snowhite nakuelewa sana sana Ujue!
Yaani hii hali ni two way sema sisi tunajiongopea nadhani hii hali msingi wake ni jamii iliyotuzunguka lakini hata vitabu vya imani zetu vime site cases kadhaa za wanaume kutoka nje ya mahusiano yao Mfalme Daudi anaweza kuwa Mfano, sasa imejengeka nafsini mwetu na kwenye jamii tunamoishi.
Kwamba ni KAWAIDA KWA WANAUME KUCHEPUKA alafu ni ajabu na fedheha kwa mwanamke kufanya hivyo.
Sio siri kupitia humu napata elimu ngumu kumesa namna ya kuendelea kuwa mume bora na mwaminifu kwa mwezi wangu.
Hizi story zisikie kwa jirani tu uwe mke au mume omba yasikukute aseeee ooh!
mi nimefurahi umechagua fungu jema,la kuelewa na kuyafanyia kazi!
kwa sababu haya yanayoandikwa hapa!
kiukweli ndiyo yanayoendelea vichwani mwa wanawake walio na ndoa!
kimsingi sisi tu tumeamua kuwa their mouthpiece!
lakini hali si nzuri kaka zangu!
hali si salama kabisa mnavoamini na wengine hapa wanavojitia kiburi!
kimsingi TOFAUTI NA BABA NA VIZAZI VILIVYPITA!
WANAUME WA KIZAZI HIKI MNACHEPUKA BILA AKILI!
JIULIZE NAMNA FAMILIA ZETU ZILIZO NA STEP siss and bros!
lakini mama zetu hawakufika TULIPOFIKA SISI!
maisha yamebadilika sana!
SIKU HIZI
fine mnacheat as our fathers and fore fathers and daudis and Suleiman did
SIKU HIZI HAMTUMII AKILI!
ngoja nikwambie!(nimependa sana ur approach) KUKIRI MNAKOSEA!
so kukusiaida kuwa kioo chako ili UAMUE KWA DHATI KUTAFUTA UZEE MWEMA!
-KIMSINGI MKEO HATAKI MWANAUME MKAMILIFU,((Mungu pekee ndiye)
-KIMSINGI MKEO ANAJUA WEWE NI MWANADAMU SO KUKOSEA NI ADA!
-KIMSINGI ANATAKA AKUSAMEHE SANA LAKINI ANASAMEHE VIP ASIYEONA KOSA NA WALA ASIHITAJI WALA KUTHAMINI MSAMAHA?
-KIMSINGI UPO MAHALI ULIMKOSEA NA UKAMUUMIZA HISIA ,RUDI PALE TAFUTA AMANI YAKE ILIPOPOTELEA!
-KIMSINGI ALIUMIA NA NAMNA YAKO YA KUCHUKUA HISIA ZAKE ZA MAUMIVU SI KITU NI WIVU TU NA KUTAKA KUKUTAWALA,rudi pale muonyeshe vile hutafsiri hitaji kama kukutawala
-KIMSINGI ALIUMIZWA NA NAMNA VILE ULIVYOWAPA WATU WENGINE KIPAUMBELE UKAPUUZA UHITAJI WAKE KWAKO
-MY DEAR!UNA MENGI YA KUETNGENEZA KABLA YA KUUMIA NA UHARIBIFU UNAODHIRIKA KWA MACHO SASA
(NIMEKUTUMIA WEWE KUSIMAMA BADLAA YA WANAUME WOTE AMBAO THREAD HII IMEKUWA WAKE UP CALL KWAO)
KUANZA MOJA SI UJINGA!
VINACHOSHA ANYWAYS!
MNAWEZA YATENGENEZA MKIAMUA!