Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,051
Nguruwe pita sina mkuki mie. Nadhani wengi wanatoa ushauri tu. Nadhani huyo mwenzio toka mwanzoni alikuwa na wazo la kumbwato mje sasa anasingizia kibamia huyu atakuwa anathema big G kwa utamu wa Katanga za kuonjeshwa. Alitakiwa kukaa na kukabiliana na tatizo. Sidhani kama kuna mwanaume ashakuja kuja hapa na hoja kama hiyo halafu aseme maku ya gf wake ni kama ziwa Victoria.Wanaume naona povu linawatoka! Ama kweli mkuki kwa nguruwe
Nguruwe pita sina mkuki mie. Nadhani wengi wanatoa ushauri tu. Nadhani huyo mwenzio toka mwanzoni alikuwa na wazo la kumbwato mje sasa anasingizia kibamia huyu atakuwa anathema big G kwa utamu wa Katanga za kuonjeshwa. Alitakiwa kukaa na kukabiliana na tatizo. Sidhani kama kuna mwanaume ashakuja kuja hapa na hoja kama hiyo halafu aseme maku ya gf wake ni kama ziwa Victoria.
ni shidaaaaMajukumu ya kifamilia yenyewe mnajua ni kuhakikisha wamekula,kuvaa, kusoma na wana pa kuishi(pesa) baasi mmemaliza. Ulishawahi hata kukaa na wanao ucheze nao, usome hata vipaji vyao ili uvikuze,kuwasaidia home work,kupiga nao story(ujue nini kinaendelea ktk maisha yao), mfanye family prayer pamoja(hapa ndio mtihani sasa) nk nk nk????
Mmh naona aibu kwa ajili yao.
Yani aache kutafuta madeal bar acheze na watoto? Utakuwa umempa limbwata aisew![]()
.
Wish hawa wenzetu wangejua wana part kubwa sana katika malezi ya watoto apart from kumeet mahitaji yao ya kifedha. I honestly wish..![]()
![]()
![]()
Wawe tu wapole, cha msingi wakituhitaji tupo, sasa wasiwasi wa nini?
AHAHHAHAHAHAHAA wanajipa mapana ya koti tu hapa!
kende ziancheza huko waliko!
Aaah kule ndio kwa kujiachia bwana, naanzaje kujibana bana sasa!! Kule ndio kwa kukunjwa vizuri kabisa, yaani ukitoka hapo hata ukipulizwa tu unaanguka kwa jinsi unavyokuwa mwepesiiii.
Eti utapepea na kibungaHahahaaa!, wadada mmetisha...LOL!
Mi nnachojiuliza hadi sasa......Hili nalo ni jipu asee, yaani kwa kweli kichwa cha nyumba na baba wa familia atulie ndani kucheza na watoto badala ya kwenda bar mbona watasema kapewa limbwata na kuonekana wa ajabu wakati inatakuwa kuwa ni kawaida.
Duh!, halafu sisi wanawake ndio wanasema aliyeturoga kafa, mweh!, mweh!, mweh!..
Hili nalo ni jipu asee, yaani kwa kweli kichwa cha nyumba na baba wa familia atulie ndani kucheza na watoto badala ya kwenda bar mbona watasema kapewa limbwata na kuonekana wa ajabu wakati inatakuwa kuwa ni kawaida.
Duh!, halafu sisi wanawake ndio wanasema aliyeturoga kafa, mweh!, mweh!, mweh!..
Mi nnachojiuliza hadi sasa......
Wanawake hatutakiwi kuchepuka, tukichepuka dhambi, tunaenda kinyume na asili.... Sasa WAUME ZETU WANACHEPUKA NA KINA NANI? Au wanapiga mashouga???
Hebu nijibu swali langu hapo juu, unapinga mwanamke kuchepuka ila una mchepuko mwanamke, au huyo mwanachuo ni James delicious?hongera sana yani uko kama mke wangu hanaga makuu akiendelea hivi mpaka december namtema mtoto wa chuo. japo anamanjonjo
hawa mabazazi espy Evelyn Salt demi wanamihemko
hongera sana yani uko kama mke wangu hanaga makuu akiendelea hivi mpaka december namtema mtoto wa chuo. japo anamanjonjo
hawa mabazazi espy Evelyn Salt demi wanamihemko
Tunatofautiana, sie tukichepuka tunaenda kwa wazee wa kazi..... Wazee wa mashine aseeeeeNyie Watu!Nalendwa kwa hujaona "ubuyu" wa Zari? Hebu kale ubuyu kuleee...
Tukichepuka tunaenda kwa mabinti kigoli wabichi wabichi. Teh
Hahaaaa we sikuweziii....Tunatofautiana, sie tukichepuka tunaenda kwa wazee wa kazi..... Wazee wa mashine aseeeee
ni mbobezi sana.

Nyie Watu!Nalendwa kwa hujaona "ubuyu" wa Zari? Hebu kale ubuyu kuleee...
Tukichepuka tunaenda kwa mabinti kigoli wabichi wabichi. Teh
Mi nnachojiuliza hadi sasa......
Wanawake hatutakiwi kuchepuka, tukichepuka dhambi, tunaenda kinyume na asili.... Sasa WAUME ZETU WANACHEPUKA NA KINA NANI? Au wanapiga mashouga???
Ila na nyie mjifunze midundo mipyaHahaha!, ubuyu wa Zari baadae kwanza wakati napumzika, Shughuli yote iko hapa kwanza wala usijaribu kuchepua topic...lol
muwe na manyonyo na masarakasi kama hawa wa huko nje. Sio daile kifo cha mende