ya 5 ya pembeni ,,,,,,tafakari mkuu
Nimekusoma na kukuelewa mno na huo ndiyo ukweli nothing elseNi kweli unayosema.
.
.Asikwambie mtu wanawake wengi wanapoingia kwenye ndoa wanakuwa ni waaminifu sana na huwa wanajitahidi sana kutokuchepuka. Anaweza akawa anapata shida mume hamjali, ana michepuko anampiga lkn bado ataendelea kuwa mwaminifu.
.
.
Ukiona kachepuka ujue yamemzidia sana. Anachepuka ili kupata relief, mume hamsifii wala hamjali, akipata wa kumjali kidogo lazima achepuke. Mwanamke na yy ni binadamu anazo hisia.

Wala usiogope. Ndoa zenye raha zipo nyingi. Ni wewe tu kutambua majukumu yako kama mume na umpende mke wako kwa dhati. Kama na yeye anakupenda na kukuheshimu basi utaenjoy. Omba tu upate mke aliyetulia. Na usiuchukulie utulivu wake kumnyanyasa.Hivi ni nani atakuwa mbabe wa hiyo vita!!! Nauliza tu!
Wakuu mimi bado najiuliza swali moja tu hasa nikiona maada kama hizi,
Hivi mimi siku nikiamua kwamba leo sasa naoa hivi maisha na familia yangu yataendaje!! Maana ninayoshuhudia humu bado kuchukua maamzi ya kuwa na mke yanakuwa magumu?
Wewe shangaa shangaa tu, yule mbeba box wako yuko busy na mbuzi kagoma kwenda!........ believe me!
kila mtu na kufuri lake na ufunguo wake. Afanye tu.Wewe shangaa shangaa tu, yule mbeba box wako yuko busy na mbuzi kagoma kwenda!........ believe me!
Ee alikuwa hajui sizes, sasa kaonja multiple 'dushes' ndo mana kagundua kuwa mume ana undersizeChepuka lakini mambo ya kuanza kumsema eti kabamia ni upumbavu.Ina maana sasa ndio unagundua kuwa ana kabamia?

Are you married?wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
haina utamu, mwache agegedwe kavu kavu mtt wa watu!tumia condom tu
Eh bhna eeee!!!! Sikulaumu kwasababu hata mm nataka nimuingilie huyo mchepuko wakoToka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Wapewe ukweli wao leo. Na watambue kuwa wakiwatenda wake zao basi watagongewa vya kutosha kama wao wanavyogonga huko nje!Yaani leo ndiyo wamekuwa watoa nasaha tehetehe mkuki kwa nguruwe
utakavyotaka wewe yawe ..Hivi ni nani atakuwa mbabe wa hiyo vita!!! Nauliza tu!
Wakuu mimi bado najiuliza swali moja tu hasa nikiona maada kama hizi,
Hivi mimi siku nikiamua kwamba leo sasa naoa hivi maisha na familia yangu yataendaje!! Maana ninayoshuhudia humu bado kuchukua maamzi ya kuwa na mke yanakuwa magumu?
Ameikula kwa furaha hiyo Bamia kwa miaka mingi, ajabu kumkuta kambale kwenye dimbwi la mvua akili imemhama!! Asubiri mvua ikatike ataijua thamani ya KibamiaMhhh,
Hv kuchepuka ndio jawabu?anyway hongera zako but hayo mambo ya kibamia sijui hajui kitu unayoyasema ni udhalilishaji kwa mumeo ila kila la kheri.
unamponza mchepuko wako ipo siku atakalia pangaToka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.