Huyoooo ni chaguo lako!!
Basi hayo yanayokukera tafta namna bora ya kuyazungumza na mtaelewana vizuri tu.
Nilikuwa na tabia mwenzangu anaweza kunikera nikakaa nalo nakuja kulitoa siku nyingineee(yaani narundika makosa) siku moja ikabidi aniambie tu, kuwa "mama ninapokukwaza(bila kujua) naomba uniambie, usiniwekee kinyongo its not good for yo health too" na tuliongea sanaaa, aliniacha niyatoeeee yooote hadi niwe mwepesiiii.
From there nimeacha kwakweli, and nikajikuta am falling in love with him again. Mawasiliano mazuri baina ya wapendanao(wanandoa) ni muhimu sana, there is where you find what connects you. Unapompata mtu muelewa ni raha sana.
Kwahiyo hayo yanayokukwaza hebu tafuta njia nzuri ya kuyamaliza na mwenzako ili mfurahie maisha yenu. But remember makwazo hayawezi kuisha because she is a human being too but love 'll always connect you back. Msijisahau tu.