Mwana kondoo
Senior Member
- May 21, 2017
- 180
- 177
Kwaiyo kusupport kuchepuka ndo inamake sense?Nonsense![]()
Kwaiyo kusupport kuchepuka ndo inamake sense?Nonsense![]()
Eeeh Madame, yesu azidi kunipenda leo kuliko jana 😀😀Evelyn Salt ahahahahhaha umesema utakuwa unazunguka zunguka unaimba yesu niwaaaaat?
ahahahahahahhahahahha DAH!UMENIUA MBAVU MPNZI!
Eeeh Madame, yesu azidi kunipenda leo kuliko jana 😀😀Evelyn Salt ahahahahhaha umesema utakuwa unazunguka zunguka unaimba yesu niwaaaaat?
ahahahahahahhahahahha DAH!UMENIUA MBAVU MPNZI!
Hilo neno lililokataza uzinzi kwa wanawake tu lipo JUMA SURA YA NGAPI? Mstari wa ngapi?Unaelewa maana ya kuzini wewe? Dhambi ya kuzini haimhusu mwanaume inamhusu mwanamke tu
Huyo akajiunge na shost yake chuma cha mchina watatengeneza couple nzuri sana maana akili zao bado zinafanana. Na waache kumtaja Mungu kwenye maujinga yao.WE UNATAKA TENA SREDI IFIKE 230 page!
wenzio tunakaa meza moja sa hizi tunaangalia how best tunaweza kutoka hapa!
WE ENDELEA TU!
😀😀😀😀KUNA MWANAUME HAPO KUNA MWNEYE KENDE TU!
hata paka wangu Tom anazo!
Njoo na kwangu na tangoToka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Maana ake ni kwamba mwanamke anatakiwa awe na mume mmoja tu zaidi ya hapo ni uzinzi, ila mwanaume ruksa kua na mke zaidi ya mmoja, iyo ni nature jinsi ilivyo.Hilo neno lililokataza uzinzi kwa wanawake tu lipo JUMA SURA YA NGAPI? Mstari wa ngapi?
Huyo mwanamke kakatazwa kuzini na vidole vyake au dildo?
Nataka neno lipo JUMA SURA YA NGAPI? Nikasome mwenyewe sio unitafsirie, na unajua maana ya KUZINI???Maana ake ni kwamba mwanamke anatakiwa awe na mume mmoja tu zaidi ya hapo ni uzinzi, ila mwanaume ruksa kua na mke zaidi ya mmoja, iyo ni nature jinsi ilivyo.
Mnisamehe 7*70. Lakini kupitia kwa comments zenu wengine tumeyajua makwazo tuyasababishayo juu ya wake zetu,pia nimejifunza mengi sana jinsi ya kukaa kamati na mke wangu. Mnisamehe tena na tena maana nimekuwa mpyaTUTAKE RADHI.
"You are what you chose to become". Kama una mwanamke ambaye akisikia tu mashoga zake wamesema/wamefanya kitu fulani na yeye akafanya basi atakuwa na matatizo sana. Muombee sana mkeo, Mungu akampe ufahamu na maarifa. "USIMUACHE"![]()
![]()
Hajalipa kisasi kaenda kutafuta utamu uliokosa muda mrefuMkuki kwa nguruwe kwa binadamu ni mchungu. Mi mwenyewe mwanaume japo sijaoa ila kwa sentesi hiyo sio kwamba nakuunga mkono ila kuna tatizo ambalo inabidi tulishughulikie hasa sisi wanaume. Kufanyiana tit for tit kutasababisha uachike ila ulichofanyiwa pia si kizuri. Ni vizuri ungeingia magotini ukaomba kuliko kulipizia kisasi maana huyo akijua utaachwa na mwisho utaumia wewe zaidi ya yeye maana hata wanao hutataani walelewe na mama wa kambo. It is better mwanamke ukatumia ushawishi wako wa kike kumfanya mumeo atulie maana uwezo huo mnao sasa kuja kulipiziana duh!
Usikariri siyo lazma kila neno ulikute kwnye SURA tajwa hapo juu, afu ndio ninajua maana ya kuziniNataka neno lipo JUMA SURA YA NGAPI? Nikasome mwenyewe sio unitafsirie, na unajua maana ya KUZINI???
Unasupport na kuhalalisha dhambi mungu akusameheHajalipa kisasi kaenda kutafuta utamu uliokosa muda mrefu
Kuzini maana yake ni nini?Usikariri siyo lazma kila neno ulikute kwnye SURA tajwa hapo juu, afu ndio ninajua maana ya kuzini
Ni kufanya tendo la ndoa na mwanaume ambae si mume wako.Kuzini maana yake ni nini?
Na kufanya na mwanamke asie mkeo maana yake nini?Ni kufanya tendo la ndoa na mwanaume ambae si mume wako.
Hapo maana ake ni kuenzi na kudumisha mila na desturi za mababu zetu wapendwa.Na kufanya na mwanamke asie mkeo maana yake nini?
We ni Mwana kondoo au ni kondoo?Hapo maana ake ni kuenzi na kudumisha mila na desturi za mababu zetu wapendwa.