Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Wewe nenda kwa mwanachuo, mkeo aende nae anakokujua akapate mautamu tatizo liko wapi!! Lakini ujue dawa ya moto kwa sasa ni moto sio tena maji,sasa unachobisha sijui ni nini au unataka ligi tu.



usiishi maisha ya ujima nani alikwambia dawa ya moto? nenda katibu moto na petrol ndo utajuwa mawazo yako. yako kwenye karne ya kina musa.

kama ata hujui ninacho bisha acha wanaume tuendelee kuwa tenda mpaka akili zenu zikae sawa.
 
Wewe nenda kwa mwanachuo, mkeo aende nae anakokujua akapate mautamu tatizo liko wapi!! Lakini ujue dawa ya moto kwa sasa ni moto sio tena maji,sasa unachobisha sijui ni nini au unataka ligi tu.
Mkewe anaenda kwa wazee wa kazi wazee wa takko elf 20 and above.....lol
 
Ha ha ha ha ha ha ha eti wamtoa machozi
Dogo mwanamke ni jambazi asie na silaha
Huyu nahisi bado hajawajua wanawake nahisi ni mgeni kabisa ndo maana anajisifia kwa sifa yakumtoa mwanamke machozi.

Machozi kwa mwanamke mchezoooooo!!!!! Hivi walivyoambiwa waishi na mwanamke kwa akili walifikiri jambo dogo!!!!

Masikini huyu dogo aachane na kitu inayoitwa mwanamke yeye akitaka kuchepuka achepuke zake hamu ikimwishia arudi kwa upole nyumbani siyo kwa majisifu hayo.
 
Mkuu sasa kweli tulio ndani ya ndoano si inabidi tu tuendelee kupoza machungu. Otherwise kuna siku ukigundua unaweza kujirestisha in Peace.
Ni kuishi kama haujui. Ukisema ufuatilie utateseka sana.

Ila mimi huwa nasema siku nikimkamata mama klaree anachepuka sijui nitafanya nini.
 
Back
Top Bottom