chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,180
- 25,418
Pole sana, najua inauma ila sasa usingechapiwa ungekuwa haujatendewa haki.
sawa mama koku
ningekuwa mme wako ningejaza mimba mfululizo. huenda akili yako ingekaa sawa..
Pole sana, najua inauma ila sasa usingechapiwa ungekuwa haujatendewa haki.
Mume wangu akiona nachepuka kwakweli aniombee tu maana hamna namna nyingine.Vitabu vya dini vinasema hivyo sisy? Mmeo ukiona anachepuka mwombee. Kama hauamini katika hayo Basi shindaneni tu maana hakuna namna.
I never bet on them.
Ngoja nije tuliombee pamoja. Umoja ni nguvu.Pepooo shindwaaaaaaa!
Oooribabaaaaaaaa.....
Yaaani nishabaki tena speed 30 tu.. Sitoki nje ya main road...Baki njia kuu
I thank God yo not. Maana hiyo hasara taslimu inipite mbali kabisaaaa.sawa mama koku
ningekuwa mme wako ningejaza mimba mfululizo. huenda akili yako ingekaa sawa..
Hunipati tenaaaa!!!! Najitakasa hapa pepo lisinifikie teh!Wakati unaomba pia ukae mbali na mie teh nitakurubuni
Haha..Mume wangu akiona nachepuka kwakweli aniombee tu maana hamna namna nyingine.
Ngoja nimfuate tukalikemee wote vizuri.
Msalimie kaoge.
Kwani my brother kuna dhambi ya mwanamke na mwanaume? Wapi paliandikwa wanaume wazini ila wnawake wasizini? Na kama wameruhusiwa kuzini wanazini na nani?Haha..
Sema kuna ishu moja naona ndiyo pointi yenu ila mmeshindwa kui-clear .
Kwenu mnataka uchepukaji wa mwanaume uonekane ni sawa na wa mwanamke, Right?
Hahaaaaaa Daby hapo ni gusa unate... Inabidi kukemea pepo tu ili kuepuka KARMA.
I thank God yo not. Maana hiyo hasara taslimu inipite mbali kabisaaaa.
hahahhaha yani!Huyu lazima anapigiwa tena ukute hadi anamfahamu mume mwenzie. Au ndio anayewaweka mjini, kwahiyo akiona mada ya hivi anaumia maana anaijua hali halisi.
Ndio maana stress zake anazimalizia kwetu.
Hapana haipo. Na wanawake hao hao.Kwani my brother kuna dhambi ya mwanamke na mwanaume? Wapi paliandikwa wanaume wazini ila wnawake wasizini? Na kama wameruhusiwa kuzini wanazini na nani?
Hahaaaaaa Daby hapo ni gusa unate... Inabidi kukemea pepo tu ili kuepuka KARMA.


Hapo ulipomalizia ndicho nilichotaka kuelezea. Good taratibu jamii itaelewa tu kuwa kuchepuka ni kuchepuka tu, awe kachepuka mwanamke au mwanaume. Kama ambavyo jinsia ya kiume inavyozidi kulegalega ndivyo mambo nayo yatakavyobadilika.Hapana haipo. Na wanawake hao hao.
Ila sisy tatizo jamii. Norms. Jamii zetu mwanaume ni mastermind wa aspects zote ndiyo maana Daby mwenye ndoa nikikutwa na mtoto wa chuo leo sio jambo la ajabu kama atakavyokutwa espy mwenye ndoa na kakijana ka chuo.
Ila era ya elightment imewadia jamii imeanza kureason na kudadavua mambo. TUtafika mnakotaka tufike japo taratibu.
Hebu jaribuni thrn muone kama kutakuwa na tatizo.
Ila kwq mujibu wa sensa wanaume tukiamua tubaki njia kuu wote vipi wanawake watakao salia? Watahudumiwa na nani?
I'm not justifying the evil. Nieleweke.

Hapo ulipomalizia ndicho nilichotaka kuelezea. Good taratibu jamii itaelewa tu kuwa kuchepuka ni kuchepuka tu, awe kachepuka mwanamke au mwanaume. Kama ambavyo jinsia ya kiume inavyozidi kulegalega ndivyo mambo nayo yatakavyobadilika.
Vina mahusiano mnoooo!! Fikiria tu then utaelewa.Hapo sawa.
Naona unataka kunihamisha mada tena.