Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Inawezekana kabisa wanawake wanachepuka kuliko wanaume (am sure)Mimi huwa nawashangaa watu wanaosema wanawake hawachepuki kama wanaume.
Hehe kwa hiyo unatumia shield ya nyimbo za yesu kuchepuka eeh. Una la kujibu.
